stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliileta bwasha wakoWewe mbona hukuileta?
Kabisa mkuu sahzi hatujui kajificha katika handaki au kaenda kwa maswahiba wake aiseeBye bye Assad
Alitakiwa kuondoka wakati wa Arab Spring, ila alitumia Jeshi kuzima maandamano ya raia sasa leo kiko wapi?
Kinacho fatia sasahivi ni syria kuwa kama libya, Iraq na mataifa mengine ya kiarabu,. Na pengine hata huyu mrusi yawezekana alikua ni mnafiki tu hawa wazungu toka lini wakawa na upendo na waarabu?Assad watamkumbuka sana, kumbuka Assad hajatolewa na Wasiria ila ameondolewa na waasi wanaoungwa mkono na Marekani, Israel na Uturuki