yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,668
- 1,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duing good kaka
wewe je...?
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Baadhi ya wanaume humu wanapenda kujua mambo ya watu ,huwezi wakosa nyuzi kama hizii[emoji102] [emoji102] [emoji102] katikati ya umbea anapatikana mwanaume
usijue issue za mwanao shuleni uje kuulizia mambo ya mtu mtaani, [emoji28] [emoji28] [emoji28] hebu nicheke mie
Hahahaha leo humu ni wanaume wanasakamwa tu ,,, tuanze operation timua umbeya kwa wanaume maana wanatuzidi sasaujinga ujanja mie sijali, do i look like I care?
ulianza nimeshapata mwanaume mwingine, ukaja am not a church girl... naona unatapatapa tu sijaona jipya hapo
pambana na mambo yako....punguza umbea teh, umbea unatufaa sisi wadada bana we kuwa busy kufatilia projects zako, pambana wanao wasome HOPAC, IST, ISM, ukijitahidi hata HAVARD, umiza kichwa kufikiri ninunue ndinga gani jipya kali etc hayo ndio mambo wanaume wanahangaika nayo ila sio brenda leo kafanyaje smh when do you get time for your family[emoji28] [emoji28] [emoji28]
nilishaaga hapa jamani
uwe na siku na week njema, huko ninapoenda bahati mbaya sitokuwa busy na simu but nikirudi nitakuta majibu
Am happy when you are happy mahondaw wangu..Khakhaakhaaaaa
Nimejikuta Nacheka bila kupenda yooomaaweeeeeeeeee![emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
My king sorry mbavu zilizidiwa nikaona nizisaidie kucheka tu. Tehiitehii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1]
Wacha niendelee na safari yangu miyeeee [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mahondaw wa Smart911
Pita taratibu mahondaw wangu... Am behind u...Kb Ukitaka mkanda mzima anza page ya 1 mpaka mwisho ndo utaenjoy..
Smart911 wangu sorii [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] mi napita tu [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Ila mbavu zi hoi hapa haki tena.
Mahondaw wa Smart911
Teh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Pita taratibu mahondaw wangu... Am behind u...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Baadhi ya wanaume humu wanapenda kujua mambo ya watu ,huwezi wakosa nyuzi kama hizii
Sawa mamyMaskini,msameheni basi mtoto wa mwanamke mwenzenu.
Wewe utakuwa mhenga mwenzangu,na mimi ndio napasha hapa nimuendee mtoto rubii pm nikausemee moyo wanguHamna bhana wengine tulitahiriwa bila ganzi na hata chozi halikutoka sasa nitashindwaje kutunza siri.
Hawa wanaowavua wenzao nguo wametahiriwa mahospitalli na wengine ni magovi kabisa.
Dah.......
Is ibra dead?!UMEALIKWA?
Kwa kifupi HAYAKUHUSU.
Hivi wewe na mwenzako si ndiyo kuna siku mlikuwa mnachamba MAITI?
Nyie baada ya msiba wa IBRA87 si mliweka kikao mkamchamba kisa aliwasemaga ? Msivyo na haya.
Kinakuuma nini Mimi kupambana na rubii aliye hai??
Ungejitokeza kipindi anasema Mimi ni mke wa Raimundo anaita na watu Waje waone. Mlidhani ningekaa kimya ??
Sijaona cha kukushangaza Mimi nadeal na mtu aliye hai singoji afe ndiyo nije nimwage povu kama kuku mwenye KIFAFA.
Ha ha ha ha mnayajua yangu?? TANGAZENI na pia pole sana.
Mimi jf nipo kivyangu na sijuani na YOYOTE Upoo? Msisahau kuja na evidence.
Kwanza mambo yenyew yameshapita sijui umetokea wapi kama jipu la mata.koni.
Sikushangai siku zote unaingiliaga sherehe ambazo haujaalikwa.
Unaishia kutukanwa tuu.
sumbai anahusika nini? Kwa kifupi umepanic... Relux
Sibishanagi na machizi Mimi .
Jinafasi.
Leo jumatatu siku ya kazi kunya ukimaliza zoa..
Nyoooooo!!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Is ibra dead?!
yesuu nilishawahi kuzozana naye na nikamuweka kwenye ignore list oooh si wa tanga huyu may his soul rest in peaceNi kweli Mkuu huyu mwenzetu amefariki kama wiki tatu au nne zilizopita
Lol, unajua wewe dada ni something else....usijisuuze, kuchambwa wima wima mwanaume inahusu?
umbea kwa mwanamke kawaida sana ni sifa actually, ila si kwa mwanaume, get that clear
au unahisi wanaume wengine hawajauona huu uzi huoni upo pekeako katikati kutaka kujua enhe rubii ikawaje sijui hakulipa guest watever!!! acha kushadadia hizo kazi zinawapendeza hawa wadada humu, huuu ni ukweli ata ukiutwist left and right