Rais akikosea aambiwe ukweli hadi aelewe

Rais akikosea aambiwe ukweli hadi aelewe

Labda madini yamegundulika hivi karibuni, waliomtangulia hawakuyagundua.

28% ya ardhi Tanzania imehifadhiwa, mbona kama nyingi?

utalii na madini havitofautiani kivile, mwaka jana utalii uliingiza $3.52b, madini $3.06b

na hapo ni baada ya utalii kuweka rekodi ambayo haijawahi tokea tangu uhuru

shida ninayoona labda ni kwamba serikali ikifanya kitu haiwaambii wananchi kwanini, haishawishi....

lakini nyie wananchi wengi mna 'siasa za hisia' mmeamua kumchukia mama basi kila anachofanya mnachukia
Hela zitakazopatikana zitakwenda kwenye miradi itakayowasaidia Watanzania na siyo kwenye mifuko ya mafisadi wanaoficha mpaka sh. Bilioni 7 majumbani mwao? Mimi langu ni hilo tu. Haya tuuze Ngorongoro. Kwa faida ya nani?

Kusingekuwa na ufisadi na upigaji huu wa kijinga na kihayawani, Tanzania iliyobarikiwa hivi ingekuwa mbali sana. Mama mpaka namhurumia yaani!
 
Wakati wa Magufuli niliwahi andika hapa kama Magufuli anao watu wa kumwambia ukweli na akawasikiliza, nilitoa mfano wa Fidel Castro alivyokuwa anaogopwa na watu wengi sana lakini walikuwepo watu wawili walikuwa wana uwezo wa kumwambia ukweli Raul Castro mdogo wake na Comrade Che Guevara. Hawa wawili walikuwa na uwezo wa kumwambia ukweli na makosa yake bila kupepesa macho na akawasikiliza.

Juzi Rais Samia kasema madini yachimbwe kwenye mbuga, cha muhimu hela. Hii kauli si sahihi kabisa tena sio sahihi kutoka kwa Rais wa nchi.

Rais alipaswa kwanza kupata elimu ya kutosha kuhusu uchimbaji wa madini na athari za mazingira, lakini la muhimu zaidi alipaswa kuniuliza kwanini Viongozi kabla yake wote walisita au kukataa kutoa vibali vya kuchimba Mbugani?

Je hata kama tukikubaliana na Rais cha muhimu hela, kwani Rais hajui utalii ndo unaingiza hela Tanzania kupita madini?

Rais hajui au hana ushauri wa kumwambia kuwa athari za kimazingira huko Mbugani zinaweza moja Kwa moja kuathiri utalii na kupunguza mapato kuliko hata kuongeza hayo mapato?

Rais hajui kuwa hayo makampuni ya madini huwa yanaahidi sana mambo mengi mazuri lakini mwisho hushindwa kutekeleza kuanzia Kodi hadi taratibu za kulinda hayo mazingira? Kampuni ya madini inaweza sababisha sumu kwenye vyanzo vya maji ya wanyama hadi binadamu, na hili sio nadharia imewahi tokea na ushahidi upo.

Madini yanaweza chimbwa yakaisha na mapato ya maana yasipatikane, imeshatokea..na haitakuwa la ajabu ikitokea tena.

Mbuga za Wanyama zilzopo Tanzania haipatikani tena kwingine duniani, ni urithi wa dunia. Mbuga kama Serengeti ina Wanyama Wengi kupitia Mbuga yeyote duniani, hii Peke yake ni dhahabu kuliko dhahabu yenyewe.

Mbuga kama Selous ukubwa wa Ardhi tu ni zaidi ya nchi ya Belgium, halafu leo tunaanza tena kuruhusu uharibifu wa mazingira Mbugani mradi ipatikane hela? tuharibu kuku anaetotoa mayai ya dhahabu ili tukatafute mayai mengine tumboni?

Rais akikosea aambiwe hadi aelewe.
Shida ipo hapa, JE! RAIS ANAAMINI KUWA ANAWEZA KUKOSEA?
 
IMG-20240720-WA0070.jpg
downloadfile-665.jpg
 
Hela zitakazopatikana zitakwenda kwenye miradi itakayowasaidia Watanzania na siyo kwenye mifuko ya mafisadi wanaoficha mpaka sh. Bilioni 7 majumbani mwao? Mimi langu ni hilo tu. Haya tuuze Ngorongoro. Kwa faida ya nani?

