Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kuchoka unafrustrations zako. Haya huyo mama hayuko juu? Yah unapaswa pia kutambua hauko peke yako hata mie watashangaa naandika hopeful tutakutana wanapotufukuza. Lakini hii haijastify kutokuwa wakweli tuache kukurupuka. Tutumie akili zetu kwa busara maana mtundiko wako umejaa jazba
Wanalipana fadhila tu hakuna lingine.........
Umeanza kwa kumshutumu aliyeteuliwa without backing your argument. Suddenly, you start address what yr doing, like yr ready to be fired. I suppose all our arguments should be based on facts than hypocricy.Siyo jazba, sijamtukana mtu. Bali serikali imelaumiwa mno kwa utendaji mbovu wa wengi na wachache innocent tunaumia kwa sababu kama kweli unaipenda Tz na amani na utajiri tulikuwa nao basi ni lazima uumie. Sina frustrations na kitu chochote kaka/dada. Nasikitika tu kuwa wachache watendaji wazuri serikalini wanaumia bali wengine wanafanya wajuavyo wao. Sikurupuki. Tumia lugha ambayo ni ya mtu mstaarabu. Ninajua ninachiokifanya. Do not assume to much!!!!!! Tuseme ukweli siku zote na mambo yote yawe transparent!!!!!
mimi nataka nione picha yake ndio nita comment
She is half-cast and beautiful lakini si age ya wengine labda walazimishe!
it is true not less than 400 yrs to have a full democracyBUNGE LENYEWE LIPI HILO??? la kingunge na Makamba??? hivi wewe uko sirias kuwakabidhi akina zungu wamhoji mwanadiplomasia wetu... si watasema kafulia!!!
We need 400 years kuwa na demokrasia ya USA
Waje sasa hivi kuni-wind up, rolling up, bending up, etc. Siwaogopi. Basi na waje hapa watufafanulie uozo wote uliopo. Shitishiwi mimi. Ndipo hapa watashangaa tutakapotizamana uso kwa uso hawataamini kuwa ni mimi naandika hapa. Sana sana nitawaambia nimechoka na wanifukuze kazi!! Naamini umenipata kidogo hapo!!!!!!!!! Hapa kwenye jamvi tuko wengi!!!! wa aina tofauti tofauti!!!!!!! Karibu.
N.B Majaji wote wako juu ndiyo maana sijawaulizia!!!!!!! Kuna la zaidi kaka/dada??
you know i got a a thing for hizi rangi rangi kama jamaa wa kule east midlands...
Tell me does she look like or any closer top ammy holmes wa cnn?
![]()
i wont mind kama yuko kama huyu sister
![]()
sasa unajua hii thread itakuwa nzuri zaidi tukiona picha yake ......i just hope she is not in the gobole status