Linganisha mafanikio ya lowasa na raila then urudi hapa.
Raila ameipambania mno Kenya toka enzi za kiongozi dhalimu moi.
Pia kwenye kigezo cha umri marais wa Kenya walipopata uongozi iko hivi:
1.Kenyatta senior-77yrs
2. Moi-54yrs
3. Kibaki- 77yrs
4. Kenyatta junior- 54yrs
5. Raila- 77yrs.
NB: Raila is the 5th