Si alishasemaga yeye ni namba mbili iweje atake kuwa namba tatuSiku ile ya hukumu (2020) wataibuka watu kutoka pande zote za nchi kuutaka Urais wa Zanzibar but rais wa Zbr atakuwa ni....
NB: Ni ngumu sana kwa mtu ambaye hajawahi kuwa angalau waziri katika serikali ya JMT kuteuliwa kuuwania urais wa Zbar...
By the way, Samia has to decide now. Another 5yrs of V. precidency on URT govt or 10yrs of presidency on Zbr gvt...
Coz 2025 hatoweza kumu unseat a president of Zbr ili yeye akae. The numbers are really tough for her.
Na mwingine ninayemkubali ni Prof Mbarawa...
Naunga mkono hoja.Makame Mbarawa ndio rais wa Zanzibar ajae..
Haha JF bwanSeif kashindwa kuwa rahisi kipindi cha dhaifu ,hawezi kwa kipindi hiki cha Uchwara
Siku ile ya hukumu (2020) wataibuka watu kutoka pande zote za nchi kuutaka Urais wa Zanzibar but rais wa Zbr atakuwa ni....
NB: Ni ngumu sana kwa mtu ambaye hajawahi kuwa angalau waziri katika serikali ya JMT kuteuliwa kuuwania urais wa Zbar...
By the way, Samia has to decide now. Another 5yrs of V. precidency on URT govt or 10yrs of presidency on Zbr gvt...
Coz 2025 hatoweza kumu unseat a president of Zbr ili yeye akae. The numbers are really tough for her.
Subiri yatimiewewe lazima utakua unajua hebu tuambie nani atafata... Tujulishe tu hata watu wachache kwenye PM hatutatoa Siri/utabiri wako hadharani
Asante kwa kutuchomoza, ila hatuchokozekiNa ingelikuwa viongozi WA Zanzibar si mambumbu basi wangefanya maaamuzi yao wenyewe lakini kwa vile hawawezi kujiongoza mpaka wapate misukumo ya kimifumo kutoka Tanganyika ndio wanabakia hivyohivyo bila ya kujichagulia wenyewe.