B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,390
Inafikirisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisemaje vile hapa?....Tumia akili mkuu..hakuna kitu kama hicho.
Hawajawahi tuangushaMarais wa kiislamu nina mashaka nao
Ngoja tumuweke kwenye maombi yaani hawa wanaoitwa usalama sio watu wa kuwaamini maana wanasomea nje ya nchi wanakuwa vibaraka huko hukoKwa maelezo ya post wala haitafika huko katikati hapo
Kabisa seems watu wanapanga ku fix wenzio na wanatumia fursa kama za ugonjwa wa kweli au wa kutengenezaHuu uzi huyu mama yetu asiuone, atanyong'onyea na kushindwa kuongoza kwa utulivu
Huyu jamaa ni director wa ile movie, kimbembe aseme waliosoma thread watapukutika hapo ndio tutajua hatujui😂😂😂Jamaa atakua anahusika kwenye muvi ya final destination
Haha hahaMajitu machawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],, daah sijui niache kuufatilia huu uziHuyu jamaa ni director wa ile movie, kimbembe aseme waliosoma thread watapukutika hapo ndio tutajua hatujui[emoji23][emoji23][emoji23]
😳😳😳😳😳Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Hata sio bahati ni taaluma hao watu wapo kwenye Kazi maalumu,ukisikia deep state ndio hao sasaWatu na bahati zao...
Huyu Jamaa Tumia akili huwa harudi kujigamba haya mambo yakitimia, fuatilia tabiri zake utaona.Mkuu upoooooo, unabii wako umetimia mkuu, salute mkuu upoooooooo,