Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Kama nimekusoma unamaanisha atakaeteuliwa umakamu wa Rais kumsaidia mama atakuwa Rais kabla ya mama kukamilisha hii miaka 4 na ushee?

Kama ndio hivyo nitamuomba Mungu abatilishe hii kitu ila tu kwa mapenzi yake basi angalau mama amalizie miaka 5 japo binafsi napenda aende hadi 2030

Sitaki kabisa tuingie kwenye historia ya Zambia
 
😳😳😳😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…