Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Halooo, upo??Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halooo, upo??Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Kumbe Bimkubwa anapiga Deiwaka?Mama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Sidhani kama itakua hivyo, ila ngoja tusubirie.Kumbe Bimkubwa anapiga Deiwaka?
alishakanusha uzi ukafutwa!Sidhani kama itakua hivyo, ila ngoja tusubirie.
Inatisha sanaa hii thread
Uko upande gani? Manake unaingia unatokaNywele nyeupe sio, endelea kusubiri JAL 2 na 3.
Kwamba?Majina ya watu watakao sepeshwa Ili kukamilisha mission:-
P;-paulo mrefu!!?
J:-j....aka....ya
L;-L.......ow.....asa
K;-kamilius me....m...be
Labda nawaza tu!!
Niko nyumbani Kataryo mkoani Mara.Uko upande gani? Manake unaingia unatoka
Magazijuto ikasome , ila neno moja tu nawatakia tuanze kuandaa nyimbo(PJLK)
Unaingia kwanza kwenye ogani
Ustafiishaji unafanyika
unatumia ogani kuvaa taji
(if 1 is out, 3 can be 2)
4 is known;
5 can be 3.
6 inafutwa,
5 will be negotiated.
JAL 1&2 solved.
Hesabu za kusadikika.
Mmmmh kulikoni tena wakulungwa mbona uzi umefufuliwa kwa vitisho sanaMagazijuto ikasome , ila neno moja tu nawatakia tuanze kuandaa nyimbo
sio kila kitu nichakubababika nacho!Mmmmh kulikoni tena wakulungwa mbona uzi umefufuliwa kwa vitisho sana
SSH.Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!