Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,072
- 7,891
Mgombea wa Urais wa Kenya aliyejitoa katika uchaguzi wa marudio Raila Odinga ameonekana katika viunga vya mji wa Unguja (Stone Town) .Wapasha habari wanadai yupo katika mapumziko. Ikumbukwe kwamba majuzi alisababisha vifo vya watu watano wakati wa mapokezi yake jijini Nairobi akitokea America