Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Du dingi sasa huko anakoendelea siko. Naona litakuja kuwa zari la kufa mtu hapa, Odinga akimwangwa mahakamani. Mimi ningeshauri wakiitisha kuandamana mwacheni aandamane kwa amani. Mkituma polisi tu hapo wazungu lazima watakuja kuweka no-fly zone.
Sio watakuja, Waingereza wana Military base kubwa tu Kenya tangu siku nyingi, na tayari kuna wanajeshi kibao washamwagwa, hivyo huyo Bw. Odinga anajua anchokifanya, wewe utasikia tu!
