KabisaHakuna Cha maana inakwenda kuwa kama Libya tu.kila mtu atataka kuongoza
HTS wanaitwa 'magaidi' na nchi za magharibi ila ndio kundi lenye nguvu kati ya makundi yote yenye silaha (ukitoa Wakurdi wanaosaidiwa na Marekani), tuone namna watakavyoaminika mbeleni.Lakini cha ajabu ambacho wengi twashangaa ni kwamba HTS ni magaidi kwamba ni generation ya ISIS.
Sasa iweje leo waaminike kufanya kazi waloifanya na je watakubali kuachia uongozi wa kiraia Syria?
Don't joke with and don't underestimate the tricks and intel of the TREACHEROUS zionist regime.🤣🤣🤣Wazee wa kuchukua upande, swali lenu hili
View: https://x.com/mehdirhasan/status/1865616620543979544
Don't joke with and don't underestimate the tricks and intel of the TREACHEROUS zionist regime.🤣🤣🤣
Sasa kama vitu viliandikwa miaka zaidi ya 2000 iliyopita kabla hata ya Yesu na vinatokea kweli unakataa vipi chiefBado dunia ya Leo mnaendelea kupumbazwa na haya maandiko?
Kitu kigumu kupata duniani ni usawaDon't joke with and don't underestimate the tricks and intel of the TREACHEROUS zionist regime.🤣🤣🤣
Urusi haiwezi kushiriki vita nyingi. Hawana uwezo huo. Hali yao ya kiuchumi si nzuri.Najiuliza Urusi wako wapi...?? Maana wamekuwa wakimtetea kwa muda mrefu sasa
Mfumo wa Uingereza ni tofauti kabisa!Ile ya Uingereza imetawala miaka elf ngapi?
Lakini hamsemi UK, Qatar, SaudiBora iwe kama Libya kuliko familia moja kutawala miaka 54
Huyo Assad nilikuwa namhesabia mwisho mbaya tangu zamani na imekuwa hivyo sasa na lazima utasikia makubwa zaidi ya kutoroka.Wapiganaji wa Kiislamu wameingia Damascus ambapo hawakumbana na kipingamizi chochote. Askari wote wa Serikali wameshatoroka zamani.
Rebels wanasema wamemtafuta Rais Assad kila pahali Damascus lakini hayupo.
Meanwhile,Mufti anawaambia rebels wasishambulie watu wa dini tofauti na wao.
Haya ni mapigano ya siku baada ya mapigano kuduaa kwa miaka minne.
Kama hapa Tanzania ambapo watu wote tumepoteana katikaatukio ya wiki mbili zilizopita.
Bwana Utam AdiosamigoJihadists naona wamepoteana kabisa kwenye huu uzi wakati sasa hivi sio saa za sala salaa. What's happening 😧 😧 😧
Huu unabii wa Isaya unaonekana hata sasa“Tazama, Dameski haitakuwa tena mji bali itakuwa lundo la magofu."
“See, Damascus will no longer be a city
but will become a heap of ruins”
Isaya 17...
Ni USA,,Israel, Turkey wamechukua nchi kutoka Iran, Russia.Wapiganaji wa Kiislamu wameingia Damascus ambapo hawakumbana na kipingamizi chochote. Askari wote wa Serikali wameshatoroka zamani.
Rebels wanasema wamemtafuta Rais Assad kila pahali Damascus lakini hayupo.
Meanwhile,Mufti anawaambia rebels wasishambulie watu wa dini tofauti na wao.
Haya ni mapigano ya siku baada ya mapigano kuduaa kwa miaka minne.
Kama hapa Tanzania ambapo watu wote tumepoteana katikaatukio ya wiki mbili zilizopita.
Waje na huku watusaidieWapiganaji wa Kiislamu wameingia Damascus ambapo hawakumbana na kipingamizi chochote. Askari wote wa Serikali wameshatoroka zamani.
Rebels wanasema wamemtafuta Rais Assad kila pahali Damascus lakini hayupo.
Meanwhile,Mufti anawaambia rebels wasishambulie watu wa dini tofauti na wao.
Haya ni mapigano ya siku baada ya mapigano kuduaa kwa miaka minne.
Kama hapa Tanzania ambapo watu wote tumepoteana katikaatukio ya wiki mbili zilizopita.
Waje na huku watusaidie, hao ndiyo wanaume haswaSasa Uturuki ajiandae, Wenye nchi wameshaanza kuichukua Syria.
Wakurdishi wataanza tena kushambulia uturuki, mpaka wajitawale.
Unawasingizia tu hao wayahudi, huyo Assad raia wake walishamchoka toka mwaka 2011.Mayahudi wana mkono kwenye haya machafuko. Labda Syria nayo inakwenda kuwa kama Lybia ilivyo sasa.