Raila Odinga Hafai Kuwa Rais Wakenya

Hajazidiwa nguvu na mahakama bali amezidiwa nguvu na Raila hakuna cha demokrasia apo,demokrasia ya kuiba kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna fact apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi kwenye katiba ya Kenya imesemekana kama wewe ni mtu wa vitendawili huwezi kuwa raisi?. Kama humuelewi basi rudi shule ama gumbaru upate masomo zaidi.
Hujui kuchambua sentensi za kiswahili. Unasoma tu lakini hauelewi. Weye naye ni kitendawili tu.
 
Kama inawauma hamieni huku Kenya tutawakaribisha tu! Mje mmpigie Raila wenu kura! Zetu zinaenda kwa Uhuru Muigai Kenyatta! Hiyo tarehe saba tumeingoja sana. Blah blah za Raila tutazieka fullstop.
 
Raila will Never Never be President of Kenya hata ukitoa matusi. Raila ni fisadi mkubwa anaishi nyumba ya bilioni moja ni nyie wajinga mnaishi nyumba za slams Mathare

Mathare, Kibra penye slums ndo ngome ya ODM where he had been an MP for years and never developed the areas! at the same time ndiyo main areas ya fujo na maandamano na vifo wakati wa demonstrations.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…