Rais anatambua bei za vitu zinapanda. Je, ataongeza mishahara?

Rais anatambua bei za vitu zinapanda. Je, ataongeza mishahara?

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Rais Samia ameonesha kuwa anafahamu ongezeko la bei linaloendelea kwenye bidhaa mbalimbali nchini, na amesema ongezeko litaendelea kutokea kwa kuwa Vita vya Urusi na Ukraine vinaendelea.

Kwa kutambua kuwa ongezeko la bei kunashusha thamani ya fedha na kupunguza nguvu ya kununua (Purchasing power). Je Rais, atawaongezea mishahara sawa na ongezeko la bei linaloendelea ili kuwafanya watumishi wasiathirike na ongezeko la bei lililoko na litakaloendelea kama anavyosema.

Ikumbuke, thamani ya fedha inapofinywa umasikini unaongezeka na kuathiri hata biashara kwa ujumla kwa kuwa watu hawatakuwa na fedha ya kununua bidhaa husika.

Kuelekea Mei Mosi
Signed
OEDIPUS
 
Rais Samia ameonesha kuwa anafahamu ongezeko la bei linaloendelea kwenye bidhaa mbalimbali nchini, na amesema ongezeko litaendelea kutokea kwa kuwa Vita vya Urusi na Ukraine vinaendelea. Kwa kutambua kuwa ongezeko la bei kunashusha thamani ya fedha na kupunguza nguvu ya kununua (Purchasing power). Je Rais, atawaongezea mishahara sawa na ongezeko la bei linaloendelea ili kuwafanya watumishi wasiathirike na ongezeko la bei lililoko na litakaloendelea kama anavyosema.

Ikumbuke, thamani ya fedha inapofinywa umasikini unaongezeka na kuathiri hata biashara kwa ujumla kwa kuwa watu hawatakuwa na fedha ya kununua bidhaa husika.

Kuelekea Mei Mosi
Signed
OEDIPUS
Wafanyabiashara wakubwa haitowaathiri sana maana yeye hatofanya biashara bila kupata faida hata bidhaa ipande vipi lazima nae ataongeza bei na kwa kuwa yeye anakuwa na mtaji wa kutosha anao uwezo huo.

Shida inakuwa kwa wasio ajiriwa kwanza hajui apate vipi pesa na akipata yote inaishia ktk matumizi na usikute haitoshelezi na kuhusu kuongezwa kwa mishahara sijui kama ktk bajeti ilipitishwa mimi naona wangepunguza gharama za Kodi ili kutoa unafuu kidogo.
 
Wafanya biashara wakubwa haito waathiri sana maana yeye hatofanya biashara bila kupata faida hata bidhaa ipande vipi lazima nae ataongeza bei na kwa kua yy anakua na mtaji wa kutosha anao uwezo huo shida inakua kwa wasio ajiriwa kwanza hajui apate vipi pesa na akipata yote inaishia ktk matumizi na usikute haitoshelezi na kuhusu kuongezwa kwa mishahara sijui km ktk bajeti ilipitishwa mm naona wangepunguza gharama za Kodi ili kutoa unafuu kidogo.
Kupunguza kodi ni namna nyingine ya kuongeza kipato cha muajiriwa. Lakini kikubwa inabidi kiende sawa na ongezeko lililopo, i.e general price level ikipanda kwa 10%, mishahara iongezeke kwa 10%, and speed of adjustment pia iwe nzuri.
 
Hata akiongeza itasaidia nini! Nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku wanaofanya kazi rasmi wakiwa ni wastani wa 10% pekee!

Mimi naona angetafuta tu wataalam walio bobea kwenye uchumi ili wamsaidie kupunguza/kuondokana na hili tatizo. Maana hali inaelekea kubaya.
 
Kupunguza kodi ni namna nyingine ya kuongeza kipato cha muajiriwa. Lakini kikubwa inabidi kiende sawa na ongezeko lililopo, i.e general price level ikipanda kwa 10%, mishahara iongezeke kwa 10%, and speed of adjustment pia iwe nzuri.
Ni kweli
 
Mi nadhani akipunguza Kodi na tozo inaweza kusaidia kupunguza ukali Wa maisha bila kuangalia huyu ni mwajirwa au la.
 
