Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
* RC Makonda alisikika akisema kuwa watu wanamfuatilia,
* Balozi Polepole akitokea Arusha siku moja alikuta nyumbani kwake kaporwa nyaraka,
* Mhe Ole Sendeka majuzi kakoswakoswa kuuawa kwa risasi wkt akiwa ktk gari;
* Mhe Dugange alipopata ajali ya gari mwaka jana alisingiziwa kuwa ktk gari lile kulikuwa na mwanamke na kuwa alifariki ajalini;
* Makamu Mwenyekiti wa CCM hubambikwa mara kadhaa kuwa siyo raia wa nchi hii - lengo ni kuchafua image yake ktk jamii;
So;
Hili suala la RC wa Simiyu alotenguliwa na kushitakiwa kwa makosa ya kijinai ya ulawiti ni drama mpya - ni mtego wa viongozi aliokuwa amewabana kwa vitendo vya ufisadi, wizi na kutorosha fedha.
Sasa watezi ili wafanikiwe waliamua kutumia vibinti na midada ili wafanikiwe azima yao. FIKIRI:-
* Why alawitiwe afu aende nyumbani na siyo kituo cha polisi kushitaki;?
* Why alipotoka kwenye gari hakupiga kelele ili mtenda akamatwe hapo hapo?
* Smart phone zipo kila kona why hakupiga picha gari akiwa ndani na akionekana kwa pamoja na RC?
* Alisema kuwa RC huyo kabla alikuwa akimpigia simu kuomba kule - why hakutoa taarifa ukawekwa mtego?
Mamlaka za uteuzi mnaombwa kuwafunda wateuliwa wenu vinginevyo kuelekea uchaguzi wengi watasingiziwa ili watenguliwe na kupoteza sifa za uongozi.
Ngaika Ndenda
* Balozi Polepole akitokea Arusha siku moja alikuta nyumbani kwake kaporwa nyaraka,
* Mhe Ole Sendeka majuzi kakoswakoswa kuuawa kwa risasi wkt akiwa ktk gari;
* Mhe Dugange alipopata ajali ya gari mwaka jana alisingiziwa kuwa ktk gari lile kulikuwa na mwanamke na kuwa alifariki ajalini;
* Makamu Mwenyekiti wa CCM hubambikwa mara kadhaa kuwa siyo raia wa nchi hii - lengo ni kuchafua image yake ktk jamii;
So;
Hili suala la RC wa Simiyu alotenguliwa na kushitakiwa kwa makosa ya kijinai ya ulawiti ni drama mpya - ni mtego wa viongozi aliokuwa amewabana kwa vitendo vya ufisadi, wizi na kutorosha fedha.
Sasa watezi ili wafanikiwe waliamua kutumia vibinti na midada ili wafanikiwe azima yao. FIKIRI:-
* Why alawitiwe afu aende nyumbani na siyo kituo cha polisi kushitaki;?
* Why alipotoka kwenye gari hakupiga kelele ili mtenda akamatwe hapo hapo?
* Smart phone zipo kila kona why hakupiga picha gari akiwa ndani na akionekana kwa pamoja na RC?
* Alisema kuwa RC huyo kabla alikuwa akimpigia simu kuomba kule - why hakutoa taarifa ukawekwa mtego?
Mamlaka za uteuzi mnaombwa kuwafunda wateuliwa wenu vinginevyo kuelekea uchaguzi wengi watasingiziwa ili watenguliwe na kupoteza sifa za uongozi.
Ngaika Ndenda