Raila Odinga issues a statement on the Supreme Court's decision.

Raila Odinga issues a statement on the Supreme Court's decision.

Kenya - Kenyata nami sikupenda sana lakini Wakenya wameamua. sikupenda hasa kwa mawazo yangu kuwa ule ukoo ulishatawala na kujikusanyia mali kemkem hivyo usiendelee na kufamya mfano wa ufalme. Kuna uwezekano Uhuru kabebwa na historia ya anakotokea na si kwa sababu yeye kazidi wenzake kwa ubora. kwa msingi huo ukigombea na mtu wa aina hiyo inakuwavigumu kupita hilo tu! sina chuki na Uhuru

Ahaa, nakuelewa ndugu. Lakini unafaa uelewe hivi, watu wengi walimpigia Kura Uhuru si kwa sababu wanampenda saana, ni kwa vile walikua hawamtaki Raila kamwe.

Raila ndiye andui yake mwenyewe number one, kama hangeitisha maandamano alivyofanya 2007 na watu wengi wakauawa, imagine huyu mtu alingojea watu 1300 wauawe huku yeye anangangania 'nusu mkate'. Alipopewe kipande chake basi, akaambia wafuasi wake watulie. Tena akakosea heshima wale wenzake waliomsaidia 2007 akina Ruto,Balala na wengine, nao wakamhepa.

Kama si siasa zake za chuki na mapropaganda, huyu Raila angepata Kura mingi sana katika ngome yake Uhuru huko Mt Kenya . Kama hangekosea Ruto na watu wa Riftvalley kwa matusi mingi, ange pate kura huko, lakini sasa........
 
STATEMENT BY THE RT. HON RAILA A. ODINGA ON THE JUDGEMENT OF The SUPREME COURT OF KENYA

564656_584749014877897_1202138477_n.jpg



29th March, 2013

Fellow Kenyans,
Members of the media,
Ladies and gentlemen,
Good afternoon,

You will recall that on 9th March 2013, I issued a statement on the conduct of the elections which hadjust been concluded.I expressed my deep gratitude to all Kenyans who had turned out massively to exercise their democratic rights to vote and elect their leaders.

I however expressed my dismay that contrary to the expectations of Kenyans, we witnessed the failure of virtually every instrument the IEBC had deployed to ensure free, fair and transparent elections.

I outlined such failures, with concrete examples of the anomalies that all of us witnessed. It was clear that the constitutionally sanctioned process of electing new leaders had been thwarted again by another tainted election.

Democracy was on trial in Kenya.But that has not dented my commitment to constitutionalism and the rule of law.Enforcing the spirit and letter of the
constitution remains the only sure way to peace and prosperity for our young democracy.

My decision to file a petition in the Supreme Court to challenge the validity of the election was a testament of my faith in the independence of our judiciary.We did so for the sake of our democracy and for the sake of allKenyans who wanted to exercise their constitutional right to elect their leaders through free and fair election.

We were joined in this endeavour by Africog, which separately filed a petition seeking to nullify the fourth of March Presidential election. This proves that my petition had nothing to do with personal grudge as contended by the IEBC, Hon Uhuru Kenyatta and Hon William Ruto.

In the petition, I expressed our belief that the court would uphold the letter and spirit of ourconstitution. I pledged to abide by the court'S decision.

We prosecuted the case to the best of our ability. Our legal team, led by Senior Counsel George Oraro compiled formidable and logical evidence,showing that massive malpractices occurred during the elections.

We unearthed evidence of technology failure that required afull audit, inappropriate conduct on the part of IEBC staff, irregular andunethical arrangements such as the sharing of servers by IEBC with a competitor and unmarked registers.

We regret that the court disallowed evidence on the grounds that it was either filed late or the court did nothave time to inquire into these discrepancies. In the end, Kenyans lost their right to know what indeed happened.

Ladies and gentlemen, the court has now spoken. Article 140 of our constitution states that"the Supreme Court shall hear and determine the petition and its decision is final."

Although we may not agree with some of its findings, and despite all the anomalies we have pointed out,our belief in constitutionalism remains supreme.Casting doubt on the judgment of the court could lead to higherpolitical and economic uncertainty,and make it more difficult for ourcountry to move forward.

We must soldier on in our resolve to reform our politics and institutions. Respect for the supremacy of the constitution in resolving disputes between fellow citizens is the surest foundation of our democratic society.

And the courts should always act within the evolving constitutionalculture.

I and my brother and running mateHon Kalonzo have no regrets for taking our case to court.Indeed, it is our view that this court process is yet another milestone in our long road towards democracy for which we have fought so long.

Truth, justice and the faithful implementation of the constitution is our best guarantee to peace and security.

