Raimundo popote pale ulipo

mmmh aisee siamini watu wanaweza kutafutana humu na kisha kuja kuelezana namna walivyofanya kila kitu.afadhali sijawahi kuonana na mtu humu.duuh
 
mmmh aisee siamini watu wanaweza kutafutana humu na kisha kuja kuelezana namna walivyofanya kila kitu.afadhali sijawahi kuonana na mtu humu.duuh
Kufahamiana na watu unafikiri ni shida.

Shida unafahamiana na nani. Humu ni mtaani.

Kuna, matajiri na maskini. Kuna wehu na werevu, kuna vifutu na vibopa, kuna malaya na vicheche, kuna wanga wachawi na walokole, kuna wazee, vijana na watoto
 
Kufahamiana na watu unafikiri ni shida.

Shida unafahamiana na nani. Humu ni mtaani.

Kuna, matajiri na maskini. Kuna wehu na werevu, kuna vifutu na vibopa, kuna malaya na vicheche, kuna wanga wachawi na walokole, kuna wazee, vijana na watoto
vifutu na vipoba ndio wamejaa humu.
kama huyu anayemsumbua my rubii atakua kifutu tena kipoba.
 
Mara 3!! anabadili ID tu mwisho akaja na thread nimemtukana ndio chanzo cha kuunganishiwa ID na kupewa ban ndefu anayougulia nayo mpaka leo
Bado kafungua mpya katongoza nimemshtukia sasa ndio mambo yamekua hivii
Weka hapa huo ushahidi ukionesha nilivyokutongoza? Au unahamu ya dudu langu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…