Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 General Election
Ok ngoja tusubiri

Ova
mrangi unasemaje sasa? Tanzania 2025 Rais Samia anaweza kushindwa kama kutakuwa na upinzani thabiti, achana na huyu gaidi Mbowe. Nasema hivyo kwa sababu TISS/polisi na vyombo vingine vya ulinzi na watendaji wa serikali hawatakubali kuibeba CCM kamwe tena hawatathubutu na sababu ni Sabaya. Sabaya na baadhi ya watendaji mfano wakuu wa mikoa, wakurugenzi (mfano yule Mama wa Manispaa Morogoro), wakuu wa wilaya, ma DAS, RAS, etc wengi wao baada ya kufa Dkt Magufuli ambaye aliwatumia kuiba kura wengi wao wamenyanyasika na utawala wa awamu ya 6. Hivyo hilo limekuwa funzo kwa wote, kwamba hata kama utaisaidia CCM kuiba kura, utafungwa kam Sabaya.
 
Omela kwishaa,"ochio nade omela",[emoji125][emoji125][emoji125][emoji23]
 
Mshindi wa kiti cha Urais kenya atakua Raila Odinga na Martha Karua......Rutto na ushawishi wake na nguvu yake kamwe hawezi kuwa rais kamwe. Kwa mara ya kwanza Kenya historia inaenda kuandikwa leo tarehe 09 ni siku ya kura

Raila anachukua ushindi mapemaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Ruto hapati urais safari hii ruto hawezi ukwaa urais ana scandals chafu sana

Odinga will win last time alipata 47 nchi nzma sasa hapo wakikuyu wakimpa sijui itakuaje

Safari hii ana sapoti ya wakikuyu imagine wakikuyu milioni 10 hata apate voters milioni 4 tu kutoka kwa wakikuyu wa central kenya anashinda, msisahau Raila pia anakubalika sana Pwani, Nairobi, bado magharibi ambapo ni kwao.

Raila n msafi hana scandal

Martha ni msafi pia

Nawaambia ukweli ni kuwa raila atawin huu uchaguzi dhidi ya ruto
Haya leo sura yako umeiweka wap??????? 👌👌👌
 
Njaa ni jambo la kawaida kwneye nchi ambayo zaidi ya nusu ni kame tupu, hata tunajaribu sana aki ya nani, mengine hayo ya slums zipo hata Marekani hivyo hamna kikubwa, kimsingi mimi nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana tangu tupate katiba mpya na kufumua uongozi wote uliokuwepo.

Kwenu huko katiba mpya ndio dawa tu, sema nyie tatizo kubwa hamna uthubutu, mpo mpo tu siku zisonge,
Maswali mengine sio lazima ya jibiwe .
Mtu anafaham kabisa Nchi inakabiliwa na ukame , anakushipalia kwanini mna njaa?

Wakenya kua na njaa siswala la kukejeri nakuona kama niwazembe, hii ni frusa ya kuchangamkia tuongeze uzalishaji tupige pesa kimya kimya.
 
Maswali mengine sio lazima ya jibiwe .
Mtu anafaham kabisa Nchi inakabiliwa na ukame , anakushipalia kwanini mna njaa?

Wakenya kua na njaa siswala la kukejeri nakuona kama niwazembe, hii ni frusa ya kuchangamkia tuongeze uzalishaji tupige pesa kimya kimya.

Kwa sera za kilimo za Ruto kama atafanikiwa nakuhakikishia njaa kenya inakwenda kuisha kabisa, na kwa jicho la kibiashara kenya ni mnunuzi mkubwa wa mazao ya Tanzania tena kwa bei nzuri hivo ni vyema watanzania kujikita kwenye kuzalisha ili wauze kenya kama kenya kwenye baadhi ya msimu hutuuzia viazi mviringo na maembe kwa wingi,
 
Back
Top Bottom