Kusingekuwa na ufisadi na upigaji huu wa kijinga na kihayawani, Tanzania iliyobarikiwa hivi ingekuwa mbali sana. Mama mpaka namhurumia yaani!
Kuhusu kuzitumia vizuri sijui😅

Ila hela watapata

mimi naona kama hizi hifadhi hazitokaa sana

iligundulika kuna mafuta na uranium selous, UNESCO wakakubali mipaka ipunguzwe. JNPP nayo imejengwa hayo maeneo....

Haya, hii SGR imekatiza mikumi....

Uvumilivu utakuja kutushinda tutakata misitu yoooote.
 
Kuhusu kuzitumia vizuri sijui😅

Ila hela watapata

mimi naona kama hizi hifadhi hazitokaa sana

serikali iligundua kuna mafuta na uranium selous, ikaomba ruhusa UNESCO, wakakubali mipaka ikapunguzwa. JNPP nayo imejengwa hayo maeneo....

Haya, hii SGR imekatiza mikumi....

Uvumilivu utakuja kutushinda tutakata misitu yoooote.
Kama Tanapa hawataki basi wako sahihi kabis
 
Wakati wa Magufuli niliwahi andika hapa kama Magufuli anao watu wa kumwambia ukweli na akawasikiliza, nilitoa mfano wa Fidel Castro alivyokuwa anaogopwa na watu wengi sana lakini walikuwepo watu wawili walikuwa wana uwezo wa kumwambia ukweli Raul Castro mdogo wake na Comrade Che Guevara. Hawa wawili walikuwa na uwezo wa kumwambia ukweli na makosa yake bila kupepesa macho na akawasikiliza.

Juzi Rais Samia kasema madini yachimbwe kwenye mbuga, cha muhimu hela. Hii kauli si sahihi kabisa tena sio sahihi kutoka kwa Rais wa nchi.

Rais alipaswa kwanza kupata elimu ya kutosha kuhusu uchimbaji wa madini na athari za mazingira, lakini la muhimu zaidi alipaswa kuniuliza kwanini Viongozi kabla yake wote walisita au kukataa kutoa vibali vya kuchimba Mbugani?

Je hata kama tukikubaliana na Rais cha muhimu hela, kwani Rais hajui utalii ndo unaingiza hela Tanzania kupita madini?

Rais hajui au hana ushauri wa kumwambia kuwa athari za kimazingira huko Mbugani zinaweza moja Kwa moja kuathiri utalii na kupunguza mapato kuliko hata kuongeza hayo mapato?

Rais hajui kuwa hayo makampuni ya madini huwa yanaahidi sana mambo mengi mazuri lakini mwisho hushindwa kutekeleza kuanzia Kodi hadi taratibu za kulinda hayo mazingira? Kampuni ya madini inaweza sababisha sumu kwenye vyanzo vya maji ya wanyama hadi binadamu, na hili sio nadharia imewahi tokea na ushahidi upo.

Madini yanaweza chimbwa yakaisha na mapato ya maana yasipatikane, imeshatokea..na haitakuwa la ajabu ikitokea tena.

Mbuga za Wanyama zilzopo Tanzania haipatikani tena kwingine duniani, ni urithi wa dunia. Mbuga kama Serengeti ina Wanyama Wengi kupitia Mbuga yeyote duniani, hii Peke yake ni dhahabu kuliko dhahabu yenyewe.

Mbuga kama Selous ukubwa wa Ardhi tu ni zaidi ya nchi ya Belgium, halafu leo tunaanza tena kuruhusu uharibifu wa mazingira Mbugani mradi ipatikane hela? tuharibu kuku anaetotoa mayai ya dhahabu ili tukatafute mayai mengine tumboni?

Rais akikosea aambiwe hadi aelewe.
Lakini kwani huwezi chimba Madini katika namna ya kudhibiti uharibifu wa mazingira na baadae mbuga kurejesha uoto?
 
Wajomba zake washatengeneza ZOO kule kwao, anataka kuharibu za asili.

