Rais akikosea aambiwe ukweli hadi aelewe

Kwanza hongereni kwa kupokea ruzuku kila mwezi nyie chadema, nasikia mmeomba na Ruzuku za miaka ya nyuma hebu achen ulafi,
 
Kwani Hadi sasa watakaokuja kuchimba madini ushawajua?..
Why unahisi watakuwa waarabu?

Informed decisions ni Jambo moja
Na execution ni Jambo lingine
Mkuu, mbona siyo ngumu kabisa kuwafahamu.

Hifadhi na Mbuga za wanyama ni WORLD NATURAL HERITAGE hivyo zinalindwa na miongozo na matamko ya UMOJA WA MATAIFA. Hivyo uhakika ni asilimia 100% kwamba makampuni ya Ulaya na Marekani hayawezi kuchimba kwasababu ya kuogopa kelele na vikwazo (Sanctions and Boycotts) kutoka kwa mataifa na mashirika makubwa yanapigia chapuo suala zila la mazingira na mabadiliko ya hali ya hewa (Global Warming).

Hivyo kama ambavyo Raisi Magufuli aliwafuata waarabu, ARAB CONTRACTORS, ili wajenge STIEGLER'S GORGE, sehemu ambayo ni WORLD HERITAGE, vivyo hivyo Raisi Samia ashawapa waarabu haki hiyohiyo kwasababu mashirika yao hayawezi kuguswa kabisa na vikwazo vya mashirika na nchi za Magharibi. Ndiyo maana mpaka sasa, wanyama wanauzwa kwa UAE siyo America or United Kingdom ambako ingezua tahariki.

Haya sasa, hebu mtuache tufanye kazi na waarabu ambao haki za binadamu kwao ni jambo la kufuru. Hawa mabeberu watatupigia kelele.

Msimkwamishe MAMA.​
 
Hata kwenye Bandari mlisema hivihivi, kwamba tujiamini sisi wenyewe ili mapato yongezeke. Mzee George Mkuchika akawajibu na kusema ni lazima tuwape wageni bandari ili tupate mapato zaidi. Hata Zembwela na Kitenge nao walitoa hoja nzito kuhusu hili baada ya kwenda Dubei kufanya utafiti mkubwa na kuacha kujificha nyuma ya Keyboard kama wewe.

Pia, nikutoe hofu kwamba hizo sehemu nyingine zenye madini nako MAMA atafika kabla hajaondoka. Ila imeamuliwa kwanza tuanzie kwenye mbuga ambako ndiko kuna ugumu na upinzani mkubwa. Huko kwingine hakutasumbua wala hakutakuwa na makelele na majungu ya wakristo na watanganyika kutaka kukwambisha juhudi za mama.​
 

Mkuu una hoja dhaifuu, nadhani hadi The Boss anaona aibu kukusapoti pamoja na kujifungamanisha naye kwamba ni ndg yako ktk imani.
Hakika unatia aibu!.
 
Tunao wataalamu wa mazingira na waandishi wa habari za kimazingira {Environmental journalism}kwanini wasifanye costs and benefits analysis na umma uhabarishwe juu ya findings ?

Kama kule Ngorongoro zilitumika claims za kulinda mazingira na ikolojia ya hifadhi kwanini sasa tunataka kuruhusu shughuli za kibinadamu ndani ya Serengeti ?
 
Mama ameingia madarakani watu wakawa wanamuangalia atafabya nini.

Shida sio kumchukia mama,shida anafanya nini ndio watu wamchukie.
Huwezi chimba madini mbugani! Hilo sio sawa,

Kama Shida ni hela Akitokea mtu anataka kupangisha ikulu akae atakubali? Hiyo ni kauli ya ajabu kutokea.

Mama **** shida kubwa anapitia nahisi maana maamuzi yake na matamshi yake sio ya kawaida,
 
Sidhani kama huyu mama ana uchungu na hii Bara yetu!
Uharibifu unazidi kutamalaki kama enzi za awamu ya $
 
Nimeshakusoma GT🤣
Naona Braza Mkubwa The Boss, na wengine washaanza kupata somo, kwamba bila Spidi Gavana MAZA wetu atapiga mnada hadi misikiti na makanisa. Nafurahi kwamba sasa watu wameanza kufahamu kwamba, MAZA alitumia dini kufanya Divide and Rule, halafu baadaye akaanza kutusawazisha vizuri.

Hili hata baadhi yetu lilitukuta kipindi cha utawala wa BWANA YULEEE, alivyoanza hata mimi niliamini MASIHI amefika. Baada ya kusema tu kwamba "Wachagga wasubiri sehemu nyingine ziendelee kwanza" nikajua hapa tushapigwa vibaya.​
 
Umerudi kwenye track ...

Hukuwahi kuona tatizo kwenye utawala huu...

Nini kimekupata?
Uzuri Braza Mkubwa ni mtu muelewa, anajirudi taratibu. Mimi nakumbuka kipindi cha Jakaya alikuwa upande wa mabadiliko na alizipinga mno sera zake za kifisadi. Lakini kama ufahamuvyo, MAZA alikuja na sura ya MALAIKA, kumbe chini ni YEZEBELI, akahadaa watu wengi kweli, akitumia karata ya DINI. Baadaye sasa watu washaanza kusanua mchezo kwamba MAZA, hayuko kwa ajili wa WAISLAMU wala WAZANZIBAR, she's all about business yaaani.​
 
Rais ni taasisi
 
Rais ni taasisi
Kiuhalisia, hii kauli hainaga maana yoyote..katiba yetu haina nguvu hivyo mambo kibao yanaamuliwa kwa utashi wa Rais aliyepo wakati huo.
Kwa mfano...wakati wa Magufuli aliapa kwamba chini ya utawala wake hakuna mwanafunzi mjamzito ambaye ataruhusiwa kuendelea na masomo mara baada ya kujifungua, kaja Sa100 kasema mwanafunzi mjamzito akishajifungua aruhusiwe kuendelea na masomo!!.
Hivyo hata hili la kuruhusu uanzishwaji wa migodi hifadhini ni AKILI ya Rais tu yeye binafsi, si umeona utetezi eti tunataka hela wakati madini yenyewe hayaliwi na Simba wala Tembo🤣🤣
 
Kwa hili nipo na wewe. Madam President alifikirie tena hili.
 
Tuthibitishie hiyo kauli ndugu...

Watu wengi wanakuheshimu humu.
Kama alisema Msiwabomolee nyumba Mwanza kwasababu walinipa kura, ambako huku akibomoa kwingine angeshindwa kusema nini BWANA YULE ???

SWADAKTAAA, ntakutafutia lile gazeti, maana naona bado husadiki kama TOMASO.​
 
Kama alisema Msiwabomolee nyumba Mwanza kwasababu walinipa kura, ambako huku akibomoa kwingine angeshindwa kusema nini BWANA YULE ???

SWADAKTAAA, ntakutafutia lile gazeti, maana naona bado husadiki kama TOMASO.​
Ukileta hiyo taarifa tamdharau sana Magufuli.
 
Rais alipaswa kwanza kupata elimu ya kutosha kuhusu uchimbaji wa madini na athari za mazingira, lakini la muhimu zaidi alipaswa kuniuliza kwanini Viongozi kabla yake wote walisita au kukataa kutoa vibali vya kuchimba Mbugani?
Tukiwaambia hana uchungu na rasilimali za bara tunasimangwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…