Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

We jamaa hebu rudi
 
Is it possible? Let's wait for long
 
Acha uchawi wewe!.
 
Ngoja tumuweke kwenye maombi yaani hawa wanaoitwa usalama sio watu wa kuwaamini maana wanasomea nje ya nchi wanakuwa vibaraka huko huko

Pia nitafuatilia nani atakuwa VP afu niunge dot nimfuatilie alikokuwa na mchakato wa kumpata
Ndio hivyo wanasema Ni imma, Imma mwenyewe ametoka huko nga'mbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…