Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Acheni longolongo. Semeni fedha hizo zip kwenye kifungu kipi kilichoidhinishwa na Bunge kwenye bajeti ya Serikali?Kama hujawahi kufanya kwenye mashirika makubwa huwezi kujuwa hili, hata CEO wa kampuni anakuwa nafungu lake la entertainment au matumizi ya kukarimu ni sehemu ya budget ya ofisi ya Rais sasa ukubwa wa budget hiyo inategemea na ukubwa. Hakuna mtu anachukua pesa kwenye fungu lingine huyu mwandishi anaendeshwa na hisia haelewi mifumo ya serikali au makampuni makubwa.
Wewe IQ yako ndogo sana nenda kasome au inawezakana maisha yamekupiga sana, unajuwa bugdet inatengenezwa vipi? Kwanini usisikilize siku budget inavyosomwa uletewe wewe hapa kama nani? Budget inapitishwa na wabunge sio wewe sasa kama unashida mfuate mbunge wako muulize hivi ngapi mlipitisha.Acheni longolongo. Semeni fedha hizo zip kwenye kifungu kipi kilichoidhinishwa na Bunge kwenye bajeti ya Serikali?
Semeni pia kifungu hicho kilichoidhinishwa kwenye hiyo Bajeti kilitengewa kiasi gani?
Kumbuka hizi ni pesa za walipakodi sio pesa za kampuni binafsi.
Bajeti ya nchi ni issue ya Umma.Sasa wewe unajuwa budget ya ofisi ya Rais?? wewe unaona jumla tu huwezi kuona kila kifungu kwenye budget ya ofisi ya Raisi, kuna mpaka ya nguo, wafanyakazi, chakula na mabalaa yote mpaka simu ni humo humo kwenye budget ya ofisi ya Raisi, Hapa zingatia Ofisi ya Rais sio Raisi
Umenikumbusha mwalimu mmoja kwa Sasa ni R.I.PUkiona mtu kaulizwa umekula nini halafu anaanza kukuambia historia ya kilimo na manufaa yake, majembe na mbolea yanauzwa wapi hapo jua tu kuna jamboπΌ
Wewe unadhani zile nguo anazovaa ananunua kwa pesa yake? acha ujinga hata taasisi kubwa za mabenki CEO ana budget ndio maana kuna wakati wanaitisha futari tu mkubwa anaalika wageni unadhani anachota tu Bank.Acheni longolongo. Semeni fedha hizo zip kwenye kifungu kipi kilichoidhinishwa na Bunge kwenye bajeti ya Serikali?
Semeni pia kifungu hicho kilichoidhinishwa kwenye hiyo Bajeti kilitengewa kiasi gani?
Kumbuka hizi ni pesa za walipakodi sio pesa za kampuni binafsi.
Pesa za uma unalipa hata kodi wewe? Budget inasomwa, wabunge wanapitia kama hawaridhika wanaijadili budget kifungu kirekebishwe au hapana shida hujui au unakurupuka tu hapa. Budget ni ya ofisi ya Raisi sio ya msemaji hana access ya budget ofisi sio yake. Gombani ubunge ukalinde pesa za umma.Bajeti ya nchi ni issue ya Umma.
Ndo mana inapitishwa Bungeni kwenye mjadala wa wazi ili umma uone.
Wakati wa Bajeti huwa vinasomwa kifungu kwa kifungu na pesa zilizotengwa. Msigwa anapaswa kututajia kifungu rasmi kinachotumika kutoa fedha hizo na anapaswa pia kusema kifungu hicho kilitengewa kiasi gani ili wananchi wajue pesa zao zinavyotumika.
Kumbukeni hizi ni pesa za Umma( Kodi za Wananchi) na sio pesa zake binafsi. Hivyo majibu ya msigwa sio majibu amepuyanga tu.
Wewe IQ yako ndogo sana nenda kasome au inawezakana maisha yamekupiga sana, unajuwa bugdet inatengenezwa vipi? Kwanini usisikilize siku budget inavyosomwa uletewe wewe hapa kama nani? Budget inapitishwa na wabunge sio wewe sasa kama unashida mfuate mbunge wako muulize hivi ngapi mlipitisha.
