Uchaguzi 2020 Rais ajaye Zanzibar 2020-2025 lazima awe mkali. Je, wanaotajwa tajwa kuna mkali au anaandaliwa Mtanganyika kuvishwa Uzanzibar?

Uchaguzi 2020 Rais ajaye Zanzibar 2020-2025 lazima awe mkali. Je, wanaotajwa tajwa kuna mkali au anaandaliwa Mtanganyika kuvishwa Uzanzibar?

H.mwinyi tumeshamuandaa kuchukua nafasi ya baba yake 2025 !
 
moderators naona hamtaki nijibu komenti za watu hata niki post nyuzi na koments mnazifuta!nauona udikteta humu naona jiwe katuambukiza udikteta uchwara!
 
MAHIGA HAJAJENGA KULE TOSA MAGANGA WALA BROTHER WAKE NI CHOKA MBAYA TENA MSTAAFU WA JW!INAWEZEKANA NI MZENJI KWELI!KULE TOSA MAGANGA AMBAPO NI KWAO HAKUFANANI NAE!!!!
 
Kwani MAGAMBA MATATU anasemaje? Huyo ndio prediction zake huwa na accuracy ya 98%
Ila mwinyi katajwa sana na sasa mbarawa nae naona jina linaanza kuibuka kutoka kusikojukikana.
 
Siku ile ya hukumu (2020) wataibuka watu kutoka pande zote za nchi kuutaka Urais wa Zanzibar but rais wa Zbr atakuwa ni....
NB: Ni ngumu sana kwa mtu ambaye hajawahi kuwa angalau waziri katika serikali ya JMT kuteuliwa kuuwania urais wa Zbar...
By the way, Samia has to decide now. Another 5yrs of V. precidency on URT govt or 10yrs of presidency on Zbr gvt...
Coz 2025 hatoweza kumu unseat a president of Zbr ili yeye akae. The numbers are really tough for her.
Si alishasemaga yeye ni namba mbili iweje atake kuwa namba tatu
 
Na mwingine ninayemkubali ni Prof Mbarawa...
Makame Mbarawa ndio rais wa Zanzibar ajae..
Naunga mkono hoja.

P
 
Alijaluu kwamuna alaa nisaheee..mwanamke asahau kuongoza znz kwa zama hizi
Siku ile ya hukumu (2020) wataibuka watu kutoka pande zote za nchi kuutaka Urais wa Zanzibar but rais wa Zbr atakuwa ni....
NB: Ni ngumu sana kwa mtu ambaye hajawahi kuwa angalau waziri katika serikali ya JMT kuteuliwa kuuwania urais wa Zbar...
By the way, Samia has to decide now. Another 5yrs of V. precidency on URT govt or 10yrs of presidency on Zbr gvt...
Coz 2025 hatoweza kumu unseat a president of Zbr ili yeye akae. The numbers are really tough for her.
 
Samia alishasema hawezi kwenda huko kuwa ngazi ya 3 naakati saivi ni ngazi ya 2
 
Mahiga ni ngumu, Mhehe wa Tosamaganga mpaka Zanzibar ni mbali sana. Possible candidates
1. Hussein Mwinyi
2. Mama Samiha
3. Prof. Mbawara
4. Ali Karume
 
Na ingelikuwa viongozi WA Zanzibar si mambumbu basi wangefanya maaamuzi yao wenyewe lakini kwa vile hawawezi kujiongoza mpaka wapate misukumo ya kimifumo kutoka Tanganyika ndio wanabakia hivyohivyo bila ya kujichagulia wenyewe.
Asante kwa kutuchomoza, ila hatuchokozeki
 
Back
Top Bottom