UMEALIKWA?
Kwa kifupi HAYAKUHUSU.
Hivi wewe na mwenzako si ndiyo kuna siku mlikuwa mnachamba MAITI?
Nyie baada ya msiba wa IBRA87 si mliweka kikao mkamchamba kisa aliwasemaga ? Msivyo na haya.
Kinakuuma nini Mimi kupambana na rubii aliye hai??
Ungejitokeza kipindi anasema Mimi ni mke wa Raimundo anaita na watu Waje waone. Mlidhani ningekaa kimya ??
Sijaona cha kukushangaza Mimi nadeal na mtu aliye hai singoji afe ndiyo nije nimwage povu kama kuku mwenye KIFAFA.
Ha ha ha ha mnayajua yangu?? TANGAZENI na pia pole sana.
Mimi jf nipo kivyangu na sijuani na YOYOTE Upoo? Msisahau kuja na evidence.
Kwanza mambo yenyew yameshapita sijui umetokea wapi kama jipu la mata.koni.
Sikushangai siku zote unaingiliaga sherehe ambazo haujaalikwa.
Unaishia kutukanwa tuu.
sumbai anahusika nini? Kwa kifupi umepanic... Relux
Sibishanagi na machizi Mimi .
Jinafasi.
Leo jumatatu siku ya kazi kunya ukimaliza zoa..
Nyoooooo!!!!!!!!
Sent using
Jamii Forums mobile app