Pre GE2025 Rais anazipa Simba na Yanga pesa kila goli (Goli la Mama), anazitoa wapi? Msigwa ajibu "Pesa anazotoa ni ndogo"

Pre GE2025 Rais anazipa Simba na Yanga pesa kila goli (Goli la Mama), anazitoa wapi? Msigwa ajibu "Pesa anazotoa ni ndogo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama hujawahi kufanya kwenye mashirika makubwa huwezi kujuwa hili, hata CEO wa kampuni anakuwa nafungu lake la entertainment au matumizi ya kukarimu ni sehemu ya budget ya ofisi ya Rais sasa ukubwa wa budget hiyo inategemea na ukubwa. Hakuna mtu anachukua pesa kwenye fungu lingine huyu mwandishi anaendeshwa na hisia haelewi mifumo ya serikali au makampuni makubwa.
Acheni longolongo. Semeni fedha hizo zip kwenye kifungu kipi kilichoidhinishwa na Bunge kwenye bajeti ya Serikali?

Semeni pia kifungu hicho kilichoidhinishwa kwenye hiyo Bajeti kilitengewa kiasi gani?

Kumbuka hizi ni pesa za walipakodi sio pesa za kampuni binafsi.
 
Acheni longolongo. Semeni fedha hizo zip kwenye kifungu kipi kilichoidhinishwa na Bunge kwenye bajeti ya Serikali?

Semeni pia kifungu hicho kilichoidhinishwa kwenye hiyo Bajeti kilitengewa kiasi gani?

Kumbuka hizi ni pesa za walipakodi sio pesa za kampuni binafsi.
Wewe IQ yako ndogo sana nenda kasome au inawezakana maisha yamekupiga sana, unajuwa bugdet inatengenezwa vipi? Kwanini usisikilize siku budget inavyosomwa uletewe wewe hapa kama nani? Budget inapitishwa na wabunge sio wewe sasa kama unashida mfuate mbunge wako muulize hivi ngapi mlipitisha.
 
Sasa wewe unajuwa budget ya ofisi ya Rais?? wewe unaona jumla tu huwezi kuona kila kifungu kwenye budget ya ofisi ya Raisi, kuna mpaka ya nguo, wafanyakazi, chakula na mabalaa yote mpaka simu ni humo humo kwenye budget ya ofisi ya Raisi, Hapa zingatia Ofisi ya Rais sio Raisi
Bajeti ya nchi ni issue ya Umma.

Ndo mana inapitishwa Bungeni kwenye mjadala wa wazi ili umma uone.

Wakati wa Bajeti huwa vinasomwa kifungu kwa kifungu na pesa zilizotengwa. Msigwa anapaswa kututajia kifungu rasmi kinachotumika kutoa fedha hizo na anapaswa pia kusema kifungu hicho kilitengewa kiasi gani ili wananchi wajue pesa zao zinavyotumika.

Kumbukeni hizi ni pesa za Umma( Kodi za Wananchi) na sio pesa zake binafsi. Hivyo majibu ya msigwa sio majibu amepuyanga tu.
 
Ukiona mtu kaulizwa umekula nini halafu anaanza kukuambia historia ya kilimo na manufaa yake, majembe na mbolea yanauzwa wapi hapo jua tu kuna jambo🐼
Umenikumbusha mwalimu mmoja kwa Sasa ni R.I.P

Huyu mwalimu ndie alikua mwalimu wa chakula pale uboyzn Katika moja ya shule kongwe Zaidi Tanzania by then.

Iliibuliwa wizi/upotevu wa viroba vya Michele na maharage, mafuta na sukari n.k binafsi nilishuhudia wizi usiku wakatupa kiroba kimoja kwa kua nilijua peke angu nikaenda kuita watu tukakuta kiroba kimetaifishwa.