Anauza Tanganyika, watanganyika wako busy kutafuta madaraka wasiyoyafikia miaka nenda rudi....ni mwanasiasa gani tunaweza dhani ni Mtanganyika halisi mzalendo kwa sasa?
  • Zito?
  • Mbowe?
  • Msigwa?
  • Lisu?
  • Ndugai?
  • Warioba?

Achana na wale watoto wao wanaopiga kelele mtandaoni wazazi wao wanapobanwa kama Shangazi etc.
 
Kama Tanapa hawataki basi wako sahihi kabis
Kuna siasa nyingi kwenye mambo ya hifadhi

wachimbaji wakubwa waliomba selous ipunguzwe 2012.
TANAPA ikafanikiwa kuwazuia 2017. Unaambiwa kuna migodi 48 ingefunguliwa selous.

Lakini maghufuli alipoamua kujenga JNPP, UNESCO, WWF, na TANAPA wote walimshindwa😅
 
Wakati wa Magufuli niliwahi andika hapa kama Magufuli anao watu wa kumwambia ukweli na akawasikiliza, nilitoa mfano wa Fidel Castro alivyokuwa anaogopwa na watu wengi sana lakini walikuwepo watu wawili walikuwa wana uwezo wa kumwambia ukweli Raul Castro mdogo wake na Comrade Che Guevara. Hawa wawili walikuwa na uwezo wa kumwambia ukweli na makosa yake bila kupepesa macho na akawasikiliza.

Juzi Rais Samia kasema madini yachimbwe kwenye mbuga, cha muhimu hela. Hii kauli si sahihi kabisa tena sio sahihi kutoka kwa Rais wa nchi.

Rais alipaswa kwanza kupata elimu ya kutosha kuhusu uchimbaji wa madini na athari za mazingira, lakini la muhimu zaidi alipaswa kuniuliza kwanini Viongozi kabla yake wote walisita au kukataa kutoa vibali vya kuchimba Mbugani?

Je hata kama tukikubaliana na Rais cha muhimu hela, kwani Rais hajui utalii ndo unaingiza hela Tanzania kupita madini?

Rais hajui au hana ushauri wa kumwambia kuwa athari za kimazingira huko Mbugani zinaweza moja Kwa moja kuathiri utalii na kupunguza mapato kuliko hata kuongeza hayo mapato?

Rais hajui kuwa hayo makampuni ya madini huwa yanaahidi sana mambo mengi mazuri lakini mwisho hushindwa kutekeleza kuanzia Kodi hadi taratibu za kulinda hayo mazingira? Kampuni ya madini inaweza sababisha sumu kwenye vyanzo vya maji ya wanyama hadi binadamu, na hili sio nadharia imewahi tokea na ushahidi upo.

Madini yanaweza chimbwa yakaisha na mapato ya maana yasipatikane, imeshatokea..na haitakuwa la ajabu ikitokea tena.

Mbuga za Wanyama zilzopo Tanzania haipatikani tena kwingine duniani, ni urithi wa dunia. Mbuga kama Serengeti ina Wanyama Wengi kupitia Mbuga yeyote duniani, hii Peke yake ni dhahabu kuliko dhahabu yenyewe.

Mbuga kama Selous ukubwa wa Ardhi tu ni zaidi ya nchi ya Belgium, halafu leo tunaanza tena kuruhusu uharibifu wa mazingira Mbugani mradi ipatikane hela? tuharibu kuku anaetotoa mayai ya dhahabu ili tukatafute mayai mengine tumboni?

Rais akikosea aambiwe hadi aelewe.
Huko kwenye madini bila shaka wajomba zake wa uarabuni wameshaona eneo kwa hiyo hiyo statement ya kutuandaa kisaikolojia watapopewa eneo ndani ya mbuga.

Kama vipi huo ujinga ukafanyike kwenye mbuga za nyumbani kwao Zanzibar.
 
Au pengine ni wataalam wetu hawambambii ukweli Rais, ukweli ni kwamba ukiwa Rais haimaanishi unajua kila kitu...vitu vingi tu hasa vya kitaalam unakuwa huvijui.
Urais ni cheo tu na sio ujuzi, Sa100 hapa umepuyanga...sio kila kitu kinafaa uwekezaji!.
Migodi inaenda sambamba na hekaheka nyingi ambazo sio rafiki kwa wanyama pori.
Hv Sa100 anzijua blasting za migodini kweli?!.
 
