yaan ww unamuita mwenzio ana IQ ndogo ilihali ww ndo mweny IQ , hakuna pesa rais katengewa kugawa kwa wachezaj , hizo pesa ni muhimu angetoa kwa wahanga wa jengo la K/koo , achana na hii hv GSM na MODewji wanashindwa walipa hao wachezaj hizo pesa ? kuna haja gan kuwapa peaa watu waliolipwa pesa kufanikisha hayo magoli ? hii unahitaj Mwamposa akuombee ndo uelewe ? kuna haja gan ya kuwapa pesa watu wanaolipwa na shirikisho kwa kila hatua wanaingia ? hii unahita ukafundishwe HAVARD ndo uelewe ? hv shule ngap Tz hakuna madawati ya kutosha watoto wanakaa chini ? je kwa mijibu wa rais ni bora kuwapa pesa Simba nana Yanga na huku kweny kuboresga mazingira ya utoaji elimu kwa Samia sio muhimu sana mpk asubir USAIDS ? unaandika utumbo huu wkt mtaani kwako hakuna hata bomba la maji hata mifereji ya majitaka haipo , hakuna hata njia za uchukuz kuingia mtaani kwako na kutoka mtaani kwako wkt huyo Samia katia lami huko Bweni anapoishi na full socila services , hiyo pesa ilipaswa ielekezwe kweny kutoa huduma za kijamii ambazo zingegusa hata maisha yako au ya familia yako au ya watu wako wa karibu ila upo hapa busy unashabikia utakasaji wa pesa za umma