Raila Odinga awataka wafuasi wa NASA wasiende kazini kesho

Atawalipa yeye Mshahara?
 
Anaumwa bila shaka huyu!!!!!! Katiba ya Ke inampa uhuru wa kukata rufaa mahakamani ndani ya siku 14 ili kuhakiki taarifa. Tume ya uchaguzi pia ilimpa nafasi ya kuhesabu kura upya pale aliposema kaibiwa sasa hizi kelele za nini?

Uhuru zuia mikutano mpaka mwaka wa uchaguzi ufike

Kwa katiba ya Kenya, hakuna raisi anayeweza kufanya hivyo hata awe mwendawazimu. Pili wenzetu wanaingia kwenye uchaguzi kwa kujiamini, achana na hawa wa kwetu wanaotumia mabavu kubana demokrasia!!!!
 
Huku tungeshasikia amekamtwa

Mazingira ni tofauti. Hata kule ilistahili akamatwe lakini jambo Hilo litaleta madhara zaidi ila kwa TZ kumkamata mtu anaeharibu AMANI na UTULIVU wa Nchi kunaleta mafanikio makubwa.
 
wapinzani wote africa wanalingana kwa matamshi baada ya kushindwa.
 
Unakumbuka kuwa kila fomu yenye matokeo kutoka kwenye kila kituo ilikaguliwa upya?jamaa wenu kashindwa kwa haki

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kuuawa kwa officer wa IEBC si lazima iwe ni serikali,ninavyoona wote NASA na Jubilee wanaweza wakawa watuhumiwa hakuna aliyena uhakika officer huyu ameuawa na nani??
 
Raila and the Group, kama mna genuine claims nendeni Mahakamani, kila mtu ana maisha yake Binafsi na shida zake.
Ukishindwa Mahakamani ni either you join them au ukubali kushindwa, na kuomba Mungu ndio akulipie dhuluma ulizo pata na sio kuwata innocent people to suffer for You.
Hata Mimi ningependa Ushinde, lakini fuata taratibu.
 
Kuuawa kwa officer wa IEBC si lazima iwe ni serikali,ninavyoona wote NASA na Jubilee wanaweza wakawa watuhumiwa hakuna aliyena uhakika officer huyu ameuawa na nani??

Maoni yako yana substance, lakini mkuu tukichukulia kauli na baadhi ya vitendo vya Dola vinatia shaka, mfano: Kwa nini mmoja wa wagombea Urais wakati wa kampeini alitamka adharani kwamba majimbo fulani hata kama hawatampigia kura atashinda tu, kitu gani kilicho mfanya ajiamini kupita kiasi kama sio kujua kwamba watachezea idadi za kura/wizi?

Hilo la kwanza, la pili kwa nini IEBC ilikuwa inatangaza matokeo ya majimbo haraka haraka hata kabla hawajapata form za uhakiki kutoka kwa mawakara wa vyama vya upinzani, IEBC ilikuwa na haraka gani i.e walitaka ku pre empty kitu gani? Ni wazi kasi ya kutangaza matokeo kwa chaguzi nchini Kenya ilitia fora hata Taifa kama Merikani lenye uwezo wa kitekinolojia alikuwahi kufikia kasi ya IEBC - WHY???
 

Wenzenu walicheza na number mapema.Na Wakenya siyo wajinga kama Wabongo wanajua kuwa hata ikiwa una strong hold kiasi gani bado utapata kura za wanaokupenda.Hata Pemba walimpigia kura mgombea wa CCM japo si nyingi.

Ni number tu hayo mengine amecheza na akili za Raila tu.Sasa kile kituo chake kule Kigamboni hakikufanya kazi??Mbona ameambiwa apeleke kesi mahakamani amesema hana muda?Na Mahakama zao ziko huru kwa 99%.AMesema hapeleki sababu hana evidence.

Shida ameshashindwa na kwa sababu kuu moja uhusiano wake na JPM,na ile ya kusema atafanya kama JPM ndiyo wenzake wakajumlisha wakatoa wakaona mh!huyu hatufai.

Na imeonekana kiongozi mzuri huwezi kuhamasisha watu wafanye vurugu wakati sheria ipo.Wanasheria ya kupinga matokeo na si kuhamasisha fujo.Raila amekataliwa na WAKENYA.

Na pili Mwenyezi Mungu anajua kwanini hajapita vinginevyo kungekuwa na balaa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…