Mama, hawa ndio wanadamu, ulikopa ili mzigo wa Kodi usiwe mkubwa kuhudumia maendelea, angalau uu-suspend kwa muda au Kwa vijikodi vidogo vidogo, tuhudumie mikopo ya muda mrefu, kuliko kutulima Kodi ya ghafla.
Wenye nongwa wakaongea ooohhh, tuna hela nyingi, mbona sijui nini,nchi yetu tajiri.
Sasa umeanza msako wa Kodi wa ndani kwa ndani Tanzania ili wale wa falsafa ya Ndungai kwamba tukamuane wajue maana yake nini, wameanza kulia tena.
Mama kanyaga twende. Watakuelewa tu, watu hushukuru baadae, hata Nyerere wanaimba juhudi zake baada ya kufariki. Chameleone, mwanamuziki wa uganda aliimba, wanashukuru ukishaenda.