Ladies and gentlemen,It is my hope that the incoming government will have fidelity to our constitution, and implement it to the letter for the betterment of our people. I wish president –elect Uhuru Kenyatta and deputyPresident elect William Ruto best of luck in this endeavour.

I also wish all the Senators, Members of Parliament, Women Representatives, Governors and others who were elected in the last election success in discharging the expectations of our people.

I want to thank Senior Counsel George Oraro and the members of his legal team for their hard work and devotion in the quest for justice. I would also like to pay special tribute to the Africog legal team led by Kethi Kilonzo for their immense contribution to the rule of law and democracy.

To the Kenyans who supported us and our petition, I want to assure you that I will continue to work for you and with you to build our county, Kenya, and to help you achieve your dreams.My actions have always been guided by my desire to bring about a better life for all Kenyans, particularly those who are less privileged.

The future of Kenya is bright. Let us not allow the elections to divide us. Let us re-unite as a Nation.

Finally, I call on all Kenyans– oursupporters and opponents alike – toremember the sacred words of our National Anthem: Justice be our shield and defender.

Thank You and God Bless Kenya.
Nchi za Afrika badio tuna safari ndefu sana katika safari yetu kuelekea kuwa nchi za Ki Demokrasia. Mahakama katika nchi zetu zimebaki kuwa 'mahakama za Kangaroo'. Mahakama zetu ni zenye kujali maslahi ya mtawala hususani pale panapohusiana na kesi za Ki Katiba kama vile Uchaguzi Mkuu wa Nchi wa Rais. Na ndio maana tumekuwa tukishuhudia watu wakisaka haki kwa njia za mitulinga badala ya kukaa pamoja mezani kutafuta suluhu kwa njia za kimahakama au ki diplomasia. Tumeshuhudia watu wakiingia barabarani/mtaani kutafuta haki zao mpaka ile waswahili wanasema 'kieleweke'.

Pamoja na madiliko makubwa ya mahakama ya Kenya kuwezeshwa bado imeonekana kuwa haijakuwa huru wala kuwa na ujasiri wa kudhubutu kama yenyewe ilivyo kuwa ikijinadi tena kwa kuhimiza kuwa shauri lipelekwe huko ili haki ipate kutendeka. Kwa wale mliokuwa mnafutilia shauri hili pale lilipoanza tu Rais wa Mahakama alitoa kauli kuwa anaomba wale walioleta shauri wawe tayari kwa uamuzi wowote hata ule ambao hautawafurahisha. Kauli ile peke yake ilikuwa na utata mkubwa. Wengi walitolea maoni kuwa na kubashiri kuwa uamuzi utakuwa na nguvu ya kisiasa zaidi kuliko kutimiza haki hata kama Majaji wanaiona haki hiyo. Hivyo kwa kifupi mahakama imeamua kesi hii kwa maslahi ya kisiasa zaidi. Kwa maneno mengine ni kuwa Mahakama imetishika baada ya 'kutishiwa nyau' kupitia ile slogan ya kuwa 'nchi itatumbukia kwenye dibwi la vurugu na umwagaji wa damu endapo uamuzi ungekuwa kutengua ushindi wa kinya ama kuarisha marudio ya duru ya pili kwa kuwa kura za UK hazikutosha katika duru ya kwanza. Mahakama imefanya exactly yule lawyer (msomali) wa IEBC alivyodai wakati akifunga hoja zake (kwa kutisha majaji) kuwa nchi itaingia katika vurugu, uchumi utayumba na thamani ya shilingi kuzidi kudolora na sabu kedekede za vitisho. Na akahitimisha kuwa mahakama na majaji wake wawe tayari kubeba mzigo wa lawama.

Kwa Mahakama kufanya maamuzi ya kisiasa badala ya Ki katiba kuna hatari kubwa. Kwa huko mbele ya safari napata mashaka kama vyama vitadhubutu kupeleka kesi nyingine kama hii. Kenya inaweza kurudi tena nyuma kwani mambo yatakuwa kama yale yale ya 2007. Kesi za uchaguzi wa Rais zitaishia kuamuliwa kimabavu mitaani. Kwani mahakamani imewaangusha wale wanaoamua kudai haki zao kwa taratibu za Ki Katiba. Kwa jinsi zoezi zima lilivyokwenda inaonyesha kuwa bado ni rahisi kushinda uchaguzi kwa njia za mkato na bado ukaweza kushinda kwa hoja za kutishia "kuvunjika kwa amani" na mwisho wa siku ushindi wako wa mashaka (mkato) kutakaswa (barikiwa) na msimamzi mkuu wa haki ambayo ni mahakama.