Tutaongeza tozo mbalimbali ili tufikie uchumi wa juu kwasasa tupo kati baada ya yule simba kutufelisha na uoga wa kijinga,, ewe mfanyakazi kama umeshindwa kazi pisha wenye uhitaji, mishahara haitopanda na bidhaa ndizo zitapanda bei.

Ukishindwa nenda Burundi, hii nchi sio hadhi yako.
 
Rais Samia ameonesha kuwa anafahamu ongezeko la bei linaloendelea kwenye bidhaa mbalimbali nchini, na amesema ongezeko litaendelea kutokea kwa kuwa Vita vya Urusi na Ukraine vinaendelea.

Kwa kutambua kuwa ongezeko la bei kunashusha thamani ya fedha na kupunguza nguvu ya kununua (Purchasing power). Je Rais, atawaongezea mishahara sawa na ongezeko la bei linaloendelea ili kuwafanya watumishi wasiathirike na ongezeko la bei lililoko na litakaloendelea kama anavyosema.

Ikumbuke, thamani ya fedha inapofinywa umasikini unaongezeka na kuathiri hata biashara kwa ujumla kwa kuwa watu hawatakuwa na fedha ya kununua bidhaa husika.

Kuelekea Mei Mosi
Signed
OEDIPUS
Kwenye mshahara wa laki 7 unaongezwa elfu 80 huku mfumuko wa bei ni 200% ina maana gani sasa?
 
Hata akiongeza itasaidia nini! Nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku wanaofanya kazi rasmi wakiwa ni wastani wa 10% pekee!

Mimi naona angetafuta tu wataalam walio bobea kwenye uchumi ili wamsaidie kupunguza/kuondokana na hili tatizo. Maana hali inaelekea kubaya.
Kweeli inabidi akae na hao wataalam wa uchumi wajue namna gani ya kudhibiti mfumuko wa bei. Pia serikali kupitiachangamoto hii ijifunze kuwawezesha mikopo kwa wakulima au wajasiriamali wangeanzisha viwanda vidogovidogo kwanza vizalishe bidhaa tuwe tunanunua na kuuza ndani kuepusha gharama za kununua nje mfano mafuta ya alizeti, sukari, pamba n.k inawezekana kabisa na itasaidia kuongeza ajira kwa vijana huko viwandani kujikwamua ki uchumi lkn tukitegemea kila kitu kutoka nje ni aibu mno nchi iliyojaa vivutio vya utalii kibao, madini kila aina, mashamba, ya kutosha gas na amani ya kutosha hata hao wazungu wanatushangaa kwanza[emoji27]
 
Shida mshahara huwa hauongezeki sana, tatizo ndio lipo hapo.
Na pia itaongeza bill kwa serikali, Sasa hivi tu nusu ya makusanyo yanalipa mshahara na gharama hizi za mafuta zilizopanda ndio bill kwa serikali itazidi kuongezeka mwisho serikali itashindwa kufanya miradi ya maendeleo.

Kama serikali ilikuwa inatumia let say bil 1 kwenye mafuta kwa sasa itatumia let say bil 1.3. tayari ni tatizo hilo
Issue ni kuchukua measures kupunguza mfumuko wa bei kama wanavyofanya nchi zingine.
 
Unajua mfumuko wa bei kwa wafanyakazi waajiriwa ni kama kuwapunguzia mshahara.

Mfano, Mfanyakazi analipwa 1M kwa mwezi alikuwa na uwezo wa kununua vitu vya 750,000Tshs baada ya makato (PAYE, pension nk)

Sasa hivi hiyohiyo 750,000 inaweza kununua vitu vya thamani ya 500,000 tu kutokana na kuongezeka kwa bei kutokana na vitu vingi kupanda bei. Ina maana kiuhalisia kipato chake kimeshuka sana.

Ukiongeza na tozo, kodi mpya kipato cha mfanyakazi kinapungua zaidi.

Wakulima na wafanyabiashara hawana nafuu.

Bei za Pembejeo zinafanya kilimo kwa wakulima wengi kuwa changamoto, kigumu.

Wafanyabiashara wakipandisha bei sana, wateja wataacha watapungua au kuaacha kabisa kununua bidhaa zao sababu hawana uwezo wa kumudu hizo bei.