Yule mwalimu kwenye kikao Cha shule alipo takiwa kujibu akaanza kuongea akisema DINNING HALL NI CHAFU HATUFANYI USAFI, PIA TUNAINGIA DANNING HALL NA NDALA,BUKTA, WENGINE HAWAVAI T-SHIRT ZA SHULE AKAENDELEA KUSEMA KUNA WATU HAWAOGI, DOMMITORIES NI CHAFU HATUFAGII N.K 😅😂🤣😅

watu Waka anza kuzomea akaambiwa ajibu hoja za upotevu/ wizi wa chakula store sio kutugeuza mazuzu🏃🏃🏃🏃
 
Acheni longolongo. Semeni fedha hizo zip kwenye kifungu kipi kilichoidhinishwa na Bunge kwenye bajeti ya Serikali?

Semeni pia kifungu hicho kilichoidhinishwa kwenye hiyo Bajeti kilitengewa kiasi gani?

Kumbuka hizi ni pesa za walipakodi sio pesa za kampuni binafsi.
Wewe unadhani zile nguo anazovaa ananunua kwa pesa yake? acha ujinga hata taasisi kubwa za mabenki CEO ana budget ndio maana kuna wakati wanaitisha futari tu mkubwa anaalika wageni unadhani anachota tu Bank.
 
Bajeti ya nchi ni issue ya Umma.

Ndo mana inapitishwa Bungeni kwenye mjadala wa wazi ili umma uone.

Wakati wa Bajeti huwa vinasomwa kifungu kwa kifungu na pesa zilizotengwa. Msigwa anapaswa kututajia kifungu rasmi kinachotumika kutoa fedha hizo na anapaswa pia kusema kifungu hicho kilitengewa kiasi gani ili wananchi wajue pesa zao zinavyotumika.

Kumbukeni hizi ni pesa za Umma( Kodi za Wananchi) na sio pesa zake binafsi. Hivyo majibu ya msigwa sio majibu amepuyanga tu.
Pesa za uma unalipa hata kodi wewe? Budget inasomwa, wabunge wanapitia kama hawaridhika wanaijadili budget kifungu kirekebishwe au hapana shida hujui au unakurupuka tu hapa. Budget ni ya ofisi ya Raisi sio ya msemaji hana access ya budget ofisi sio yake. Gombani ubunge ukalinde pesa za umma.
 
Swali ameulizwa Msigwa na alipaswa kulijibu yeye mwenyewe kwa Ufasaha.

Labda huwajui Viongozi wa Afrika. Huwa wana Tabia ya kupiga simu kwa Mawaziri wao wa Fedha na hata Benki kuu kuagiza waletewe hela tena zikiwa taslimu.

Fuatilia documentary ya Mobutu wasaidizi wake walivyosema namna alivyokuwa anafanya. Na kwenye haya ndo wizi wa fedha za umma unatokea wa kutisha

Rais anaweza mwambia msaidiz wake mwambie Gavana wa BOT alate Bil 1, Msaidizi wake akatoa maagizo ziletwe Bil 2 ( akaweka cha juu Bil 1 ya kwake) na Gavana akatoa Bil 3 akaweka Bil 1 yake pia

Wanaouliza haya maswali wanajua hii michezo na wanajua fedha hizi hazipo kwenye mifumo rasmi kama ilivyoidhinishwa na Bunge kwenye Bajeti.

Wewe IQ yako ndogo sana nenda kasome au inawezakana maisha yamekupiga sana, unajuwa bugdet inatengenezwa vipi? Kwanini usisikilize siku budget inavyosomwa uletewe wewe hapa kama nani? Budget inapitishwa na wabunge sio wewe sasa kama unashida mfuate mbunge wako muulize hivi ngapi mlipitisha.
 
