RAILA ODINGA: Tarehe 12, Disemba nitapishwa na kuingia Ikulu

Shoga ake na Baba Ubaya..



Aje huku shosti wake ampe ubalozi au ukuu wa mkoa
 
Ukiona mwanasiasa mkongwe anafanya hivi ujue kaisha
 
Baba yake aliulilia urais hata sekunde moja hadi kufa kwake Si jomo Kenyatta hata moi arap hakumpa sasa nadhani yeye anataka kuondoka Na roho za wakenya
 
Ukijua tabia, hulka na roho mbaya za wakenya hutowaonea huruma hata kidogo
 
Anamaanisha nini kusema hivyo kua atampindua ama vipi...
Kauli kama hizi sio za kufumbiwa macho atoe maelezo vizuri.
 
Wakenya msikubali huu upuuzi. Hizo ni dalili tosha kua Laila Odinga nae ni mchumia tumbo. Alipaswa kuwa ICC at ths moment kwa mauaji yaliyotikea.
 
Naona akili na mbinu zote zishamwishia akalee wajukuu sasa haina namna
 
 

Attachments

Hakuna kitu serikali ya Uhuruto imefanyia wakenya zaidi ya kuua na kuiba pesa za wananchi.

Sgr ya pekee yenye amejenga ambayo angechukua nayo credit aliongezea pesa maradufu na kutuletea madude ya WW2 ya 1945... more than Ksh100bn inflated

Usiwe unashangilia jina la Uhuru and you don't pay Kenyan tax.

Tunataka mabadiliko.
 
Reactions: Oii
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…