Kwahiyo hakuna mwenye nafuu.
 
Rais Samia ameonesha kuwa anafahamu ongezeko la bei linaloendelea kwenye bidhaa mbalimbali nchini, na amesema ongezeko litaendelea kutokea kwa kuwa Vita vya Urusi na Ukraine vinaendelea.

Kwa kutambua kuwa ongezeko la bei kunashusha thamani ya fedha na kupunguza nguvu ya kununua (Purchasing power). Je Rais, atawaongezea mishahara sawa na ongezeko la bei linaloendelea ili kuwafanya watumishi wasiathirike na ongezeko la bei lililoko na litakaloendelea kama anavyosema.

Ikumbuke, thamani ya fedha inapofinywa umasikini unaongezeka na kuathiri hata biashara kwa ujumla kwa kuwa watu hawatakuwa na fedha ya kununua bidhaa husika.

Kuelekea Mei Mosi
Signed
OEDIPUS
Bora wewe una salary wenzio vipi?
 
Hata akiongeza itasaidia nini! Nchi yenye watu zaidi ya milioni 60, huku wanaofanya kazi rasmi wakiwa ni wastani wa 10% pekee!

Mimi naona angetafuta tu wataalam walio bobea kwenye uchumi ili wamsaidie kupunguza/kuondokana na hili tatizo. Maana hali inaelekea kubaya.
Wataalam wa uchumi wapo wa IMF na World Bank na kila siku wanatoa ushauri. Tatizo ni sera za Ujamaa na Kujitegemea ambazo zimekuwa itikadi yetu. Hizi sera za Ujamaa na Kujitegemea ni nanga inayosimamisha meli ya uchumi.
 
Rais Samia ameonesha kuwa anafahamu ongezeko la bei linaloendelea kwenye bidhaa mbalimbali nchini, na amesema ongezeko litaendelea kutokea kwa kuwa Vita vya Urusi na Ukraine vinaendelea.

Kwa kutambua kuwa ongezeko la bei kunashusha thamani ya fedha na kupunguza nguvu ya kununua (Purchasing power). Je Rais, atawaongezea mishahara sawa na ongezeko la bei linaloendelea ili kuwafanya watumishi wasiathirike na ongezeko la bei lililoko na litakaloendelea kama anavyosema.

Ikumbuke, thamani ya fedha inapofinywa umasikini unaongezeka na kuathiri hata biashara kwa ujumla kwa kuwa watu hawatakuwa na fedha ya kununua bidhaa husika.

Kuelekea Mei Mosi
Signed
OEDIPUS
Atapandisha kwa sababu aliahidi kwenye Mei Mosi ya mwaka jana, na si kwa sababu ya bidhaaa kupanda bei.
Akipandisha kwa sababu hiyo, bei zikipungua baada visababishi ulivyovitaja kuondoka na mishahara apunguze?
 
Rais Samia ameonesha kuwa anafahamu ongezeko la bei linaloendelea kwenye bidhaa mbalimbali nchini, na amesema ongezeko litaendelea kutokea kwa kuwa Vita vya Urusi na Ukraine vinaendelea.

Kwa kutambua kuwa ongezeko la bei kunashusha thamani ya fedha na kupunguza nguvu ya kununua (Purchasing power). Je Rais, atawaongezea mishahara sawa na ongezeko la bei linaloendelea ili kuwafanya watumishi wasiathirike na ongezeko la bei lililoko na litakaloendelea kama anavyosema.

Ikumbuke, thamani ya fedha inapofinywa umasikini unaongezeka na kuathiri hata biashara kwa ujumla kwa kuwa watu hawatakuwa na fedha ya kununua bidhaa husika.

Kuelekea Mei Mosi
Signed
OEDIPUS
Hela ya kuongeza mishahara ya watumishi wa serikali itoke wapi? Ni kukamua tuu sekta binafsi na mwishowe ni sekta binafsi kufa. Hakuna jinsi bila ya serikali kujifunga mkanda na kupunguza matumizi. Miradi inayofanywa iwe ni ile tuu ambayo inasaidia uchumi. Kama haina faida kiuchumi ipigwe chini.
 
Back
Top Bottom