mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
- Thread starter
- #21
Mods wamebadilisha title,niliandika ''hivi kama katiba mpya itapatikana kipengele cha raisi kutoshtakiwa atokapo madarakani kibakie kama kilivyo''Si sheria zipo kwamba rais asishtakiwe hata akisha toka madarakani? au mnataaka sheria gani nyingine?
Hivi nana anambughudhi Rais Mwinyi?