Raimundo popote pale ulipo

Raimundo popote pale ulipo

ALINIZENGUA WAKATI ALIKUWA BEST YANGU HUKO MWANZO KHAAAA NIKAMWEKA KAPUNI MAANA NILIKUWA NIKIMUONA HAPA UBAONI MORI UNAAMKA NIKAONA BORA NI MUIGNORE KUEPUSHA SHARI
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yangu ni mazito zaidi ila ndio hayupo tena amekwenda anapostahili

Rubiikimimi[emoji85]
 
Ha ha ha akija akibisha kwamba yeye Hakuwa kimada wa Ray nitaweka.
Ujue sikupenda tufike huku. Ila siku moja kwenye Uzi mmoja alisema Mimi ni wifi yani mke wa Raimundo. Anaita watu eti waje waone . akasahau kwamba mti anaoukata ndiyo alioukalia....
Leo pia sikutaka kuchangia huu Uzi kiviile , amekuja hapa ananisema kimafumbo.
Sasa kama yeye Hakuwa kimada wa Raimundo na kilichofanya wagombane ni alidanganya kwamba ATM card imesahaulika alipie lodge na misosi halafu jamaa hajamrudishia aje hapa abishe...


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hawa ndio wanaume wa jf

kuna wanaume wanajielewa humu, huwezi kuwakuta kwanza majukwaa haya, pili hawana mda wa drama, busy na mambo muhimu,hata real life wako vizuri pia.uwii mpaka natamani kuwa cc[emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] ,this is to all gentlemen here,


part 2 sasa ndio hawa utawakuta kila thread, vijembe, umbea, uchochezi yani 24/7 wapo pm mara thread hii etc kama wadada vile [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,uwiii hawa nikianza kuwa cc ni wengi mno,

mdogo angu take note, usijibu pm za namna hio, usijimix kabisa lolest, nimeandika huku nacheka
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] 100%true!!SBR ni mcc wangu

Cc BL
 
UMEALIKWA?
Kwa kifupi HAYAKUHUSU.

Hivi wewe na mwenzako si ndiyo kuna siku mlikuwa mnachamba MAITI?

Nyie baada ya msiba wa IBRA87 si mliweka kikao mkamchamba kisa aliwasemaga ? Msivyo na haya.

Kinakuuma nini Mimi kupambana na rubii aliye hai??

Ungejitokeza kipindi anasema Mimi ni mke wa Raimundo anaita na watu Waje waone. Mlidhani ningekaa kimya ??

Sijaona cha kukushangaza Mimi nadeal na mtu aliye hai singoji afe ndiyo nije nimwage povu kama kuku mwenye KIFAFA.

Ha ha ha ha mnayajua yangu?? TANGAZENI na pia pole sana.
Mimi jf nipo kivyangu na sijuani na YOYOTE Upoo? Msisahau kuja na evidence.
Kwanza mambo yenyew yameshapita sijui umetokea wapi kama jipu la mata.koni.

Sikushangai siku zote unaingiliaga sherehe ambazo haujaalikwa.
Unaishia kutukanwa tuu.

sumbai anahusika nini? Kwa kifupi umepanic... Relux
Sibishanagi na machizi Mimi .
Jinafasi.
Leo jumatatu siku ya kazi kunya ukimaliza zoa..
Nyoooooo!!!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nani kapanic kati yangu na wewe, huongei na machizi ila umekuja kunijibu hapa, hahaha haya am back
 
Mimi nlishaelewa kaja kutafuta kiki nkaachana nae...mara naondoka wiki sitokuwepo lkn unaona yupo tu.
kheee kumbe dada bado unanifatilia, enhe nimerudi hebu unipe hizo kiki
mwanaume katikati ya umbea huo vipiii[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hebu usifurahishe umati ulisubiri uje usaidiwe ndio ujibu
 
Ungejitokeza kipindi anasema Mimi ni mke wa Raimundo anaita na watu Waje waone. Mlidhani ningekaa kimya ??

Ilikua lini hiyo cute b??
Maana sikuwahi kukufahamu kama unahusika nae mpaka Daby alipokuja kuanzisha thread ninyi ni mashemeji
hivi kuitwa tu mke wa raimundo ndio mipovu inamtoka hivi au ulimuibia mume? dogo hebu kuwa mkweli?
 
Fanya yameisha
hebu oneni huyu si ulikuwa busy kuuliza enhe rubi alikopwa etc, now unajifanya yaishe, hadi unapewa cc katikati ya nyuzi kama hizi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,walahi uanaume kazi si ndogo,
 
Hahahaha leo humu ni wanaume wanasakamwa tu ,,, tuanze operation timua umbeya kwa wanaume maana wanatuzidi sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] si wanaume wote wachache tu
 
Back
Top Bottom