Acha kuzunguka. Sema hapa hilo fungu la Rais limetengewa kiasi gani kwenye Bajeti ya mwaka huu?Pesa za uma unalipa hata kodi wewe? Budget inasomwa, wabunge wanapitia kama hawaridhika wanaijadili budget kifungu kirekebishwe au hapana shida hujui au unakurupuka tu hapa. Budget ni ya ofisi ya Raisi sio ya msemaji hana access ya budget ofisi sio yake. Gombani ubunge ukalinde pesa za umma.
Ninalipa sana kodi. Nina kampun zangu mbili hapo Tanzania na kwa mwezi nalipa karibu Mil 50 kwenye kodi tu.Pesa za uma unalipa hata kodi wewe? Budget inasomwa, wabunge wanapitia kama hawaridhika wanaijadili budget kifungu kirekebishwe au hapana shida hujui au unakurupuka tu hapa. Budget ni ya ofisi ya Raisi sio ya msemaji hana access ya budget ofisi sio yake. Gombani ubunge ukalinde pesa za umma.
Ulikuwa wapi wakati inasomwa budget? ulikuwa una bet au?Acha kuzunguka. Sema hapa hilo fungu la Rais limetengewa kiasi gani kwenye Bajeti ya mwaka huu?
Acha kupuyanga. Jibu swali uliloulizwaUlikuwa wapi wakati inasomwa budget? ulikuwa una bet au?
Ndio maana nimesema wewe huna exposure, watu hawaibi hivyo kijinga jinga wala huwelewi mfumo wa pesa zinavyotoka. Acha ujuaji jifunze kama unataka nitakupa somo ila ukitaka kuleta chuki tu basi wewe piga kelele tu.Swali ameulizwa Msigwa na alipaswa kulijibu yeye mwenyewe kwa Ufasaha.
Labda huwajui Viongozi wa Afrika. Huwa wana Tabia ya kupiga simu kwa Mawaziri wao wa Fedha na hata Benki kuu kuagiza waletewe hela tena zikiwa taslimu.
Fuatilia documentary ya Mobutu wasaidizi wake walivyosema namna alivyokuwa anafanya. Na kwenye haya ndo wizi wa fedha za umma unatokea wa kutisha
Rais anaweza mwambia msaidiz wake mwambie Gavana wa BOT alate Bil 1, Msaidizi wake akatoa maagizo ziletwe Bil 2 ( akaweka cha juu Bil 1 ya kwake) na Gavana akatoa Bil 3 akaweka Bil 1 yake pia
Wanaouliza haya maswali wanajua hii michezo na wanajua fedha hizi hazipo kwenye mifumo rasmi kama ilivyoidhinishwa na Bunge kwenye Bajeti.
Sasa swali wewe unayejiona una hoja kumbe ujinga. Budget imepitishwa na bunge unataka nikjibu nini? wewe unadhani kuna fungu limeandikwa Goal la Mama? acha ujinga kuna kitu kwenye budget kinawekwa Other miscellaneous. sasa jiongezeAcha kupuyanga. Jibu swali uliloulizwa
Unajua fungu la Responsibility Allowance ambazo zinatolewa kwa viongozi wakuu wa serikali? Na unajua Rais ana Vote yake? Unabisha wakati hujui lolote!! Tatizo unajifanya unajua wakati kichwani ni zero brain.kajibuje vizuri? ameulizwa ni zake binafsi hajatoa majibu!
Alipaswa kusema hizo pesa zipo kwenye kifungu kipi cha Bajeti iliyoidhinishwa na Bunge na alipaswa kusema kama ni za umma au la?
Alipaswa kusemwa pia kifungu hiko kama kipo kinawekewa kiasi gani?
Kumbuka hakuna fedha za Rais nchi hii. Fedha zote ni za wananchi (Kodi za Wananchi) na zinapaswa kutumika kwa namna Ilivyoidhinishwa na Bunge tu kwenye Bajeti ya Serikali.
JPM alikuwa anagawa juu ya gari unadhani alikuwa anatoa wapi? mbona uliufyata leo ndio unaona kuna la kuuliza hapa.Acha kupuyanga. Jibu swali uliloulizwa
Taahira mama na baba yako! Shithole.Matahira kama nyie ndio mtaji wa Ccm