Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,400
- 2,010
Sio swala la kula pesa Assad alikuwa na waoinzan ndan ya serikali yake walishamuahama.. sasa hushangai kama kaondolewa halafu waasi watangaze waziri mkuu wa assad awe kiongozi .. hapo Huyo wazir mkuu ni mmoja wao..Kuna viongozi jeshini na serikalini walikula hela za watu,jeshi lilikua halipigani,linarudi tu nyuma,waasi wametangaza serikali itakua chini ya waziri mkuu wa assad mpaka watakapokabidhiwa
Na hiyo serikali mpya inaundwa kwa maelekezo ya turkey, labda na westen.. kina Us.. hao waasi wanaenda kwa maelekezo ndio maana wamesema had watakapokabidhiwa ..
Maana yake wanaambia cha kufanya