Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Rais ambaye hajawahi kugombea, ilitokea Marekani, itatokea tena huku

Duh! Kwamba makamu wa rais atakayeteuliwa hivi karibuni ndio rais atakayeingia kwa mfumo wa 37(5) kabla ya 2025! Mama waachie urais wao. Mwakani jiuzulu waambie una matatizo ya kiafya unaenda kulea wajukuu. Kama historia utakuwa umeandika.
 
Kifo cha Magufuri sio Corona wala Tatizo la moyo ila magonjwa haya mawili yametumika kama kivuli,sababu kubwa ni jinsi alivyokuwa anaongoza nchi.Tatizo lenu tukitabiri mnatuona wapuuzi na Mods wanafuta nyuzi zetu.Hili swala nililiota 2016 na hata kabla ya kuwa Rais niliota kwamba yeye ndio Rais,kwakifupi nilioneshwa maisha ya mwisho ya Magufuri kuja kuwa Rais na kifo chake
 
Huyo jamaa Yuko kwenye deep state
Dada Mungu yupo na ukiwa karibu naye sana ukajiepusha na machafu,Mungu atakuficha tu kifo chako.Binafsi hakuna ajali ya ndege inaweza kutokea katika dunia hii mimi nisioteshwe.Tatizo tukitabiri mtuona tumerukwa na akili lakin kama mngekuwa mnafanyia kazi maono yetu mngechukua tahadhari.Lakini maono mengi yanatoka kwa mungu na ni mipango ya mungu so lazima yatimie huwezi kubadilin mpango wa mungu
 
Dada Mungu yupo na ukiwa karibu naye sana ukajiepusha na machafu,Mungu atakuficha tu kifo chako.Binafsi hakuna ajali ya ndege inaweza kutokea katika dunia hii mimi nisioteshwe.Tatizo tukitabiri mtuona tumerukwa na akili lakin kama mngekuwa mnafanyia kazi maono yetu mngechukua tahadhari.Lakini maono mengi yanatoka kwa mungu na ni mipango ya mungu so lazima yatimie huwezi kubadilin mpango wa mungu
Mkuu ndio wewe mwenye huu uzi nini??
 
Dada Mungu yupo na ukiwa karibu naye sana ukajiepusha na machafu,Mungu atakuficha tu kifo chako.Binafsi hakuna ajali ya ndege inaweza kutokea katika dunia hii mimi nisioteshwe.Tatizo tukitabiri mtuona tumerukwa na akili lakin kama mngekuwa mnafanyia kazi maono yetu mngechukua tahadhari.Lakini maono mengi yanatoka kwa mungu na ni mipango ya mungu so lazima yatimie huwezi kubadilin mpango wa mungu
Kipi kipo nyuma ya pazia juu ya kifo hiki mkuu naona wengi wanaonekana walitabiri hili eidha miaka kadhaa nyuma ama miezi michache tu nyuma hapo. Kipi kimejificha tujuze hata kwa ufupi tu mkuu
 
Back
Top Bottom