Hivyo kwa Afrika safari ya kuelekea nchi ya demokrasia kamili bado ni ndefu na ina kitambo kirefu.
 
mi simpendi uhuru kiukweli !
Ukiniuliza sababu sina!
Simpendi tu!
Kama ambavyo sina sababu ya kuichukia barcelona.
pole ww utakuwa cdm mrudie mungu wako kwani kumchukia mtu bila sababu ni kwamba unamchukia aliyemuumba
 
kwa wale wenye uelewa wa mambo ya kisiasa kidogo,na kuweka ukabila na ushabiki pembeni,watakubaliana na mimi kwamba odinga ameitendea haki kenya kupigania mabadiliko mengi ya kisiasa. harakati zake hazijaanza leo wala jana,yeye pamoja na wanaharakati wengine wa mabadiliko wamepigania katiba mpya ambayo leo wakenya wanajivunia,katiba iliyotoa mwanya wa kuundwa kwa vyama kama TAN,ODM,URP nk leo hii kenya ina mfumo wa maseneta,gavana kutokana na katiba hii hii waliokuwa wanaipinga wakina uhuruto,leo hii wameungana makabila mawili na kupinga chochote asemacho odinga,kisa eti sio kabilal lao.ukisoma magazeti ya yao( bahati nzuri majina yao yanaonyesha wazi watanoka kabila gani) hakuna hata mmoja anaye japo kwa mbali kumpa kudos odinga kwa yote aliyoyafanya. ukisoma different blogs za kwao,coments zinaonyesha wazi wazi uchaguzi huu umewagawa kitabaka sana wakenya,wakikuyu wanaona wao ndio the choosen tribe,wakalenjin wanaona baada ya uhuru, Ruto ndie next prezo.nadiriki kusema kwamba serikali ya jubilee inaitaji nguvu kubwa ku heal na kuwaunganisha wakenya tena.ebu angalia bunge,maspika wote wawili.kulikuwa na haja gani ya kumtoa marende,ila wamemuondoa kwa sababu alikuwa anatokea ODM bunge lililopita,japo alifanya kazi nzuri sana. ukabila utawatafuna sana wakenya ngoja tusubiri baraza a mawaziri tuone itakuwaje.
 
Ni kweli mkuu,wametikishika na kudorora kwa uchumi na vurugu,kwa upande mwingine wa shilingi lazima tujiulize ,kwa nini vurugu zitokee kwani ni lazima awe uhutu tu?
kusema kweli hii kesi mahakama imewalet down wakenya,hii kesi ingeamuliwa uchaguzi urudiwe,ingekuwa ni fundisho kwa viongozi wanaoingia madarakani kwa njia za udanganyifu.
 
Raila is a failed politician aende zake akapumzike aleee wajukuu kama anao..uraisi ndo basi tena ..labda awe rais wa bendi kama akudo au nanyuki jazz band
 
kumbuka raila alikubali nusu mkate baada ya jopo la wasuluhishi kumuomba aiokoe kenya kwa kukubali yaishe,coment yako imejaa ukabila na kutokuona mbali.kosa la raila kwa ruto ni lipi?
Ruto alitaka apewe dpm docket, raila akampa Mdv,hapo ruto kwa kushirikiana na wakikuyu wakaanza kumsaliti odinga.
angalia ishu ya MAU forest ilivyogeuzwa kisiasa na kuiweka eti odinga hawapendi kalenjins,wakati lile lilikuwa for the benefit of the country at large
 
ebu angalia bunge,maspika wote wawili.kulikuwa na haja gani ya kumtoa marende,ila wamemuondoa kwa sababu alikuwa anatokea ODM bunge lililopita,japo alifanya kazi nzuri sana. ukabila utawatafuna sana wakenya ngoja tusubiri baraza a mawaziri tuone itakuwaje.
...hapa umenishangaza sana, ulitegemea vipi eti Wabunge ambao majority ni wa Jubilee eti wamchague Spika toka chama pinzani cha CORD?kumbuka kwenye uchaguzi huu Jubilee ina Serikali na ina majority kwenye mabunge yote mawili, kama hii sio ishara ya imani kuwa majority ya Wakenya wameichagua Jubilee sijui mpate ishara gani zaidi...
 
kwako anaweza kuwa amefeli kisiasa,lakini kwa wale wanao ona mbali na kukumbuka ya jana wanamuona HERO.coment kama hii haiwezi kutolewa na mtu mzima hata kama anamchukia odinga,maneno yetu yana reflect umri na the type of people we are.naona wewe ni moja kati wale wa vijana wanao ongozwa na mihemko ya kisiasa.
hold on your horses waweza kujikut unaongea pumba mbele ya watu.kwani kutochaguliwa ndio inamaana uwezi kuongoza? kwani kiongozi wa akudo an mapungufu gani? kijana nakushauri uchague forum kam vipi unaweza enda fb,kule kuna watu kama wewe wengi tu.
 
