Raimundo popote pale ulipo

Wanaume mpo wachache sana
Jamaa nimem maindi kinoma, jamaa ningekuwa nae karibu ningemfuki mdomoni...

Halafu mods wamemlia buyu yule jamaa, sijui mamods wapo nyuma yake hata sielewi..

Sheria za jf zinavunjwa hakuna anae jali.... Privacy za watu zilindwe kwa nguvu zote
 
Acha nimpe kampani mtoto wa MUHAS uyu inaelekea amejawa na upweke achelewi kuanzisha thread na kujijibu mwenyewe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mdogo angu nimecheka hizi details za humu, kuna watu wanaunga unga information ilimradi waonyeshe wanamjua mtu, baba yupi huyo aliekufa? na wewe umezidi kuentertain pm, ukimkataa mtu lazima aje kutema povu huku
 
Na kwanini uende Pm ya mmiliki wa K nyeusi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa ndio wanaume wa jf

kuna wanaume wanajielewa humu, huwezi kuwakuta kwanza majukwaa haya, pili hawana mda wa drama, busy na mambo muhimu,hata real life wako vizuri pia.uwii mpaka natamani kuwa cc[emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] ,this is to all gentlemen here,


part 2 sasa ndio hawa utawakuta kila thread, vijembe, umbea, uchochezi yani 24/7 wapo pm mara thread hii etc kama wadada vile [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,uwiii hawa nikianza kuwa cc ni wengi mno,

mdogo angu take note, usijibu pm za namna hio, usijimix kabisa lolest, nimeandika huku nacheka
 
cmon kiwatengu, unadhani hizi tuhuma za jf huwa ni kweli 100%,au ni mtu hukaa na watu wachache huko kwenye magroup watsap na kupanga mambo, na watu wengi hupenda kuamini hayo yanayotungwa
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hapana huwa sipendi kuingilia yasiyonihusu, dada hizo screenshot ulizonazo unatamani sana kuzirusha, anzisha thread utupie hizo mambo kurahisisha maisha, shusha huo mzigo

kuna kitu najifunza jf kama ambavyo unajitahidi kujua mambo ya watu, wapo watu pia wanayajua yako pia, inawezekana wasiyaongelee jukwaani kama hivi ila wanayajua, mnawekeana vinyongo na kubeba watu hata hawawaongezei kitu maishani for what?

cc: sumbai hongera
 
Bodaboda walikuwa wanauliza ni kitu gani kinatupita hicho kina kasi hivo nikawaambia raimundo wakauliza hiyo raimundo ni toleo jipya la pikipiki nikawaambia ni raimundo wa jf
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asalale
 
asante umesema wewe mwanaume mwenzao
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] katikati ya umbea anapatikana mwanaume

usijue issue za mwanao shuleni uje kuulizia mambo ya mtu mtaani, [emoji28] [emoji28] [emoji28] hebu nicheke mie
Ww una jamaa mpya cku hizi
 
nitarudi ijumaa jf, nitakuta mipovu yenu na matusi juu, sijawahi kukatika kiungo kwa matusi zaidi nikute matusi mapya nijifunze
wish you a successful week ahead

cc rubii my dear endelea kuwapuuzia hata wakisema umeshindwa acha wajipe moyo hivyo ila usiwape chance ya kujibizana nao,wapange mipango huko kwenye groups bahati mbaya tunazipata zote, wakuchokonoe uwajibu usijibu kitu, ignoring them is the best answer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…