Rais asibughudhiwe pindi amalizapo wakati wake, aachwe apumzike

Rais asibughudhiwe pindi amalizapo wakati wake, aachwe apumzike

Habari wanajamvi!

Nazungumzia Rais kushitakiwa amalizapo muda wake (kama alifanya makosa akiwa madarakani).

Asili ya sisi Waafrika (watu weusi) ni kupenda kukomoana, majungu na visasi.

Inawezekana kabisa ukiwa madarakani ukafanya/ukasimamia jambo kwa mujibu wa taratibu lakini kwa kufanya hivyo ukagusa/ ukaharibu maslahi au mipango ya wengine.

AU unaweza kujistarehesha na hawara wa mtu bila kujua siku wakishika madaraka wao basi kwisha habari yako.

Sheria hii inafaa kwa jamii zilizostaarabika na kuelimika,sio kama huku kwetu ambako WASOMI NDIO WAJINGA WAKUU.

Nasisitiza Rais asibughudhiwe pindi amalizapo wakati wake, aachwe apumzike.

Mimi mwandishi itikadi yangu sio tu ni CCM, bali ni timu MAGUFULI
Ikiwa raisi akimaliza hawezi kupandishwa mahakamani au kuhukumiwa ni sawa na kutoa leseni ya kufanya utakavyo wakati ukiwa madarakani. Nadhani hiki ndio kinachotokea kama matokeo ya kuwa na sheria za kichovu kama hizi.
 
Mkuu upo sahihi 100% katika jicho lililostaarabika, ila kwa jamii zetu huwa tuna ushamba wa kumkomesha fulani kama alikugusa maslahi yako hata kama alitenda hivyo kihali.
Hivyo mstaafu anaweza ingia jela kwa kuundiwa tu zengwe
Penye haki zengwe halina nafasi! Kiongozi muadilifu ana kinga ya wanyonge ambao ndio wengi watamlinda kufuatana na sheria zile zile alizozifuata akiwa madarakani!
 
Habari wanajamvi!

Nazungumzia Rais kushitakiwa amalizapo muda wake (kama alifanya makosa akiwa madarakani).

Asili ya sisi Waafrika (watu weusi) ni kupenda kukomoana, majungu na visasi.

Inawezekana kabisa ukiwa madarakani ukafanya/ukasimamia jambo kwa mujibu wa taratibu lakini kwa kufanya hivyo ukagusa/ ukaharibu maslahi au mipango ya wengine.

AU unaweza kujistarehesha na hawara wa mtu bila kujua siku wakishika madaraka wao basi kwisha habari yako.

Sheria hii inafaa kwa jamii zilizostaarabika na kuelimika,sio kama huku kwetu ambako WASOMI NDIO WAJINGA WAKUU.

Nasisitiza Rais asibughudhiwe pindi amalizapo wakati wake, aachwe apumzike.

Mimi mwandishi itikadi yangu sio tu ni CCM, bali ni timu MAGUFULI
Je, hizi jamii zetu unaziita za kishamba hazizalishi pia baadhi ya viongozi wa shamba ambao hawatumii madaraka wanayopewa kikatiba na wananchi kwa manufaa ya umma, badala yake wanatumia madaraka hayo kuwakomoa wananchi ambao hawawapendi? Au upande wa pili wa hoja yako wanaoijua ni wasomi peke yake!?
 
Tanzania madarakani/ uongozi ni ajira na sio utumishi
 
Kwamba wasomi huku kwetu ndiyo wajinga wakubwa,hawa akina prof nani ndiyo viongozi wa ujinga,haya bwana.
 
Je. Yeye akiwa mtaafu ni ruksa kubughuzi walioko madarakani kiasi cha kuwalia njama kama anaziweza hizo njama?
 
Je. Yeye akiwa mtaafu ni ruksa kubughuzi walioko madarakani kiasi cha kuwalia njama kama anaziweza hizo njama?
Mstaafu ana haki kama raia mwingine yeyote! Anaweza kushitaki na pia kushtakiwa.
Katiba ya wenzetu South Africa hailindi wahalifu na ndio maana Rais wao mstaafu Zuma alifungwa jela na kesi lukuki zinamgoja!
 
Habari wanajamvi!

Nazungumzia Rais kushitakiwa amalizapo muda wake (kama alifanya makosa akiwa madarakani).

Asili ya sisi Waafrika (watu weusi) ni kupenda kukomoana, majungu na visasi.

Inawezekana kabisa ukiwa madarakani ukafanya/ukasimamia jambo kwa mujibu wa taratibu lakini kwa kufanya hivyo ukagusa/ ukaharibu maslahi au mipango ya wengine.

AU unaweza kujistarehesha na hawara wa mtu bila kujua siku wakishika madaraka wao basi kwisha habari yako.

Sheria hii inafaa kwa jamii zilizostaarabika na kuelimika,sio kama huku kwetu ambako WASOMI NDIO WAJINGA WAKUU.

Nasisitiza Rais asibughudhiwe pindi amalizapo wakati wake, aachwe apumzike.

Mimi mwandishi itikadi yangu sio tu ni CCM, bali ni timu MAGUFULI
Yahani unataka rais aje apuyangepuyange aguvuluge vuluge kila kitu alafu ahachwe tu kisa alikuwa kiongozi mkuu. Alafu unategemea nchi ya namna hiyo inaweza ikatoboa ktk maendeleo??
 
Back
Top Bottom