Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Mutula Kilonzo...Otieno Kajwang'......na sasa Fidel Odinga
Things that make you go hmmm.......
News za kienyeji enyeji za vyombo vya habari vya Afrika Mashariki, hazikupi perspective. Hazikwambii hao wanaodai uchungu wanadhani marehemu alikuwa ana maadui/wapinzani gani au wenye sababu zipi ambazo inawezekana ndio ziliwasumbua wauaji wake. Nothing makes sense around here.
Huyu Fidel alimgonga na kuua mwendesha Pikipiki mwezi September 2014, haikuwa ishu kiivyo, leo yeye ndo tu naona Msiba ? Kifo hakina double standards, Ok RIP.
huyo mtoto wake si mwanasiasa serikali itamuua kwa faida gani? Inawezekana mauaji hayana uhusiano na siasa
Na wale wanaopigwa risasi mitaani huko Narobi nao pia Mungu amewapenda zaidi?
Sent from my SM-G800H using Tapatalk