Raila Odinga Hafai Kuwa Rais Wakenya

Raila Odinga Hafai Kuwa Rais Wakenya

tayari umoja wa afrika mashariki una marais wasiopingwa wala kukosolewa wala kushauriwa. Tayari wana marais wanaokandamiza demokrasia kilichobaki ni kenya tu. sasa ole wenu wakenya mkampa Raila nchi mtajuta kuliko Uganda kuliko Sisi kuliko tz kuliko burundi yaan ole wenu Kama maendeleo mnayo na kama Rais mnaye. hiv ni nchi gani africa rais anazidiwa nguvu na mahakama aliyoiteua???
KWA SASA KENYA NI KIOO CHA DUNIA MKIMTOA UHURU MTAKUWA PAZIA TU LINALOKINGA MACHO ILA HAKUNA KINGA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hajazidiwa nguvu na mahakama bali amezidiwa nguvu na Raila hakuna cha demokrasia apo,demokrasia ya kuiba kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raila Odinga hana sera yeyote hata yeye ni fisadi mkubwa kumbuka ile scandal ya mahindi alipokuwa kuwa waziri mkuu. Wakati wa mchujo wa kura ya maoni kupitia chama chake cha ODM familia yake ilituhumiwa kupokea rushwa ili kupitisha baadhi ya wagombea. Raila ni chui aliyevaa ngozi ya kondoo. Kipindi cha Uhuru Kenyatta pamoja na tuhuma za ufisadi bado ni strongest economic country in East Africa. Raila kuwa Rais wa Kenya will be disaster kwa Kenya na Africa mashariki.
Hakuna fact apo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wapi kwenye katiba ya Kenya imesemekana kama wewe ni mtu wa vitendawili huwezi kuwa raisi?. Kama humuelewi basi rudi shule ama gumbaru upate masomo zaidi.
Hujui kuchambua sentensi za kiswahili. Unasoma tu lakini hauelewi. Weye naye ni kitendawili tu.
 
Kama inawauma hamieni huku Kenya tutawakaribisha tu! Mje mmpigie Raila wenu kura! Zetu zinaenda kwa Uhuru Muigai Kenyatta! Hiyo tarehe saba tumeingoja sana. Blah blah za Raila tutazieka fullstop.
 
Raila will Never Never be President of Kenya hata ukitoa matusi. Raila ni fisadi mkubwa anaishi nyumba ya bilioni moja ni nyie wajinga mnaishi nyumba za slams Mathare

Mathare, Kibra penye slums ndo ngome ya ODM where he had been an MP for years and never developed the areas! at the same time ndiyo main areas ya fujo na maandamano na vifo wakati wa demonstrations.
 
Back
Top Bottom