Kenya 2022 Raila Odinga: King'ang'anizi katika kuutaka urais wa Kenya, uchaguzi huu anagombea kwa mara ya tano (5)

Kenya 2022 Raila Odinga: King'ang'anizi katika kuutaka urais wa Kenya, uchaguzi huu anagombea kwa mara ya tano (5)

Kenya 2022 General Election

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Raila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa kenya kabla hajafa!! Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77. Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbali mbali, na mwaka huu anagombea kupitia umoja wa vyama uitwao AZIMIA LA UMOJA.

Swali, je akiangukia pua mwaka huu ataweza kugombea tena huo mwaka 2027 atakapokuwa na miaka 82 au ndo itabidi akubali matokeo ya kufa bila kutimiza ndoto na apio lake?

Kumbe Mzee bado ni mdogo sana, ana miaka 68 tu ukilinganisha na 77 ya Raila Odinga. Tumtie moyo Lowasa kugombea tena 2025, na 2030. Huo mwaka 2030 Lowasa atakuwa na miaka 76 tu na atakuwa anagombea kwa mara ya tatu tu!

=====

Raila again, a fifth time: A look into his 4 previous attempts at presidency.​

Raila Odinga has run for presidency four times: in 1997, 2007, 2013 and 2017.

1660030693487.png
 
Raila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa Kenya kabla hajafa. Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77!! Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbalimbali, na mwaka huu anagombea kupitia umoja wa vyama uitwao AZIMIA LA UMOJA. Swali, je akiangukia pua mwaka huu ataweza kugombea tena huo mwaka 2027 atakapokuwa na miaka 82 au ndo itabidi akubali matokeo ya kufa bila kutimiza ndoto na apio lake?

Kumbe Mzee mamvi bado ni mdogo sana, ana miaka 68 tu ukilinganisha na 77 ya Raila Odinga!! Tumtie moyo Lowasa kugombea tena 2025, na 2030. Huo mwaka 2030 Lowasa atakuwa na miaka 76 tu na atakuwa anagombea kwa mara ya tatu tu.

Raila again, a fifth time: A look into his 4 previous attempts at presidency.​

Raila Odinga has run for presidency four times: in 1997, 2007, 2013 and 2017. [File, Standard]

1660031764731.png
 
Ili Kenya kuepuka visasi vya kisiasa na chuki ilikuwa lazima mjaluo awe Rais wengi wamepitia kwa mgongo wa wajaluo kuwa marais na mjaluo sahihi kwasasa ni Raila Odinga, siasa za Kenya sio rahisi kuzitenganisha na ukabila......
 
Wakenya wataamua kama wanaamini kuwa ya kale ni dhahabu au kizazi kipya ndio suluhisho la changamoto za sasa! Wakati Raila Odinga ana miaka 77, William Ruto ana miaka 55 (Kikwete aligombea akiwa na miaka 55 akashinda!!). Mkapa alipata urais akiwa na miaka 57. Inaelekea umri mzuri wa kuweza kufanikiwa kuwa rais ni umri wa miaka 55-60. Zaidi ya hapo kwa waafrika akili inakuwa imechoka sana!! Ila jibu la mwisho wanalo wakenya!
 
Raila hana tofauti na Joe Biden. Halafu ukimweka Kamala vs Karua, ndiyo kabisaaa! Kenya wamenakili mpaka jina la wanayempiga chabo mtihanini.
 
Wakenya wataamua kama wanaamini kuwa ya kale ni dhahabu au kizazi kipya ndio suluhisho la changamoto za sasa! Wakati Raila Odinga ana miaka 77, William Ruto ana miaka 55 (Kikwete aligombea akiwa na miaka 55 akashinda!!). Mkapa alipata urais akiwa na miaka 57. Inaelekea umri mzuri wa kuweza kufanikiwa kuwa rais ni umri wa miaka 55-60. Zaidi ya hapo kwa waafrika akili inakuwa imechoka sana!! Ila jibu la mwisho wanalo wakenya!
Ruto 4 million votes
RO = 8.5 million

Hilo halina upinzani.

But Ruto has always been my best choice.
 
Ili Kenya kuepuka visasi vya kisiasa na chuki ilikuwa lazima mjaluo awe Rais wengi wamepitia kwa mgongo wa wajaluo kuwa marais na mjaluo sahihi kwasasa ni Raila Odinga, siasa za Kenya sio rahisi kuzitenganisha na ukabila......
Hapo ndipo wanapofeli wakenya kwenye suala la ukabila!! Kwani rais wa kabila lako akiwa rais atakupa pesa za bure? je atakupa kiwanja cha kujenga nyumba? je atalipa karo au ada ya shule ya watoto wako? Ukweli ni kwamba hakuna faida yoyote ya binafsi unayoipata!! Achaneni na ukabila.
 
