Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 Rais ajaye wa Kenya ni Raila Amolo Odinga

Kenya 2022 General Election
Samahani yeye Ruto ni kabila moja uhuru ama?
 
katika awamu ya pili ya mwai kibaki mbona alishindwa na akatangazwa kuwa mshindi? yote yanawezekana

Haiwezekani ushinde na utangazwe mshindi, labda yapo kwenu huko ambako kiongozi wa upinzani anaswekwa jela hata mwaka, ila Kenya yakifanyika huwa kinanuka na ndio maana ilibidi tufumue katiba kabisa na kuandika upya ili kuhakikisha issues zote zinazingatiwa maana Wakenya huwa tunachukulia serious masuala ya uchaguzi, maana tunakukabidhi maisha yetu na watoto wetu utuongoze, jameni huwa hatuchukulii kizembe, ukizingua kunawaka.
 
Haiwezekani ushinde na utangazwe mshindi, labda yapo kwenu huko ambako kiongozi wa upinzani anaswekwa jela hata mwaka, ila Kenya yakifanyika huwa kinanuka na ndio maana ilibidi tufumue katiba kabisa na kuandika upya ili kuhakikisha issues zote zinazingatiwa maana Wakenya huwa tunachukulia serious masuala ya uchaguzi, maana tunakukabidhi maisha yetu na watoto wetu utuongoze, jameni huwa hatuchukulii kizembe, ukizingua kunawaka.
Sio kama misukule ya Tanzania inagombania jezi tena kwa pesa zao.
 
Haiwezekani ushinde na utangazwe mshindi, labda yapo kwenu huko ambako kiongozi wa upinzani anaswekwa jela hata mwaka, ila Kenya yakifanyika huwa kinanuka na ndio maana ilibidi tufumue katiba kabisa na kuandika upya ili kuhakikisha issues zote zinazingatiwa maana Wakenya huwa tunachukulia serious masuala ya uchaguzi, maana tunakukabidhi maisha yetu na watoto wetu utuongoze, jameni huwa hatuchukulii kizembe, ukizingua kunawaka.
kama mnayo katiba nzuri kiasi hicho, kwanini sasa kenya ni miongoni mwa failed states? 1. Rushwa imeshamiri 2. Njaa ndiyo nyumbani kwake 3. Ukame wa mara kwa mara unaosababishwa na ukataji hovyo wa misitu 3. kukosekana kwa umoja wa kitaifa unaosababishwa na ukabila na mgawanyo usiyo sawa wa rasilimali mfano ardhi ambayo ni rasilimali muhimu sana kwa maendeleo inashikiliwa na walio wachache kwa manufaa yao binafsi 4. Amani na utulivu hafifu, watu kutekwa ni jambo la kawaida 5. Kuwa na jeshi dhaifu lisilo na maadili hata raia anaweza kumtisha 6.
 
huna unalolijua kuhusu mpira wa tanzania wewe
Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
 
Kugombania jezi ni kujua mpira? Yaani hela yangu initese kwa kuning'ia kwenye vyuma? Si bora mngepigania katiba mpya kwa maslahi yenu na vizazi vyenu? Nyie ni manyama tuu.
vipi, habari za kibera? akili zako ni za kunya na kukojoa kwenye mifuko, poor kenyans, wataalamu wa kuishi kwenye slums duniani kote
 
kims mbona unaandika kama hujaenda shule? sikujui, si ajabu na wewe ni lumpen! samahani.. humu hatujuani lakini one can figure out somebody's status through presentation on JF writings
Ulitaka nikuandikie kwa kirefu na mapana.....Hivi unajua asilimia kubwa ya Watanzania hawana utamaduni wa kusoma machapisho marefu, How should waste my time kuandika analysis ndefu ilhali most of them ni wavivu kusoma??Am not a lumpen, tena nimesoma kuliko hata unavyodhani, think twice before commenting any nonsense broo!!
I can't restore my time by writing a long story because of someone's else...Short and brief but message is well understandable
 
Raila Odinga atachukua nchi kwa manufaa ya uma, mkikuyu anamwachia mjaluo ikulu na hii siyo bahati mbaya wala kwa utashi wa Uhuru Kinyata bali mazingira na hali iliyopo ni nafuu iwe hivyo.

Kihistoria Odinga baba yake Raila ndiye alipaswa kupewa nchi na wakoloni aliambiwa aapishwe na kuwa waziri mkuu wa kwanza Kenya lakini alikataa?? Sio kwa kupenda bali ilimpasa kufanya hivyo kwa maslahi ya nchi!! Kwanza wapiganaji wengi wa Uhuru wa Kenya walikuwa ni wakikuyu na wakikuyu wengi sana waliuwawa kwenye harakati za ukombozi.

Kitendo cha yeye kukubali kuapishwa kuwa waziri mkuu ilihali kabila lake halikuwa mstari wa mbele kwenye ukombozi kingezua mapigano ya kikabila na wajaluo wengi wangepoteza maisha. Mzee Odinga akatumia busara na kuivusha Kenya salama?

Ndio sababu mwanae akawa mfanya biashara mkubwa na fisadi asiyegusika by the way kinachoenda kutokea leo hii 9/8/2022 kwenye debe ama sanduku la wapiga kura ni raisi Uhuru Kinyata kufanya kama alivyofanya baba yake Raila Odinga kwa manufaa ya una.

Je ukabila Kenya utakwenda kuisha!!!!! William Ruto kwa sasa ana miaka 56 je ataweza kufikia miaka 60-64-68??? Africa ni tajiri sana ila watu wake ni masikini sana sababu ya kuwa na taasisi mbovu viongozi wabovu
Fact but Raila ndo winner
 
Wakenya mnaenda kushangaza dunia. Uhuru na Ruto ni kitu kimoja, ila wameamua kutofautiana ili kumhadaa Odinga na akishindwa asiweze kulalamika. Huo ni mchezo wa level ya juu sana unachezwa na panapokuwa na upinzani. Hivyo Raila asahau kabisa tena asahau kushinda urais Kenya.
Raila lazima ashinde trust me...
 
ambaye hajui atakaye shinda labda ni wewe tu, na ni unafiki! Raisi atakuwa ni Raila Amolo Odinga (Mjaluo) na hii imekaa kimkakati zaidi; Odinga ameshafikisha na kupitiliza ile miaka 70 ya biblia ya kuishi, na kwa anavyosinzia hata mbele ya hadhara za watu (wapigakura); automatically raisi ajaye kabla ya miaka mitano kwisha atakuwa Martha Karua (Mkikuyu). Baba kwa umri alionao hataweza kuhimili mikikikiki ya ikulu zaidi ya miaka mitatu, atapumzika mwenyewe au kupunzishwa na system. HIVYO HISTORIA YA KITI CHA URAISI KUWA KWA WAKIKUYU ITAENDELEA, MOI ALIKUWA RAISI AKIMSUBIRIA UHURU AKUE.
Fact
 
Yaani Uhuru jinsi alivyo mtoto wa Mjini amuachie Rutto Urais!!!!haitawezekana kamwe maana anajua lazima atakuja kumshtaki na kumfunga kabisa!!!hivyo iwe jua iwe mvua Raila Amollo Odinga lazima atangazwe Rais iwe jua iwe mvua
Fact
 
Back
Top Bottom