Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay Asante kwa masahihishoAlituma salaam za pongezi na pia walitangaza kwenye TV
Dada Mungu yupo na ukiwa karibu naye sana ukajiepusha na machafu,Mungu atakuficha tu kifo chako.Binafsi hakuna ajali ya ndege inaweza kutokea katika dunia hii mimi nisioteshwe.Tatizo tukitabiri mtuona tumerukwa na akili lakin kama mngekuwa mnafanyia kazi maono yetu mngechukua tahadhari.Lakini maono mengi yanatoka kwa mungu na ni mipango ya mungu so lazima yatimie huwezi kubadilin mpango wa munguHuyo jamaa Yuko kwenye deep state
Mkuu ndio wewe mwenye huu uzi nini??Dada Mungu yupo na ukiwa karibu naye sana ukajiepusha na machafu,Mungu atakuficha tu kifo chako.Binafsi hakuna ajali ya ndege inaweza kutokea katika dunia hii mimi nisioteshwe.Tatizo tukitabiri mtuona tumerukwa na akili lakin kama mngekuwa mnafanyia kazi maono yetu mngechukua tahadhari.Lakini maono mengi yanatoka kwa mungu na ni mipango ya mungu so lazima yatimie huwezi kubadilin mpango wa mungu
Kipi kipo nyuma ya pazia juu ya kifo hiki mkuu naona wengi wanaonekana walitabiri hili eidha miaka kadhaa nyuma ama miezi michache tu nyuma hapo. Kipi kimejificha tujuze hata kwa ufupi tu mkuuDada Mungu yupo na ukiwa karibu naye sana ukajiepusha na machafu,Mungu atakuficha tu kifo chako.Binafsi hakuna ajali ya ndege inaweza kutokea katika dunia hii mimi nisioteshwe.Tatizo tukitabiri mtuona tumerukwa na akili lakin kama mngekuwa mnafanyia kazi maono yetu mngechukua tahadhari.Lakini maono mengi yanatoka kwa mungu na ni mipango ya mungu so lazima yatimie huwezi kubadilin mpango wa mungu
Unasema kuwa?Tumia akili,
Yule mama wa mipasho akishika nchi Chadema kuchukua nchi itakuwa sawa na keserereka kwenye barafu za mlima K'Njaro.
Ati nini?...hamna lolote mbwembwe tu
Jamani hizi nyuzi, kumbe watu walishaoteshwa zamaniUna maana haya madharau dhidi ya covid19 yata backfire na kumpiga kulekule alikojificha?😎
Au unakusudia kusema nini?
Napita tu jameni....
Nimeamini kila kitu huwa kinapangwa kitokee, hata hili lilipangwa litokeeMkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Aiseee ila we jamaa wewe u ndo DeepStateMama atapita tu kwa muda, yupo atakayechukua ipasavyo.
Waliompa ndo WamechukuaHii hatari inamaana mzee wetu alipangiwa haya