Ile ya Uingereza imetawala miaka elf ngapi?Assad is done and dusted!
Ni nderemo na vifijo tu kwenye mitaa ya Damascus.
Familia moja imetawala Syria kwa miaka 54!
These people have no discernment, whatsoever.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ya Uingereza imetawala miaka elf ngapi?Assad is done and dusted!
Ni nderemo na vifijo tu kwenye mitaa ya Damascus.
Familia moja imetawala Syria kwa miaka 54!
These people have no discernment, whatsoever.
Acha ujinga weee chogo, aliyekwambia Assad ni mwarabu koko nani?Tumkaribishe Zenj aje ajivinjari na waarabu koko wenzake.
Hizbollah shughuli kwishne chaliiiiii chezea myahudi wewe!!Ili lilikua lazima litokee, Waliokua Wana msaidia Assad, Hezbollah na Russia kwasasa Wana kibarua kigumu.
Hezbollah Wana kazi Ngumu kule Rebanon ilibidi atoe Askari wake wake kuongeza Nguvu Lebanon.
Russia Kibarua chake kimekua ki gumu na Cha mda mrefu kwaiyo ni Ngumu mtu anaye hitaji Mamruki kutoka Korea, Houth n.k ili apigane vita yake dhidi ya U kreine aje atoe msaada wa kutosha kama mwanzo kwa Assad.
Vita ya Israel na Hezbollah imefanya Siria ianguke kwa uraisi kwakua Msingi wa ulinzi wake (Hezbollah)umegawanywa kwenda kupigana mwingine.
Umesema kweli,ngoja waje mujahideen humu wakutupie mabomu sasaIsrael wali engineer kila kitu hapa pamoja na USA. Hawa waasi walikuwa wanapewa mafunzo na wanajeshi wa UK pia. Lebanon kule Hizbullah wapo hoi hawajaweza kuja wasaidia. Irani imejeruhiwa sana na Israel. Nimesikitika sana.
Mbona sima sikia kama Russia kafunga kambi yake ya Latakia? Naomba unifahamishe?Nadhani Assad mwananchi walimchoka na pia Urusi alipoona mabomu yake hayasaidii kuzuia waasi basi akakimbia.
😂😂 Walisema Russia atapiga carpet bombs hapo maana russia hawataki mchezo mchezo,sasa naona kaenda kuyaomba hayo harudi kupindua meza kibabeAssad kasema hapo Urussi baridi kali sana na yeye simlevi hivyo kesho mapema anarejea Damascus!😂😂
Atapiga bomu la 🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖🐖 inchi nzima lazma wasepe
Nasemaje akuna kitu kama icho eti wanajeshi kuingia nchi jilani na siraha zao mikononi.Kwa Syria ni ngumu kuna makundi ya waasi ya jamii mbalimbali duniani, wachina, waturkey, warusi, wasaudi yaani magaidi yooote ya kundi la ISIS waliokuwa magerezani duniani waliachiwa wakapelekwa Syria, kilochowashangaza wamagharibi Moscow na Tehran kuruhusu nchi Assad aiachie pasipo mapigano na mauwaji ya kutisha, swali Syria itaelekea wapi na itaweza kudhibitiwa vipi iweze kutawalika, kumbuka wanajeshi wengi wa Syria wamerudi uraiani na wengine wamekimbilia nchi jirani na silaha zao mkononi kusikilizia game linaendeleaje!!!😀
Sio busy tu wamechapika hasa hata kusaidia wameshindwa kabisa ni kama wamekubali yaishe tu,kinyoooonge 😭😭Waliomsaidia miaka 10 iliyopita yaani Urusi, Iran na Hizbollah wako busy na mambo yao yanayowahusu.
Wapalestina walichagua kuwa upande wa Iran, Iran na Hezbollah wameua Watu wengi sanaMimi kwa upande wangu naomba Mungu hao waasi waibuke hata katika nchi zingine za waarabu waondolewe viongozi wote wa hizo nchi hawafai.
Watu wanauwawa hapo Palestine jirani yao wenyewe wanaangalia tu. Unafiki ni mbaya sana.
Hao waasi nawaombea wawe viongozi wema na waadilifu.
Tena akae kwa kutulia akianzisha choochoko atabadilishiwa jina na kuitwa gaidi halafu atapelekewa moto hukohuko uhamishoni. Si unajua hakuna kitasa kinachomshida zayuni kufunguaMby zaidi Assad bado yupo hai na hajachoka umri wala utajiri! Hapo ni kufunika moto kwa majivu, patakuwa pakichangamka km huko Libya na Sudan
Wapalestina walichagua kuwa upande wa Iran, Iran na Hezbollah wameua Watu wengi sana
Kama ndio hivyo shughuli bado pevu maana hao wa zambarau na kijani wasipo elewana huko mbeleni wanaweza kupigana wenyewe kwa wenyeweView attachment 3171972
Ni kama vita mpya inaanza soon kama hawatafikia makubaliano hao wa Zambarau Ndio Waliomtoa Assad Damascus hao wa kijani kuelekea Uturuki Ndio HTS na wanaonekana na nguvu ila wanaunga mkono Serikali nyingine ya mpito.
Wa njano walishajitangazia Uhuru, ila Uturuki hataki kusikia Hilo, Israel na
Marekani inasupport hao Wa njano na Zambarau, ila Israel yeye ana support wa njano kwa 100% na yuko tayari kuwapa msaada wa Kijeshi pia hawaamini sana wa Zambarau but anataka kuwa na State ya Wadruze mpakani kwake...
Kule pekundu ni nyumbani kwa Akina Assad na kambi zote za Russia zipi...
Inshort Uasi mpya Syria unaweza kuanzia popote
Wamekabidhi silaha kwa mamlaka husikaNasemaje akuna kitu kama icho eti wanajeshi kuingia nchi jilani na siraha zao mikononi.
“Tazama, Dameski haitakuwa tena mji bali itakuwa lundo la magofu."
“See, Damascus will no longer be a city
but will become a heap of ruins”
Isaya 17...
Achana na hili shetani linaloitwa CIA, lililotengenezwa kuilinda USA nje ya marekani!Mwisho wake umefika, hana jinsi yoyote ya kumbakisha madarakani.
Ila hii oparesheni ya waasi imenishangaza sana, ndani ya muda mfupi wamechukua nchi!
Hapo kwa Israel kweli shida, kwa iran huko tumbo majoto sasa mwendo wa usingizi mmoja TU😁😁Tena akae kwa kutulia akianzisha choochoko atabadilishiwa jina na kuitwa gaidi halafu atapelekewa moto hukohuko uhamishoni. Si unajua hakuna kitasa kinachomshida zayuni kufungua
Kichapo cha myahudi kimetepesha saana ana jipanga upyaIran imeshindwa kumsaidia kibaraka wake.