Unadhani kila mtu anaishi pathetic life kama wewe?Hapo kwa shemeji bado wanaangalia tv sebuleni, yaani Leo utalala muda umeenda, kulala kwako mpaka waondoke sebuleni utandike godoro
Kuishi kwa shemeji yako na unalala sebuleni ndiyo tatizo lilipoMama, hawa ndio wanadamu, ulikopa ili mzigo wa Kodi usiwe mkubwa kuhudumia maendelea, angalau uu-suspend kwa muda au Kwa vijikodi vidogo vidogo, tuhudumie mikopo ya muda mrefu, kuliko kutulima Kodi ya ghafla.
Wenye nongwa wakaongea ooohhh, tu a Hela nyingi, mbona sijui nini
Sasa umeanza msako wa Kodi wa ndani kwa ndani Tanzania ili wale wa falsafa ya ndungai kwamba tukamuane wajue maana yake nini, wameanza kulia tena.
Mama kanyaga twende. Watakuelewa tu, watu hushukuru baadae, hata Nyerere wanaimba juhudi zake baada ya kufariki.
Chameleone,mwanamuziki wa uganda aliimba, wanashukuru ukishaenda
🤣🤣🤣🤣🤣Na huo ugali umewekewa hamira, saa 6 usiku gesi inaisha tumboni, ndio utajua ulikula upepo
Kuna wanasiasa wajinga wajinga wanalalamikia mikopo.Mama, hawa ndio wanadamu, ulikopa ili mzigo wa Kodi usiwe mkubwa kuhudumia maendelea, angalau uu-suspend kwa muda au Kwa vijikodi vidogo vidogo, tuhudumie mikopo ya muda mrefu, kuliko kutulima Kodi ya ghafla.
Wenye nongwa wakaongea ooohhh, tu a Hela nyingi, mbona sijui nini
Sasa umeanza msako wa Kodi wa ndani kwa ndani Tanzania ili wale wa falsafa ya ndungai kwamba tukamuane wajue maana yake nini, wameanza kulia tena.
Mama kanyaga twende. Watakuelewa tu, watu hushukuru baadae, hata Nyerere wanaimba juhudi zake baada ya kufariki.
Chameleone,mwanamuziki wa uganda aliimba, wanashukuru ukishaenda
Hiyo miradi unayoiona Kila Kona ingegharamiwaje? Nyerere alikataa kukopa, aliiacha nchi kama shimo la taka, usafiri wa basi mwanza Dar siku mbili, dar kagera karibu wiki. Maofisi ya umma wanaandikia mifuko ya simenti, Ofisi zimejaa popo,Mama amesababisha uongozi wa wanawake kushuka thamani.
Sio kwa kukopa huku na bado tozo iko pale pale.
Kwani wengine walifanyaje?
Au tatizo ni matumizi?
Maana wanawake tunajuana. anaweza kukopa anunue dela la shughuli badala ya kuwekeza ili izalishe. 🤔
Sako la nyani liendelee, Asake wa Tandale alipe kodi kwa maendeleo ya taifa.Ye si alisema hataki kodi za dhulma.
Defense ya hamnazo ni kejeli.Dada yako katangulia chumbani? Ni mboga ya mtu hiyo
Mama, hawa ndio wanadamu, ulikopa ili mzigo wa Kodi usiwe mkubwa kuhudumia maendelea, angalau uu-suspend kwa muda au Kwa vijikodi vidogo vidogo, tuhudumie mikopo ya muda mrefu, kuliko kutulima Kodi ya ghafla.
Wenye nongwa wakaongea ooohhh, tu a Hela nyingi, mbona sijui nini.
Sasa umeanza msako wa Kodi wa ndani kwa ndani Tanzania ili wale wa falsafa ya ndungai kwamba tukamuane wajue maana yake nini, wameanza kulia tena.
Mama kanyaga twende. Watakuelewa tu, watu hushukuru baadae, hata Nyerere wanaimba juhudi zake baada ya kufariki. Chameleone, mwanamuziki wa uganda aliimba, wanashukuru ukishaenda.
Ukitoa hoja/uzi,penda kupokea yote.Unayoyatarajia na usiyoyapenda.Kujibujibu hovyo kwenye uzi ni kupania jambo na kuonesha ulemavu.Tulia na ujibu vizuri kwa akili.Dada yako katangulia chumbani? Ni mboga ya mtu hiyo