Rais anatambua bei za vitu zinapanda. Je, ataongeza mishahara?

Rais anatambua bei za vitu zinapanda. Je, ataongeza mishahara?

Mbolea gani laki na nusu!?...mbolea zimepanda tangu mwaka Jana katikati, vyakula vimepanda hiyo 200%
Shida ya humu jf ni ngumu kujua unayezungumza nae ana upeo kiasi gani.
Mbolea zimepanda kuanzia mwaka Jana katikati Ila mwaka huu mwanzoni zikapanda zaidi
Waziri chini amekiri hiyo Bei, na hiyo bei ni mjini. Wa kijijini ni 170000
Screenshot_20220406-120401_1.jpg
 
Salary ingekuwa inalipwa kwa kuangalia rate ya gold ama dola smt CHF hizo ni strong financial commodity and don't fluctuate kindezi.
Sema Sasa mtu anaongezewa 5% Ila inflation ni 7% si bado Kuna changamoto
 
Shida ya humu jf ni ngumu kujua unayezungumza nae ana upeo kiasi gani.
Mbolea zimepanda kuanzia mwaka Jana katikati Ila mwaka huu mwanzoni zikapanda zaidi
Waziri chini amekiri hiyo Bei, na hiyo bei ni mjini. Wa kijijini ni 170000
View attachment 2177627
Mi ni mkulima babu,nalima pwani,urea ni 120 pamoja na can na dap,nanunua hivyo mbagala,vikindu
 
Bei ikizidi uwezo wa kununua, zinadoda. i.e, mfanyabiashara hawezi kukubali kukaa na mzigo mwezi mzima, ni hasara. Kwa hiyo uwezo wa kununua ukishuka hata wafanyabiashara wanaathirika.
Chukua mfano kwa nchi zingine, wao wamefanya nini kuhusu huu mfumuko wa bei? Wameongeza mishahara? Sisemi kuongeza mshahara ni kosa au haipaswi kuwepo, lakini nachosema sio solution la huu mfumuko.

Nchi zingine zote kukabiliana na huu mfumuko hawajakimbilia kuongeza mshahara. Wamechukua hatua zingine
 
Awaongezeaje? Kwa kuwapa hela mkononi au?

Misimu 2 ijayo mafuta ya kula yote yatazalishwa ndani ila kwa ngano sijajua mpango uliopo kwa sababu mziki wa kuzalisha ngano sio mchezo.
Kuwaongezea pesa wakulima sio kuwapa mkononi, ni Kama vile walivyosema kuweka ruzuku kwenye pembejeo. Zikiwa Bei rahisi wakulima wataweza kumudu na watazalisha sana
 
Mi ni mkulima babu,nalima pwani,urea ni 120 pamoja na can na dap,nanunua hivyo mbagala,vikindu
Ww sasa ni changamoto, nimekuletea statement ya waziri kuhusu bei na hapo waziri kapunguza. Bado tena unabisha[emoji119]
 
Ww sasa ni changamoto, nimekuletea statement ya waziri kuhusu bei na hapo waziri kapunguza. Bado tena unabisha[emoji119]
Nakwambia Mimi mkulima,nanunua mbolea Bei hizo pwani,na bado unamuona changamoto!!
 
Chukua mfano kwa nchi zingine, wao wamefanya nini kuhusu huu mfumuko wa bei? Wameongeza mishahara? Sisemi kuongeza mshahara ni kosa au haipaswi kuwepo, lakini nachosema sio solution la huu mfumuko.

Nchi zingine zote kukabiliana na huu mfumuko hawajakimbilia kuongeza mshahara. Wamechukua hatua zingine
Swala sio tu kuongeza mishahara, bali kama rais anajua bei zinapanda na zitaendelea kupanda, je anachukua hatua gani? kuna nchi zime-subsdize bidhaa nk. Je sisi move yetu ni ipi? ikiwa tumekiri uwepo wa ongezeko la bei.?
 
Alisema serikali haina namna ya kupunguza makali ya maisha kutokana na kupanda bei ya mafuta kwa sababu hali hiyo ni soko la dunia. Hivi kweli kama kweli tatizo lipo nje ya nchi, ndio ushindwe kuangalia namna ya kulitatua?
 