Pesa za uma unalipa hata kodi wewe? Budget inasomwa, wabunge wanapitia kama hawaridhika wanaijadili budget kifungu kirekebishwe au hapana shida hujui au unakurupuka tu hapa. Budget ni ya ofisi ya Raisi sio ya msemaji hana access ya budget ofisi sio yake. Gombani ubunge ukalinde pesa za umma.
Acha kuzunguka. Sema hapa hilo fungu la Rais limetengewa kiasi gani kwenye Bajeti ya mwaka huu?
 
Pesa za uma unalipa hata kodi wewe? Budget inasomwa, wabunge wanapitia kama hawaridhika wanaijadili budget kifungu kirekebishwe au hapana shida hujui au unakurupuka tu hapa. Budget ni ya ofisi ya Raisi sio ya msemaji hana access ya budget ofisi sio yake. Gombani ubunge ukalinde pesa za umma.
Ninalipa sana kodi. Nina kampun zangu mbili hapo Tanzania na kwa mwezi nalipa karibu Mil 50 kwenye kodi tu.
 
Swali ameulizwa Msigwa na alipaswa kulijibu yeye mwenyewe kwa Ufasaha.

Labda huwajui Viongozi wa Afrika. Huwa wana Tabia ya kupiga simu kwa Mawaziri wao wa Fedha na hata Benki kuu kuagiza waletewe hela tena zikiwa taslimu.

Fuatilia documentary ya Mobutu wasaidizi wake walivyosema namna alivyokuwa anafanya. Na kwenye haya ndo wizi wa fedha za umma unatokea wa kutisha

Rais anaweza mwambia msaidiz wake mwambie Gavana wa BOT alate Bil 1, Msaidizi wake akatoa maagizo ziletwe Bil 2 ( akaweka cha juu Bil 1 ya kwake) na Gavana akatoa Bil 3 akaweka Bil 1 yake pia

Wanaouliza haya maswali wanajua hii michezo na wanajua fedha hizi hazipo kwenye mifumo rasmi kama ilivyoidhinishwa na Bunge kwenye Bajeti.
Ndio maana nimesema wewe huna exposure, watu hawaibi hivyo kijinga jinga wala huwelewi mfumo wa pesa zinavyotoka. Acha ujuaji jifunze kama unataka nitakupa somo ila ukitaka kuleta chuki tu basi wewe piga kelele tu.
 
Kwenye mtihani unambiwa point uweke juu halafu maelezo yanafuata. Huyu jamaa ameaza na maelezo mengi ambayo hayana msingi.
 
Acha kupuyanga. Jibu swali uliloulizwa
Sasa swali wewe unayejiona una hoja kumbe ujinga. Budget imepitishwa na bunge unataka nikjibu nini? wewe unadhani kuna fungu limeandikwa Goal la Mama? acha ujinga kuna kitu kwenye budget kinawekwa Other miscellaneous. sasa jiongeze
 
  • Thanks
Reactions: UCD
kajibuje vizuri? ameulizwa ni zake binafsi hajatoa majibu!

Alipaswa kusema hizo pesa zipo kwenye kifungu kipi cha Bajeti iliyoidhinishwa na Bunge na alipaswa kusema kama ni za umma au la?

Alipaswa kusemwa pia kifungu hiko kama kipo kinawekewa kiasi gani?

Kumbuka hakuna fedha za Rais nchi hii. Fedha zote ni za wananchi (Kodi za Wananchi) na zinapaswa kutumika kwa namna Ilivyoidhinishwa na Bunge tu kwenye Bajeti ya Serikali.
Unajua fungu la Responsibility Allowance ambazo zinatolewa kwa viongozi wakuu wa serikali? Na unajua Rais ana Vote yake? Unabisha wakati hujui lolote!! Tatizo unajifanya unajua wakati kichwani ni zero brain.
 
Hii nchi kweli ina pesa, halafu lini mpira umekuwa huduma za kijamii?!
 
Wabunge wana mfuko wa Jimbo... Rais ana mfuko wake pia wa jamii. Usitake kujua una tsh ngapi 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom