Bora hata ya huyo Assad kuliko hawa Mujaheeden wafia dini wasiotaka watu wa imani zingine.Alitakiwa kuondoka wakati wa Arab Spring, ila alitumia Jeshi kuzima maandamano ya raia, sasa leo kiko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata ya huyo Assad kuliko hawa Mujaheeden wafia dini wasiotaka watu wa imani zingine.Alitakiwa kuondoka wakati wa Arab Spring, ila alitumia Jeshi kuzima maandamano ya raia, sasa leo kiko wapi?
Mambo ys Libya hayo kutaka kutawala miaka yote.Ni hivi, hao wanajeshi wa jeshi la Syria wamechoka na vita.
Miaka 13 ya vita isiyoeleweka ni mingi sana.
Kupigana vita si kuwa na jeshi na vifaa tu.
Morali ya kupigana nayo ni ‘essential’ piece of the puzzle.
Familia moja imetawala nchi kwa miaka 54. Imejitajirisha beyond belief.
Wanajeshi hawalipwi ujira wa maana.
Sasa waendelee kupigana vita na waasi kwa manufaa ya nani? Kumbakisha Assad madarakani?
Hao wanajeshi nao ni raia wa Syria. Ugumu wa maisha uliopo unawagusa na wao pia ilhali Assad na familia wanaishi kama wako peponi.
Inafikia muda hao wanajeshi nao akili zinawarudia na wanaona hakuna umuhimu wa kuyaweka maisha yao hatarini kulipigania lifisadi.
I hope CCM is taking note…..
Mrusi wala hakuwa Mnafiki lakini timing ya hawa Wafia Dini ilikuwa ni kali sana kwa sababu Putin na mwenyewe ana kimeo chake kule kwao; Iran na mwenyewe yupo kwenye standby mode kwahiyo timing ikamfanya Assad awe peke yake kwa sababu watetezi wake wakuu na wenyewe wana vimeo!Kinacho fatia sasahivi ni syria kuwa kama libya, Iraq na mataifa mengine ya kiarabu,. Na pengine hata huyu mrusi yawezekana alikua ni mnafiki tu hawa wazungu toka lini wakawa na upendo na waarabu?
Kabisa mkuu afu Bashar hakua mdini sana hata wife wake na familia kiumjula walikua kama wazungu tuBora hata ya huyo Assad kuliko hawa Mujaheeden wafia dini wasiotaka watu wa imani zingine.
Mrusi ana jeshi la kisasa kabisa kweli alishindwa kumpa kampani swahiba wake wa muda mrefu aisee kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza, kuna video fupi ikionyesha waasi wanamchukua waziri mkuu wa Syria bila ata ya buguza wala vibao wala hakuna unyanyasaji lakini ukiangalia vizur wale waasi ni kama wanazuga mbele ya camera tu huko walipoenda nae sahzi atakua ana lia kama mbwa alie kula mfupa ulio mkaba bora assad ka pita kulia kawaachia manyoya hawa Mujaheeden huwa na unyanyasaji wa kiwango cha hovyo ilihali na wao wakipata nafasi wanakua kama waliemuondoa tu mwisho wa siku nchi haikaliki ni vita tu.Mrusi wala hakuwa Mnafiki lakini timing ya hawa Wafia Dini ilikuwa ni kali sana kwa sababu Putin na mwenyewe ana kimeo chake kule kwao; Iran na mwenyewe yupo kwenye standby mode kwahiyo timing ikamfanya Assad awe peke yake kwa sababu watetezi wake wakuu na wenyewe wana vimeo!
