Wewe kenge unadhani Kenya inatawaliwa na ccm?Ni uhakika kabisa wanamlia timing tu na ni swala la muda kabla hamjasikia wamemtia nguvuni, hii itatokea Raila apende asipende, kama wamemkamata aliyemuapisha iweje aliyekula kiapo awe huru? Hivyo ninaamini kabisa watamshika Raila Odinga na kumfungulia mashitaka, ...
Kwa hiyo ukiwa na wafuasi wengi ndio unaruhusiwa kuvunja sheria kwa MAKUSUDI?! Coment kama hii Inashangaza!ukisikia kosa ambalo uhuru na wafuasi wake watalifanya ni kumkamata Raila.....
kutatokea machafuko makubwa sana kenya, damu za wasio na hatia zitamwagika, mamia kwa maelfu ya wakenya yatateketea. Odinga ana wafuasi wengi sana na ni wanazi, hawatokubali kirahisi serikali imkamate, Uhuru analijua hili. Sio kama tz ni wapiga porojo mitandaoni tu huku wamejifungia majumbani mwao.
Gob bless Africa.
ukisikia kosa ambalo uhuru na wafuasi wake watalifanya ni kumkamata Raila.....
kutatokea machafuko makubwa sana kenya, damu za wasio na hatia zitamwagika, mamia kwa maelfu ya wakenya yatateketea. Odinga ana wafuasi wengi sana na ni wanazi, hawatokubali kirahisi serikali imkamate, Uhuru analijua hili. Sio kama tz ni wapiga porojo mitandaoni tu huku wamejifungia majumbani mwao.
Gob bless Africa.
Naona umeelewa tactic za rais Uhuru Kenyatta, kilichobaki tu ni kifo cha Raila kisiasa. Alivoachiwa ajiapishe bila bughudha, ilikuwa ni kama tu ule mtego wa kumnasa kanga.Uhuru keshakomaa kisiasa kaona raila ni joka la kibisa halina madhara kama alivyoamua amuache aapishwe basi atamwacha ili Raila aendelee kuonekana comedy
Sasa kama nyinyi ni wanaume,mkamateni Odinga muone kwanini bata anaharisha.Kwa hiyo ukiwa na wafuasi wengi ndio unaruhusiwa kuvunja sheria kwa MAKUSUDI?! Coment kama hii Inashangaza!
Kosa gani zaidi ya uhaini aliofanya? mnaogopa!Hakuna Machafuko Afrika bila ya Muzungu kukubali kuwe na Machafuko na safari hii Muzungu kamptozea Raila sijui ni kwa nini, hivyo hata kama wakiingia barabarani Jeshi litawacrush na kuzima mara moja, amini usiamini watamshika na hakuna kitu kitatokea zaidi ya chuki na maneno mitandaoni tu, subiri afanye kosa kidogo tu, amebakiza kosa moja na watamshika na maisha yataendelea!
Anaona kumwaga damu sifa!Kwa hiyo ukiwa na wafuasi wengi ndio unaruhusiwa kuvunja sheria kwa MAKUSUDI?! Coment kama hii Inashangaza!
Muzungu hana rafiki bali mwenyewe!Hakuna Machafuko Afrika bila ya Muzungu kukubali kuwe na Machafuko na safari hii Muzungu kamptozea Raila sijui ni kwa nini, hivyo hata kama wakiingia barabarani Jeshi litawacrush na kuzima mara moja, amini usiamini watamshika na hakuna kitu kitatokea zaidi ya chuki na maneno mitandaoni tu, subiri afanye kosa kidogo tu, amebakiza kosa moja na watamshika na maisha yataendelea!
you made my dayWakenya wote mbulula tu....Raila jana anailaumu serikali kupitia vyombo vya habari wakati yeye ndo rais.
Wakenya wote mbulula tu....Raila jana anailaumu serikali kupitia vyombo vya habari wakati yeye ndo rais.
Mzungu kampozea Raila sababu hataki kdf Somalia na hofu anaweza iendesha Kenya kiujamaa.Hakuna Machafuko Afrika bila ya Muzungu kukubali kuwe na Machafuko na safari hii Muzungu kampozea Raila sijui ni kwa nini, hivyo hata kama wakiingia barabarani Jeshi litawacrush na kuzima mara moja, amini usiamini watamshika na hakuna kitu kitatokea zaidi ya chuki na maneno mitandaoni tu, subiri afanye kosa kidogo tu, amebakiza kosa moja na watamshika na maisha yataendelea!