Huyu kiukweli angepumzika ni basi tu madaraka matamu ccm wangeleta mtu mwingine yeye mwenyewe aliwahi kusema katiba sio msahafu kusema hauwezi kubadilishwa wangempumzisha walete mtu mwingine hata Simba chawene ni mtu sana kwenye anaweza kutufaa
 
Wakati wa Magufuli niliwahi andika hapa kama Magufuli anao watu wa kumwambia ukweli na akawasikiliza, nilitoa mfano wa Fidel Castro alivyokuwa anaogopwa na watu wengi sana lakini walikuwepo watu wawili walikuwa wana uwezo wa kumwambia ukweli Raul Castro mdogo wake na Comrade Che Guevara. Hawa wawili walikuwa na uwezo wa kumwambia ukweli na makosa yake bila kupepesa macho na akawasikiliza.

Juzi Rais Samia kasema madini yachimbwe kwenye mbuga, cha muhimu hela. Hii kauli si sahihi kabisa tena sio sahihi kutoka kwa Rais wa nchi.

Rais alipaswa kwanza kupata elimu ya kutosha kuhusu uchimbaji wa madini na athari za mazingira, lakini la muhimu zaidi alipaswa kuniuliza kwanini Viongozi kabla yake wote walisita au kukataa kutoa vibali vya kuchimba Mbugani?

Je hata kama tukikubaliana na Rais cha muhimu hela, kwani Rais hajui utalii ndo unaingiza hela Tanzania kupita madini?

Rais hajui au hana ushauri wa kumwambia kuwa athari za kimazingira huko Mbugani zinaweza moja Kwa moja kuathiri utalii na kupunguza mapato kuliko hata kuongeza hayo mapato?

Rais hajui kuwa hayo makampuni ya madini huwa yanaahidi sana mambo mengi mazuri lakini mwisho hushindwa kutekeleza kuanzia Kodi hadi taratibu za kulinda hayo mazingira? Kampuni ya madini inaweza sababisha sumu kwenye vyanzo vya maji ya wanyama hadi binadamu, na hili sio nadharia imewahi tokea na ushahidi upo.

Madini yanaweza chimbwa yakaisha na mapato ya maana yasipatikane, imeshatokea..na haitakuwa la ajabu ikitokea tena.

Mbuga za Wanyama zilzopo Tanzania haipatikani tena kwingine duniani, ni urithi wa dunia. Mbuga kama Serengeti ina Wanyama Wengi kupitia Mbuga yeyote duniani, hii Peke yake ni dhahabu kuliko dhahabu yenyewe.

Mbuga kama Selous ukubwa wa Ardhi tu ni zaidi ya nchi ya Belgium, halafu leo tunaanza tena kuruhusu uharibifu wa mazingira Mbugani mradi ipatikane hela? tuharibu kuku anaetotoa mayai ya dhahabu ili tukatafute mayai mengine tumboni?

Rais akikosea aambiwe hadi aelewe.
CHURA KIZiWI HIVI HUKUELEWA???
 
Labda madini yamegundulika hivi karibuni, waliomtangulia hawakuyagundua.

28% ya ardhi Tanzania imehifadhiwa, mbona kama nyingi?

utalii na madini havitofautiani kivile, mwaka jana utalii uliingiza $3.52b, madini $3.06b

na hapo ni baada ya utalii kuweka rekodi ambayo haijawahi tokea tangu uhuru

shida ninayoona labda ni kwamba serikali ikifanya kitu haiwaambii wananchi kwanini, haishawishi....

lakini nyie wananchi wengi mna 'siasa za hisia' mmeamua kumchukia mama basi kila anachofanya mnachukia
Kuna vitu hamuelewani na huyo
Unaposema mwaka Jana madini yaliingiza $3 billion, unamaanisha nn? Hii ni trllion 8.4
Na hiyo utalii ni trillion 9, jumla trillion 18. Kwa mwaka makusanyo yetu ni trllion 26, hapo si ingekua maji bure, umeme bure, matibabu bure😂😂😂

Huyo anazungumzja government revenues, mapato serikali inayopata kutoka kwenye madini. Mapato ya serikali kwa mwaka kutoka kwenye madini kwa sasa ni around bilioni 700
 
Back
Top Bottom