Haya manguo huwa wanayapenda kuyavaa ila vita ikija kweli wanaingia mitini. Chura Kiziwi naye anajifanya kuyavaa haya. Sijui anamuiga Jiwe.!?Wakuu za muda huu katika pita pita mtandaon nikaona niwaaogezee picha za huyu bwana aliepinduliwa, ushaur tu ukiwa unakula vizuri ule na wenzio... View attachment 3172500
Mkuu we unajua kabisa kombora au risasi haitambui kabisa mavazi ya mtu hawa wanavaa kwa swaga za kwene picha likitokea lakutokea watu mnatafutana alikuepo apa alikuepo apa.....Haya manguo huwa wanayapenda kuyavaa ila vita ikija kweli wanaingia mitini. Chura Kiziwi naye anajifanya kuyavaa haya. Sijui anamuiga Jiwe.!?
Ni ngumu sana kuielewa siasa ya Mashariki ya kati , Hawa WaSunni na Washika ngumu sana kuwaelewa.Asad alikuwa anawategemea sana Hezbola, Iran na Urusi
Iran na Hezbola wote wametobwa na Israel,
Urusi ndio hivyo ana fupa lake kule Ukraine,
Urusi kajaribu kurusha vikombora vyake kuwa zima waasi lakini wapi,.
Ila USA nyoko aisee, kamfungulia Urusi na Iran front nyingine ya vita alafu wote wametimua mbio mapema tu.
Urusi na Iran ni mavi matupu. Hivi walikuwa wanalinda nini sasa pale Syria?
Hivi Edogan ni pro Rusia na Iran au pro USA na Israel maana simweliwi. 😂😂
Umesikia alichosema netanyahu?Unawasingizia tu hao wayahudi, huyo Assad raia wake walishamchoka toka mwaka 2011.
Hahaha ma-ccm ma familia zao tutayaweka kwenye makambi.Kumbe utakua unashangilia........hautakua katika wale watakao kua wanawakimbiza.....basi ngoja ufanyiwe homework yako kijana
Nakwambia hiyo siku itafika tu, ccm watakufa kama kuku wa videli.Kumbe utakua unashangilia........hautakua katika wale watakao kua wanawakimbiza.....basi ngoja ufanyiwe homework yako kijana
Huyo nchi alipewa kwa heshima ya baba yake,gaddafi nchi alipindua na akaanza kuijenga upyaHuyu yeye sio jasiri kama alivyokuwa Gaddafi...
Hehe keyboard warrior inawezekana hata upo canada unawaingiza wenzio chaka.....huku tunajuana bwana weHahaha ma-ccm ma familia zao tutayaweka kwenye makambi.
Nitakuwa nashangilia sana.
Huko Syria unaambiwa raia wana RAHA sana, wanatamana wangesikia ASSAD amefyekwa yeye na familia yake.
Yani ule uchungu wa kukandamizwa wanatamani achomwe hadharani.
Sasa imagine, unaamka unakuta mi ccm iko selo inanyea ndoo, kuna haja kuwatandika sana ili waelewe kunyanyasa raia siyo poa.
Nakwambia hiyo siku itafika tu, ccm watakufa kama kuku wa videli.
Mimi nifurahi sana, wananchi tukipata UHURU.
Asaivi wanamwita freedom fighter mkuu juzi alikuwa anahojiwa na Cnn anaulizwa kwann ulikuwa unachinja wazee na watoto Iraq akajibu ni utoto tu kwa sasa nimekuwa lakini Assad wanamwita dictator kutetea nchi yake, kaondoka sasa ngoja tuone itakuwaje😀View attachment 3172289
Ni magaidi na Al-Julani (katikati) kiongozi wa HTS ana dola milioni 10 kichwani zilitengwa na Marekani kwa yeyote ataetoa taarifa za kukamatwa kwake.
Hizo ni siasa za kimataifa alikuwa anasaidiwa na Russia na Iran ambazo zote ziko busy na yao. Wametumia fursa ipasavyoKiuhalisia hili la waasi kufanikiwa kwa haraka haraka hapo Syria hata mimi limenishangaza sana, inaonekana dunia inakwenda kasi sana kwenye mambo mengi na kuna vitu vingi mnoo vinaendelea chini kwa chini hapa duniani na hatuvijui.