Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Huo hapo chini.

Wakuu

Mwaka 1779 jenerali wa Marekani, Benedict Arnold, alianza kuingia makubaliano ya usaliti na majeshi ya uingereza ili kuwasaidia kushinda vita kule Marekani.

Mkakati wake kudhoofisha ngome pale New York uligundulika na aliyekuwa handler wake upande wa uingereza meja John Andre alikamatwa na majeshi ya Marekani na kunyongwa.

Upande wa pili nikawa nimeingia ofisini kwa director nikakuta mazungumzo fulani nikahitaji ufafanuzi.

Nikauliza mbona ilisitishwa? Akajibu, "that's above your paycheck". Nikamwambia hata bado hajastaafishwa akajibu, "JAL 1 is done, 2 and 3 are next".

Nikasema mbona kitabu na fdr hamna dalili akasema stop huku akinionesha nitoke pale ofisini. Basi nikainuka na kusema nilishaaga akajibu, "taarifa zinatoka juu kuja chini".

Akabonyeza namba kwenye simu wakati namalizia kutoka nikasikia anatamka "code PJLK, next stage is ON, desert mission, original plan, over and out."

Nilisikia mlango unagongwa kumbe ni binti yangu aliyekuwa anatoka alfajiri. Hapo nikajua kumbe ilikuwa ni ndoto.

Just a few days.
theState.
Code PJLK je L= ni Laurence mafuru!!!?

Wajuvi mje huku!!!

Najiuliza tu aiseh!
 
Bila kujali kama huu uzi ni kweli au la, ifikie mahali tusikubali wala kushabikia kupangiwa na kikundi cha watu wachache nani wa kutuongoza ilihali tunaona wanawekwa kukidhi natakwa ya tamaa zao.

Tuonyeshe kukereka na hii hali ili tuvunje hii circle inayotawala kama haki miliki yake.
Ndivyo ilivyo duniani kote!unapangiwa was kuchagua na wenye nchi yao!
 
Stay tuned, kuna mada ningeipandisha hapa ungeelewa ila sasa nilitumia id nyingine kimkakati.
Right there where you are!!!?

Ina maana hata hapo Tunguu visiwani mpo!!?kama mlivyokua kule chato!!?
Aiseh!!?kweli right there where you are!!!
 
Bila kujali kama huu uzi ni kweli au la, ifikie mahali tusikubali wala kushabikia kupangiwa na kikundi cha watu wachache nani wa kutuongoza ilihali tunaona wanawekwa kukidhi natakwa ya tamaa zao.

Tuonyeshe kukereka na hii hali ili tuvunje hii circle inayotawala kama haki miliki yake.
Hii haikwepeke popote pale katika ulimwengu huu, kila taifa kuna circle inatawala kwa siri.
 
Wakuu,

Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.

August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.

Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.

Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.

Endelea kusubiri!
Ana hoja
 
Back
Top Bottom