Pre GE2025 Rais anazipa Simba na Yanga pesa kila goli (Goli la Mama), anazitoa wapi? Msigwa ajibu "Pesa anazotoa ni ndogo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe ni nyumbu hata hujui Rais ana Vote yake na hunauwezo wewe nyumbu kuijua wala kuiona! Endelea kucheka tu kama shoga tu!!
Kwa hiyo fungu la Rais ndo consolidated fund????🤣🤣🤣🤣. Kweli mtaji wa CCM ni wajinga

Alafu hilo kifungu kipi cha Sheria ya nchi kinasema fungu la Rais halijadiliwi?
 
Shida yetu wabongo wengi ni maskini so tunaposikia million20/30/300/500 tunaona ni pesa nying sana ila kuna wabongo wenzetu wanatengeneza iyo pesa km faida ndani ya mwezi mmoja
Km mfanyabiashara anaweza tengeneza faida ya millio400 kwa mwezi anashindwaje kumpelekea raisi 40 milion kumuunga mkono
 
Usichojua ni kwamba Rais ni mtumishi wako. Na anapaswa kuwajibika kwako.

Ibara ya 8 tu ya Katiba hii mbovu inasema hayo alafu unakuja na ujinga wako hapa sijui Rais ni mtu mkubwa!!

Jinga kabisa
 
Ukweli ni kuwa hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu kwani hela hizo hazisaidii kuinua kiwango cha mchezo huo bali zinamjenga Samia kisiasa yeye binafsi.
Alaf Kuna jamaa anashupaza shingo kubisha na kubisha nakuita wengine nyumbu.

Binafsi naona sio sawa kutoa izo pesa labda Kama ni kutoka katika mshahara wake mwenyewe.
 
kwamba Goli la mama inasaidia nin soka letu ? kuwa ccmu ni ugonjwa wa akili , hizo pesa za mama sio zake ni kodi zake na hizo pesa ni za shughuli maalumi hasa za dharura sio kugawa kweny viwanja vya michezo bali kuboresha nyenzo za michezo , Simba na Yanga maboss wao sio kwamba hawawez kuwalipa wachezaj wao hzo 5M , MoDewj anaproject kila mwezi inacost mpk 100m na hii anaitoa kwa jamii bure , Modewji anasomesha vijana kweny level zote za elimu , kwahiyo Rais angeweza hata andaa chakula cha jion kwa kila mafanikio ambayo timu yetu inayapata ambapo ingegharimu gharama ndogo na ingewapa hamasa kila timu kutaman kuachieve kitu ili wapate mwaliko wa rais , kisha hayo mamilion yangeelekezwa kweny kukarabati shule zetu za vijijini pamoja na kuongeza vifaa kaz huko vijijini

CCMU sio dini wala kabila kwamba utaunga mkono kila kiti cha ccmu
 
Hata kuandika hujui ccmu ndio nini mkuu?
 
yaan ww unamuita mwenzio ana IQ ndogo ilihali ww ndo mweny IQ , hakuna pesa rais katengewa kugawa kwa wachezaj , hizo pesa ni muhimu angetoa kwa wahanga wa jengo la K/koo , achana na hii hv GSM na MODewji wanashindwa walipa hao wachezaj hizo pesa ? kuna haja gan kuwapa peaa watu waliolipwa pesa kufanikisha hayo magoli ? hii unahitaj Mwamposa akuombee ndo uelewe ? kuna haja gan ya kuwapa pesa watu wanaolipwa na shirikisho kwa kila hatua wanaingia ? hii unahita ukafundishwe HAVARD ndo uelewe ? hv shule ngap Tz hakuna madawati ya kutosha watoto wanakaa chini ? je kwa mijibu wa rais ni bora kuwapa pesa Simba nana Yanga na huku kweny kuboresga mazingira ya utoaji elimu kwa Samia sio muhimu sana mpk asubir USAIDS ? unaandika utumbo huu wkt mtaani kwako hakuna hata bomba la maji hata mifereji ya majitaka haipo , hakuna hata njia za uchukuz kuingia mtaani kwako na kutoka mtaani kwako wkt huyo Samia katia lami huko Bweni anapoishi na full socila services , hiyo pesa ilipaswa ielekezwe kweny kutoa huduma za kijamii ambazo zingegusa hata maisha yako au ya familia yako au ya watu wako wa karibu ila upo hapa busy unashabikia utakasaji wa pesa za umma
 
Hata kuandika hujui ccmu ndio nini mkuu?
kwan hapa tupo kweny kipindi cha lugha ? mnajua kuandika ila kusoma hamjui , mkataba msaini bila kuisoma , yaan jitu lipo 2025 ila akili ipo 12000BC Zinjanthropussy
 
Reactions: UCD
Wewe nyumbu huwezi jua kitu. Tafuta taarifa za Consolidate Fund za Serikali ya JMT kama unataka kuelewa zaidi. Ila kwa kuwa ni nyumbu sidhani kama utazipata zaidi utaendelea kuandika ujinga tu hapa na nyumbu wenzako watakupa like!
huko ndo pesa zimeelekezwa zikagawiwe kwa kila goli la Simba na Yanga ? kwamba hatuna matatizo mengine , m23 waje na huku wajinga ni wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…