Swala sio tu kuongeza mishahara, bali kama rais anajua bei zinapanda na zitaendelea kupanda, je anachukua hatua gani? kuna nchi zime-subsdize bidhaa nk. Je sisi move yetu ni ipi? ikiwa tumekiri uwepo wa ongezeko la bei.?
Hiko ndio nilimaanisha. Anaweza kuongeza may, alafu kufika July mfumuko ukaongezeka tena.
Solution ni kuzuia mfumuko, japo pia nyongeza ni haki ya mfanyakazi. Ila bila kuzuia mfumuko utakua hujamsaidia kitu huyu mfanyakazi kwa kuwa ongezeko huwa ni dogo sana
 
Mawazo yako ni mazito sana, Hivyo inabidi tufanye vyote, tuongeze mishahara, tupunguze kodi, tutoe ruzuku nk.

Lakini kwa ukubwa huu athari kwa mapato ya serikali yatakuwa makubwa ambayo inaweza isiwe rahisi sana kufanya vyote.
Nadhani ni vyema tuchague moja ambalo litasaidia wananchi kwa kipindi hiki na tusiathiri sana mapato ya serikali

Ilikuwa ni makosa makubwa kuondoa ruzuku kwenye bei za pembejeo wakati asilimia kubwa ya wakulima wetu bado wadogo.

Kupunguza kodi kwenye mafuta hiyo inakuwa kama temporary measure kwa kama miezi sita 3/6 ijayo kustabilize price na kupunguza ongezeko ya bei kiholela.

Kazi moja kubwa ya serikali ni kuhakikisha kuna price stability, to control inflation, kuhakikisha kuna chakula nchini kwa bei wanazoweza wananchi kuzimudu na kuhakikisha shughuli za uchumi zinaendelea.

Ilitakiwa serkali kuhamasisha wakulima walime kilimo cha kisasa, kwa ufanisi Ukizingatia kilimo kinategemewa na 75% ya wananchi wa Tanzania. Serikali ingejikita zaidi kutafuta masoko ya uhakika ya nje kupata foreign currency, soko la ndani lipo la uhakika.

Kujitosheleza kwa chakula kwa soko la ndani, ziada kuuza nje kungeongeza ajira na mapato ya serikali kupitia kodi mbalimbali. Wangerudisha pesa yao ya ruzuku na pesa nyingine zaidi.

Sera rafiki, mfano unaweza kuwakopesha wakulima mbolea wakiuza mazao yao wanalipa.

Muhimu serikali kuwa serious na kuwa na sera rafiki na mikakati madhubuti ya muda mrefu kuendeleza kilimo.

Tunasema kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa ila hatufikirii hata tunamaanisha nini? Maana halisi ya haya maneno.

Bila uti wa mgongo kwa binadamu huwezi kusimama, kutembea, kufanya vitu vingi muhimu, kufikiri sawasawa, ku- control mwili wako, utapooza.

Bila kilimo cha kisasa hapa TZ, kukifanya kilimo kipaumbele kwa vitendo siku zote tutakuwa tunazunguka palepale.

Sera rafiki, incentive kwa wawekezaji wa viwanda vya mbolea,viwanda vya kutengeneza matrekta, vifaa vya umwagiliaji, uzalishaji wa mbegu zenye viwango, na pembejeo nyingine hapa nchini vingesaidia sana kukuza hii sekta.
 
  • Thanks
Reactions: OLS
Mama anaweka nchi kwenye Auto pilot

Tukae kwa utulivu.
 
Rais Samia ameonesha kuwa anafahamu ongezeko la bei linaloendelea kwenye bidhaa mbalimbali nchini, na amesema ongezeko litaendelea kutokea kwa kuwa Vita vya Urusi na Ukraine vinaendelea.

Kwa kutambua kuwa ongezeko la bei kunashusha thamani ya fedha na kupunguza nguvu ya kununua (Purchasing power). Je Rais, atawaongezea mishahara sawa na ongezeko la bei linaloendelea ili kuwafanya watumishi wasiathirike na ongezeko la bei lililoko na litakaloendelea kama anavyosema.

Ikumbuke, thamani ya fedha inapofinywa umasikini unaongezeka na kuathiri hata biashara kwa ujumla kwa kuwa watu hawatakuwa na fedha ya kununua bidhaa husika.

Kuelekea Mei Mosi
Signed
OEDIPUS
Anajua ni upigaji tu huo wafanyabiashara wanajifidia.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Kuwaongezea pesa wakulima sio kuwapa mkononi, ni Kama vile walivyosema kuweka ruzuku kwenye pembejeo. Zikiwa Bei rahisi wakulima wataweza kumudu na watazalisha sana
Kumbe subiria utekelezaji,sasa unaposema wewe ungekuwa mama wakati kaanza sijui unataka uwe mama mwenye kitobo au?
 
Back
Top Bottom