this I had to like!I lyk that part unayojifanya church gal
Ur notthis I had to like!
am a church girl, nikiwa au nisipokua inakupunguzia nini wewe, lipi linakukera? [emoji28] [emoji28] [emoji28]
so?? nini kinakusumbua?Ur not
[emoji12] [emoji12] [emoji12] ....i cn see hw easily i gt into ur nervesso?? nini kinakusumbua?
mahusiano yangu mimi na Mungu u think ntahangaika kuyaprove kwako wewe kama nani[emoji28] [emoji28] [emoji28]
hahah, mtu nisiemjua hanipandishi mzuka kirahisi hivyo[emoji12] [emoji12] [emoji12] ....i cn see hw easily i gt into ur nerves
Kumbe hukujua km unaandika ujinga wakat unaanza....uliona unaandika ujanja?!hahah, mtu nisiemjua hanipandishi mzuka kirahisi hivyo
ila sientertain ujinga, ukinichokoza lazima nikujibu, nikikujibu kumbe unajipa ujiko u get into my nerves, nikinyamaza mnajisifu kakimbia
[emoji3] [emoji3] usinipangie, hata ukiona u get into my warevaa ni wewe tu hainihusu hio
Huyo rubii alicho fanyiwa ni kitendo cha unyanya saji, imeniuma sana, mtu mmoja anaharibu sifa za wanaume wote...nitarudi ijumaa jf, nitakuta mipovu yenu na matusi juu, sijawahi kukatika kiungo kwa matusi zaidi nikute matusi mapya nijifunze
wish you a successful week ahead
cc rubii my dear endelea kuwapuuzia hata wakisema umeshindwa acha wajipe moyo hivyo ila usiwape chance ya kujibizana nao,wapange mipango huko kwenye groups bahati mbaya tunazipata zote, wakuchokonoe uwajibu usijibu kitu, ignoring them is the best answer
ujinga ujanja mie sijali, do i look like I care?Kumbe hukujua km unaandika ujinga wakat unaanza....uliona unaandika ujanja?!
Kumbe ww ulivyoanza kuniquote haukuwa umbea?...au uliposema una taarifa watu watakuja kusema issue za watu humu ilikuwa ni nn?ujinga ujanja mie sijali, do i look like I care?
ulianza nimeshapata mwanaume mwingine, ukaja am not a church girl... naona unatapatapa tu sijaona jipya hapo
pambana na mambo yako....punguza umbea teh, umbea unatufaa sisi wadada bana we kuwa busy kufatilia projects zako, pambana wanao wasome HOPAC, IST, ISM, ukijitahidi hata HAVARD, umiza kichwa kufikiri ninunue ndinga gani jipya kali etc hayo ndio mambo wanaume wanahangaika nayo ila sio brenda leo kafanyaje smh when do you get time for your family[emoji28] [emoji28] [emoji28]
nilishaaga hapa jamani
uwe na siku na week njema, huko ninapoenda bahati mbaya sitokuwa busy na simu but nikirudi nitakuta majibu
Kumbe unaijua familia yangu?...nlikuwa sifahamuujinga ujanja mie sijali, do i look like I care?
ulianza nimeshapata mwanaume mwingine, ukaja am not a church girl... naona unatapatapa tu sijaona jipya hapo
pambana na mambo yako....punguza umbea teh, umbea unatufaa sisi wadada bana we kuwa busy kufatilia projects zako, pambana wanao wasome HOPAC, IST, ISM, ukijitahidi hata HAVARD, umiza kichwa kufikiri ninunue ndinga gani jipya kali etc hayo ndio mambo wanaume wanahangaika nayo ila sio brenda leo kafanyaje smh when do you get time for your family[emoji28] [emoji28] [emoji28]
nilishaaga hapa jamani
uwe na siku na week njema, huko ninapoenda bahati mbaya sitokuwa busy na simu but nikirudi nitakuta majibu
Things that make you go hmmm! This is one of them!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Rubii mtoto wa kariakoo. Let them think watakavyo.[emoji3] [emoji3] [emoji3] mdogo angu nimecheka hizi details za humu, kuna watu wanaunga unga information ilimradi waonyeshe wanamjua mtu, baba yupi huyo aliekufa? na wewe umezidi kuentertain pm, ukimkataa mtu lazima aje kutema povu huku
[emoji1] Wala wasikusononeshe hawa wanadamu. kwani wakisema nimekopwa 30000 ya gesti na sijakopwa napata madhara gani?Huyo rubii alicho fanyiwa ni kitendo cha unyanya saji, imeniuma sana, mtu mmoja anaharibu sifa za wanaume wote...
We're on the same boat Mkuu. Mhhhh! ππ
Hahhahahhahahaaaaaa na kweliHuu uzi ubadilishe title uitwe makavu live.
usijisuuze, kuchambwa wima wima mwanaume inahusu?Kumbe ww ulivyoanza kuniquote haukuwa umbea?...au uliposema una taarifa watu watakuja kusema issue za watu humu ilikuwa ni nn?
Watu walishaongea yakaisha sasa ww umeibuka ghafla unaanza kupambana.