Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Tofauti huku Africa madaraka means wizi uporaji wa rasilimali, ufisadi, wizi na udanganyifu wa kura


Wenzetu utawala na mamlaka ni utumishi

Dogo tuandike katiba mpya tuache uchawa
 
Kwan na huyu atakufa?
 
Je yanaenda kutimia kwa Mngopa?
 
Hii ni dalili kuwa mpango wa kummmaliza JP ulipangwa mapema na Kuna watu walijua fika.
Ole wao watendao Kwa Hila, ndivyo watu watakavyo watenda wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…