Si kwamba Raila Odinga ni king'ang'anizi, la hasha! Bali ana ile spirit ya "NEVER EVER GIVE UP WHILE YOU STILL ALIVE"
But it is high time now for Raila to accept the reality that, the probability of being a president in his lifetime is extremely very small!! He better be content for what he has gained in his political ambitions! I admire him as a STATESMAN!!
 
Raila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa Kenya kabla hajafa!! Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77!! Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbalimbali, na mwaka huu anagombea kupitia umoja wa vyama uitwao AZIMIA LA UMOJA. Swali, je akiangukia pua mwaka huu ataweza kugombea tena huo mwaka 2027 atakapokuwa na miaka 82 au ndo itabidi akubali matokeo ya kufa bila kutimiza ndoto na apio lake?

Kumbe Mzee mamvi bado ni mdogo sana, ana miaka 68 tu ukilinganisha na 77 ya Raila Odinga!! Tumtie moyo Lowasa kugombea tena 2025, na 2030. Huo mwaka 2030 Lowasa atakuwa na miaka 76 tu na atakuwa anagombea kwa mara ya tatu tu!!

Raila again, a fifth time: A look into his 4 previous attempts at presidency.​

Raila Odinga has run for presidency four times: in 1997, 2007, 2013 and 2017. [File, Standard]

View attachment 2318921
Its now or never
 
Raila Odinga alijiapiza kuwa lazima awe rais wa Kenya kabla hajafa!! Leo anagombea kwa mara ya tano akiwa na miaka 77!! Na jamaa huyu hujaribu bahati yake kupitia vyama mbalimbali, na mwaka huu anagombea kupitia umoja wa vyama uitwao AZIMIA LA UMOJA. Swali, je akiangukia pua mwaka huu ataweza kugombea tena huo mwaka 2027 atakapokuwa na miaka 82 au ndo itabidi akubali matokeo ya kufa bila kutimiza ndoto na apio lake?

Kumbe Mzee mamvi bado ni mdogo sana, ana miaka 68 tu ukilinganisha na 77 ya Raila Odinga!! Tumtie moyo Lowasa kugombea tena 2025, na 2030. Huo mwaka 2030 Lowasa atakuwa na miaka 76 tu na atakuwa anagombea kwa mara ya tatu tu!!

Raila again, a fifth time: A look into his 4 previous attempts at presidency.​

Raila Odinga has run for presidency four times: in 1997, 2007, 2013 and 2017. [File, Standard]

View attachment 2318921
Hata Raisi was dad's wa Zambia H.H aligombea Mara 5
 
Wakenya tuambieni ukweli: Hivi kama ukabila ukiwekwa kando kabisa je Uhuru Kenyata angeshinda uchaguzi wa urais dhidi nya Raila?
 
Wakenya wataamua kama wanaamini kuwa ya kale ni dhahabu au kizazi kipya ndio suluhisho la changamoto za sasa! Wakati Raila Odinga ana miaka 77, William Ruto ana miaka 55 (Kikwete aligombea akiwa na miaka 55 akashinda!!). Mkapa alipata urais akiwa na miaka 57. Inaelekea umri mzuri wa kuweza kufanikiwa kuwa rais ni umri wa miaka 55-60. Zaidi ya hapo kwa waafrika akili inakuwa imechoka sana!! Ila jibu la mwisho wanalo wakenya!
Kila mtu huwa anakuwa affected na umri kwa namna tofauti. Kuna watu wakiwa na miaka 45 huwa wanaonekana na na kuwa na uwezo kama wa wazee wenye miaka 70. Na kuna watu wakiwa na miaka 75 wanaonekana na wanakuwa na uwezo kama wa watu wenye miaka 50. Kuna factors nyingi zinasabisha, kuanzia kurithi, hali ya uchumi, magonjwa nk. Lowassa siyo mzee kugombea urais ila amekuwa na bahati mbaya ya kuandamwa na ugonjwa. Raila Odinga mpaka sasa hivi anaonekana kimwili na kiakili bado anaweza kuongoza. Hata mimi namwombea sana ashinde kwani amekuwa mtu muhimu sana kwenye mageuzi ya vyama vingi si Kenya tu bali Afrika Mashariki yote. Unaweza kumlinganisha na Maalim Seif (RIP), ila Maalim alipata bahati mbaya ya kudhulumiwa bila kupata ufumbuzi mpaka alipofariki.
 
Back
Top Bottom