Raila Odinga Hafai Kuwa Rais Wakenya

Raila Odinga Hafai Kuwa Rais Wakenya

Hebu fikiria, Mbowe walishatoa tamko ya kuwa wanampa support Uhuru kisa na maana Raila alim-support Magufuli. Halafu isitoshe, Lowasa kaja kwetu kisha kampigia debe Uhuru kwa Wamaasai ya kuwa wampigie Uhuru kura halafu leo hii unasemaje?????????? Ya kwamba Raila aende kumwona Mbowe ambaye yupo na Tundu wataanzaje??????? Anyway, I think Raila is above that and let's pray that maybe he will visit Tundu. Pole sana Tundu.

You are missing the point, siasa sio uadui, mtu kuwa upande wa pili wa siasa haina maana umchukie au umfanyie mambo mabaya. Vyovyote iwavyo yeye ni binadamu kama tulivyo binadamu wengine bila kujali itikadi au chama anachokishabikia. Kwenda kumjulia hali ni ustaarabu na pia ni suala la kibinadamu zaidi na sio kisiasa. Tusiyafanye maisha yawe kila kitu siasa.
 
You are missing the point, siasa sio uadui, mtu kuwa upande wa pili wa siasa haina maana umchukie au umfanyie mambo mabaya. Vyovyote iwavyo yeye ni binadamu kama tulivyo binadamu wengine bila kujali itikadi au chama anachokishabikia. Kwenda kumjulia hali ni ustaarabu na pia ni suala la kibinadamu zaidi na sio kisiasa. Tusiyafanye maisha yawe kila kitu siasa.


Ukiisoma status yangu upya haswa sehemu ya mwisho nilisema na ninanukuu..........."Anyway, I think Raila is above that ......". Asipomtembelea / kumjulia hali nitamshangaa .
 
The only politician in TZ Kenyan's know ni Magufuli pekee. Wakenya hatufwatili siasa za TZ. So hata Raila angeenda kumtembelea hospitalini haingekua na any political mileage as you try to put it.
 
tayari umoja wa afrika mashariki una marais wasiopingwa wala kukosolewa wala kushauriwa. Tayari wana marais wanaokandamiza demokrasia kilichobaki ni kenya tu. sasa ole wenu wakenya mkampa Raila nchi mtajuta kuliko Uganda kuliko Sisi kuliko tz kuliko burundi yaan ole wenu Kama maendeleo mnayo na kama Rais mnaye. hiv ni nchi gani africa rais anazidiwa nguvu na mahakama aliyoiteua???
KWA SASA KENYA NI KIOO CHA DUNIA MKIMTOA UHURU MTAKUWA PAZIA TU LINALOKINGA MACHO ILA HAKUNA KINGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu ya Raila inatia mashaka sana kama kwani mwaka 1962 Raila hakumaliza kusoma elimu ya sekondari katika shule ya Maranda High School. Mwaka 1965 alipata ufadhili kwenda kusoma chuo cha ufundi huko ilipokuwa Ujerumani Mashariki (Technical School Magdeburg) anadai alichukua degree hiyo na masters degree lakini inatia mashaka. Raila hakuwahi kufanya kazi Nairobi University bali alifanya kazi kama manager Kenya Bureau of standards mwaka 1978-1982. Ukisikia hotuba ya nyingi za Raila kwa vijana maarufu mzee wa vitendawili hakuna cha maana anachoongea sera zake kudanganya wananchi anawapeleka Canan ardhi ya matumaini kumbe shida yake ni kwenda kuwatumbukiza wakenya Mediterranean Sea. Mkuu Raila Odinga hafai kuwa Rais wa Kenya afadhali Mudavadi ama Kalonzo. Nchi nyingi za Magharibi hazitaki kabisa kuona Raila anakuwa Rais wa Kenya ndio maana zilimpongeza Uhuru Kenyattta kwa haraka katika uchaguzi uliopita pamoja na utata wake.

Wacha hizo propaganda zako za upuzi.

Raila alikuwa lecturer at University of Nairobi.
Wachana na Wikipedia hizo data za Wikipedia, mtu yeyote anaweza edit na Jubilee wamekuwa wakijaribu sana kuchafua career ya Raila. Wachana na fitina zako za vijiweni, eti Raila hana cha maana chenye yeye huongea?. Hao watu Millioni 8 waliompigia unafikiria ni mchezo?
Wacha vitimbi


Raila alifundisha University of Nairobi. Huwezi compare masomo ya Raila na ya Uhuru.

Is this the photo that 'proves' Raila went to school? - Nairobi News

Who is Raila Odinga? Everything You Need to Know

Wizi wa kura ulidhihirishwa ndio sababu ushindi uliondolewa na koti kuu.
 
Raila ana roho ya vitendawili. Haeleweki na hafai kuwa rais wa Kenya. Vitendawili apelekee wakora wenzie huko maporini.
 
Raila ana roho ya vitendawili. Haeleweki na hafai kuwa rais wa Kenya. Vitendawili apelekee wakora wenzie huko maporini.


Ni wapi kwenye katiba ya Kenya imesemekana kama wewe ni mtu wa vitendawili huwezi kuwa raisi?. Kama humuelewi basi rudi shule ama gumbaru upate masomo zaidi.
 
Ni wapi kwenye katiba ya Kenya imesemekana kama wewe ni mtu wa vitendawili huwezi kuwa raisi?. Kama humuelewi basi rudi shule ama gumbaru upate masomo zaidi.
Raila Odinga hana sera yeyote hata yeye ni fisadi mkubwa kumbuka ile scandal ya mahindi alipokuwa kuwa waziri mkuu. Wakati wa mchujo wa kura ya maoni kupitia chama chake cha ODM familia yake ilituhumiwa kupokea rushwa ili kupitisha baadhi ya wagombea. Raila ni chui aliyevaa ngozi ya kondoo. Kipindi cha Uhuru Kenyatta pamoja na tuhuma za ufisadi bado ni strongest economic country in East Africa. Raila kuwa Rais wa Kenya will be disaster kwa Kenya na Africa mashariki.
 
Wakenya wanapiga kura mwezi ujao kumchagua Rais wa nchi hiyo.
Ni kitendo cha aibu kwa kiongozi huyo anayejiita kinara wa upinzani na demokrasia kushindwa kutoa pole ama tamko lolote linalohusiana na kupigwa risasi kwa mwanasiasa maarufu kutoka chama cha upinzani Tanzania Mheshimwa Tundu Lissu.

Raila Odinga ameshindwaje hata kwenda hospitali kumjulia hali mwanasiasa huyo. Raila ni mtu mwenye uchu wa madaraka na chuki za kisiasa.

Natoa shukrani Uhuru Kenyatta kwa jinsi alivyotoa ulinzi kwa kipenzi cha watanzania Tundu Lissu
Hilo ndo limfanye asiwe rais ? Sio kwel bali hizo ni siasa zenu zisizo na macho najua chadema hamuelewan na odinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Raila ni mbinafsi saaaana sana. Sasa anasema shule zisifunguliwe ati uchaguzi ndio wa maana zaidi,billioni Ksh 15 zitatumika uchaguzi wa marudio sababu yake na maafisa wa IEBC wa zamani waliondolewa bila hatia sababu hakuwa na imani nao.Sasa tume mpya tena anataka ivunjwe .
Haki ni zaid ya gharama unazozingumzia odinga yupo sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wanapiga kura mwezi ujao kumchagua Rais wa nchi hiyo.
Ni kitendo cha aibu kwa kiongozi huyo anayejiita kinara wa upinzani na demokrasia kushindwa kutoa pole ama tamko lolote linalohusiana na kupigwa risasi kwa mwanasiasa maarufu kutoka chama cha upinzani Tanzania Mheshimwa Tundu Lissu.

Raila Odinga ameshindwaje hata kwenda hospitali kumjulia hali mwanasiasa huyo. Raila ni mtu mwenye uchu wa madaraka na chuki za kisiasa.

Natoa shukrani Uhuru Kenyatta kwa jinsi alivyotoa ulinzi kwa kipenzi cha watanzania Tundu Lissu
Hoja za kijinga jinga sijui umetoka nazo vip shimon ,labda tukuulize kama angeenda na kungetokea lolote mlitaka kuongea upumbavu wenu mtu katumwa coz hamchelewi nyie mashudu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu ya Raila inatia mashaka sana kama kwani mwaka 1962 Raila hakumaliza kusoma elimu ya sekondari katika shule ya Maranda High School. Mwaka 1965 alipata ufadhili kwenda kusoma chuo cha ufundi huko ilipokuwa Ujerumani Mashariki (Technical School Magdeburg) anadai alichukua degree hiyo na masters degree lakini inatia mashaka. Raila hakuwahi kufanya kazi Nairobi University bali alifanya kazi kama manager Kenya Bureau of standards mwaka 1978-1982. Ukisikia hotuba ya nyingi za Raila kwa vijana maarufu mzee wa vitendawili hakuna cha maana anachoongea sera zake kudanganya wananchi anawapeleka Canan ardhi ya matumaini kumbe shida yake ni kwenda kuwatumbukiza wakenya Mediterranean Sea. Mkuu Raila Odinga hafai kuwa Rais wa Kenya afadhali Mudavadi ama Kalonzo. Nchi nyingi za Magharibi hazitaki kabisa kuona Raila anakuwa Rais wa Kenya ndio maana zilimpongeza Uhuru Kenyattta kwa haraka katika uchaguzi uliopita pamoja na utata wake.
Nchi za magharib zina umuhim gan katk afrika yetu ? Au ndo vibaraka wa wazungu ? Najua hawampend raila kutokana na misimamo yake madhubut dhid ya ukololoni mamboleo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom