Pre GE2025 Rais anazipa Simba na Yanga pesa kila goli (Goli la Mama), anazitoa wapi? Msigwa ajibu "Pesa anazotoa ni ndogo"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
huko ndo pesa zimeelekezwa zikagawiwe kwa kila goli la Simba na Yanga ? kwamba hatuna matatizo mengine , m23 waje na huku wajinga ni wengi sana
Wafuate huko DRC
 
Yaani wewe hapo umejiona umeandika bonge la point? kuna mijitu nchi hii zero brain na wewe ni kati ya hao. Hoja hapa ampe nani amuache nani au hoja pesa katoa wapi? jikite kwenye hoja. Nimekwambia fungu analo kwenye budget sasa anampa nani hampi nani huo ni mjadala mwingine. Unakimbilia madawati, sijui maji siju Kariakoo kwani ulisikia lini hakuna budget ya maji? hujui kuna budget ya maafa. Acha ujinga wewe eti Havard halafu unatoa ujinga hapa. Pumbavuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…