Nani kakwambia Tundu ni maarufu hapa Kenya?. We know nothing about Tundu.... In Kenya we only know MagufuliWakenya wanapiga kura mwezi ujao kumchagua Rais wa nchi hiyo. Ni kitendo cha aibu kwa kiongozi huyo anayejiita kinara wa upinzani na demokrasia kushindwa kutoa pole ama tamko lolote linalohusiana na kupigwa risasi kwa mwanasiasa maarufu kutoka chama cha upinzani Tanzania Mheshimwa Tundu Lissu. Raila Odinga ameshindwaje hata kwenda hospitali kumjulia hali mwanasiasa huyo.
Raila ni mtu mwenye uchu wa madaraka na chuki za kisiasa. Natoa shukrani Uhuru Kenyatta kwa jinsi alivyotoa ulinzi kwa kipenzi cha watanzania Tundu Lissu
Panic disorderNani kakwambia Tundu ni maarufu hapa Kenya?. We know nothing about Tundu.... In Kenya we only know Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA POROJO. HUNA HOJAWakenya wanapiga kura mwezi ujao kumchagua Rais wa nchi hiyo. Ni kitendo cha aibu kwa kiongozi huyo anayejiita kinara wa upinzani na demokrasia kushindwa kutoa pole ama tamko lolote linalohusiana na kupigwa risasi kwa mwanasiasa maarufu kutoka chama cha upinzani Tanzania Mheshimwa Tundu Lissu. Raila Odinga ameshindwaje hata kwenda hospitali kumjulia hali mwanasiasa huyo.
Raila ni mtu mwenye uchu wa madaraka na chuki za kisiasa. Natoa shukrani Uhuru Kenyatta kwa jinsi alivyotoa ulinzi kwa kipenzi cha watanzania Tundu Lissu
Wakenya wanapiga kura mwezi ujao kumchagua Rais wa nchi hiyo. Ni kitendo cha aibu kwa kiongozi huyo anayejiita kinara wa upinzani na demokrasia kushindwa kutoa pole ama tamko lolote linalohusiana na kupigwa risasi kwa mwanasiasa maarufu kutoka chama cha upinzani Tanzania Mheshimwa Tundu Lissu. Raila Odinga ameshindwaje hata kwenda hospitali kumjulia hali mwanasiasa huyo.
Raila ni mtu mwenye uchu wa madaraka na chuki za kisiasa. Natoa shukrani Uhuru Kenyatta kwa jinsi alivyotoa ulinzi kwa kipenzi cha watanzania Tundu Lissu
Anaishi jumba la bilioni 20 za kitanzania halafu anaomba maskini Kenya wamchangie haoni hata aibu.Simpendi Uhuru Kenyatta ila simpendi zaidi Raila Odinga kwani ni Mkabila kupitiliza na ana uchu kama siyo uroho uliotukuka wa Madaraka. Nadhani Kenya ya sasa bado inamuhitaji zaidi Uhuru Kenyatta kwani ana ' Vision ' ya kweli na nchi ya Kenya na Wakenya kwa ujumla. Mapungufu yake yanarekebishika ila ya Raila Odinga hata aje Yesu Kristo hayarekebishiki.
Nitawadharau mno na sana Wakenya kama msipomchagua tena Uhuru Kenyatta kuwaongozeni na mkampa Mkabila Odinga.
Anaishi jumba la bilioni 20 za kitanzania halafu anaomba maskini Kenya wamchangie haoni hata aibu.
Kwa mwanasiasa mzuri siasa haina chuki. Nelson Mandela alimwalika ikulu mkuu wa gereza alipokuwa amefungwa miaka 27 na kunywa naye chai.Hebu fikiria, Mbowe walishatoa tamko ya kuwa wanampa support Uhuru kisa na maana Raila alim-support Magufuli. Halafu isitoshe, Lowasa kaja kwetu kisha kampigia debe Uhuru kwa Wamaasai ya kuwa wampigie Uhuru kura halafu leo hii unasemaje?????????? Ya kwamba Raila aende kumwona Mbowe ambaye yupo na Tundu wataanzaje??????? Anyway, I think Raila is above that and let's pray that maybe he will visit Tundu. Pole sana Tundu.
Kwa ufahamisho Tundu Lissu ni Orengo wa Tanzania.Nani kakwambia Tundu ni maarufu hapa Kenya?. We know nothing about Tundu.... In Kenya we only know Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Raila ni mtu mwenye uchu wa madaraka hata wakenya wakifa. Mwaka 1982 alishiriki kwenye mapinduzi yaliyoshindwa zaidi ya wakenya 2000 waliuwawa yeye akakimbilia ulaya.Ukweli Raila hafai kuwa kiongozi kwanza ana Roho ya vinyongo sana isitoshe anaweza kuja kuenda Kenya kama huyu jaluo wa huku kwetu. Japo Uhuru ana Roho ya Unyama ila mimi naona Raila anayo mbaya zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app