Hao kwa kifupi isha kula kwao, na huyo Kalonzo ndo kabisa, anapotea kwenye Dunia ya Siasa, Ila siasa ndo zilivyo nazania Joseph Stalini wa Iliyo kuwa USSR aliongelea vizuri sana kwenye hili,

Naunga mkono hoja hapo kwenye red!!! Hii ndivyo hali ya demokrasia iko katika nchi nyingi za kidikiteta au zenye ukoloni mamboleo (nyingi zikiwa katika bara la Afrika)!!!

View attachment 88687
 
Kenya itabidi warudie uchaguziwa Rais in a year's time kwani Uhuru na Ruto watakuwa wameisha hukumiwa kifungo huko Hague!!! Kukataliwa kwao kusikiliza kesi yao kwa mtandao ni ishara tosha kuwa wanatakiwa waende Hague in person ili hukumu ikitolewa waende lupango!!
 
kwa wale wenye uelewa wa mambo ya kisiasa kidogo,na kuweka ukabila na ushabiki pembeni,watakubaliana na mimi kwamba odinga ameitendea haki kenya kupigania mabadiliko mengi ya kisiasa. harakati zake hazijaanza leo wala jana,yeye pamoja na wanaharakati wengine wa mabadiliko wamepigania katiba mpya ambayo leo wakenya wanajivunia,katiba iliyotoa mwanya wa kuundwa kwa vyama kama TAN,ODM,URP nk leo hii kenya ina mfumo wa maseneta,gavana kutokana na katiba hii hii waliokuwa wanaipinga wakina uhuruto,leo hii wameungana makabila mawili na kupinga chochote asemacho odinga,kisa eti sio kabilal lao.ukisoma magazeti ya yao( bahati nzuri majina yao yanaonyesha wazi watanoka kabila gani) hakuna hata mmoja anaye japo kwa mbali kumpa kudos odinga kwa yote aliyoyafanya. ukisoma different blogs za kwao,coments zinaonyesha wazi wazi uchaguzi huu umewagawa kitabaka sana wakenya,wakikuyu wanaona wao ndio the choosen tribe,wakalenjin wanaona baada ya uhuru, Ruto ndie next prezo.nadiriki kusema kwamba serikali ya jubilee inaitaji nguvu kubwa ku heal na kuwaunganisha wakenya tena.ebu angalia bunge,maspika wote wawili.kulikuwa na haja gani ya kumtoa marende,ila wamemuondoa kwa sababu alikuwa anatokea ODM bunge lililopita,japo alifanya kazi nzuri sana. ukabila utawatafuna sana wakenya ngoja tusubiri baraza a mawaziri tuone itakuwaje.

Ulichosema na mimi ndiyo nimekuwa nakisema. Ila kuna wapumbavu humu waliolewa kool-aid ya Uhuru ambao hawawezi kuelewa.

Wana-heap praise kwa Kenya kutuzidi Tanzania hususan kwenye haya mambo ya kisiasa ila wanasahau wanaharakati waliojitoa mhanga kuhakikisha hiyo nchi inafika hapo ilipo na kwenda mbele zaidi.

Unazi bila akili mbaya kuliko UKIMWI!
 
Ulichosema na mimi ndiyo nimekuwa nakisema. Ila kuna wapumbavu humu waliolewa kool-aid ya Uhuru ambao hawawezi kuelewa.

Wana-heap praise kwa Kenya kutuzidi Tanzania hususan kwenye haya mambo ya kisiasa ila wanasahau wanaharakati waliojitoa mhanga kuhakikisha hiyo nchi inafika hapo ilipo na kwenda mbele zaidi.

Unazi bila akili mbaya kuliko UKIMWI!

Afadhali mumesema nyie mazee!
 
Inabidi tu tuuseme ukweli bana.

Mchango wa Raila kwenye mageuzi ya Kenya ni mkubwa sana kuliko mchango wa Uhuru.

Au naongopa mzee mwenzangu?

Raila amechangia hadi mafanikio madogo ya Uhuru na Ruto....
hata hiyo Supreme court kaichangia uwepo wake...
Bila Raila hata TNA maybe isingekuwepo labda leo Rais angekuwa Gideon Moi
 
We can outsource Raila to Tz if u guys feel for him that much. Aliyesema mambo ya mau forest ajaribu kutafuta clip za siasa za hiyo ishu pre 2
007 na atapata jibu. We are wise enough to see beyond veiled threats and propaganda. I challenge any of you atafute kanda za kampeni 2013 za cord atwambie healing aina gani ingetoka kwa hiyo group.
 
Back
Top Bottom