Rais ateua mshauri wa Diplomasia

Rais ateua mshauri wa Diplomasia

Si kuchoka unafrustrations zako. Haya huyo mama hayuko juu? Yah unapaswa pia kutambua hauko peke yako hata mie watashangaa naandika hopeful tutakutana wanapotufukuza. Lakini hii haijastify kutokuwa wakweli tuache kukurupuka. Tutumie akili zetu kwa busara maana mtundiko wako umejaa jazba


Siyo jazba, sijamtukana mtu. Bali serikali imelaumiwa mno kwa utendaji mbovu wa wengi na wachache innocent tunaumia kwa sababu kama kweli unaipenda Tz na amani na utajiri tulikuwa nao basi ni lazima uumie. Sina frustrations na kitu chochote kaka/dada. Nasikitika tu kuwa wachache watendaji wazuri serikalini wanaumia bali wengine wanafanya wajuavyo wao. Sikurupuki. Tumia lugha ambayo ni ya mtu mstaarabu. Ninajua ninachiokifanya. Do not assume to much!!!!!! Tuseme ukweli siku zote na mambo yote yawe transparent!!!!!
 
Siyo jazba, sijamtukana mtu. Bali serikali imelaumiwa mno kwa utendaji mbovu wa wengi na wachache innocent tunaumia kwa sababu kama kweli unaipenda Tz na amani na utajiri tulikuwa nao basi ni lazima uumie. Sina frustrations na kitu chochote kaka/dada. Nasikitika tu kuwa wachache watendaji wazuri serikalini wanaumia bali wengine wanafanya wajuavyo wao. Sikurupuki. Tumia lugha ambayo ni ya mtu mstaarabu. Ninajua ninachiokifanya. Do not assume to much!!!!!! Tuseme ukweli siku zote na mambo yote yawe transparent!!!!!
Umeanza kwa kumshutumu aliyeteuliwa without backing your argument. Suddenly, you start address what yr doing, like yr ready to be fired. I suppose all our arguments should be based on facts than hypocricy.
 
Maane na wengine mliozoea kuona waislamu wakinyimwa nafasi, kuonewa na kunyanyaswa na serikali ya Tanzania inabidi tu sasa mbadilike kwani zile enzi za kubagua watu kwa dini zao zimekwisha, nina taarifa mbaya sana kwako,hali hii haitobadilika hata rais akiwa si muislamu.
 
Nilimsikia Mh sana Msambya akihoji kwa nini kwenye Board ya TBC hakuna MWISLAMU. Nikadhani yuko peke yake kwenye haka kaugonjwa ka udini kanakotunyemelea taratibu. Kumbe mko wengi. Walianza CCM kwa kuwapanga viongozi wa kitaifa kwa udini naona sasa kila uteuzi ni dini ya aliyemteua ndio inaangaliwa kwanza. HATUTAFIKA.
 
hivi Jamani kwanini tunakuwa na fikira potufu kwa kila suala, hatuwezi kukaa na kufikiri zaidi na zaidi . Umeona jina la Nuru umeenza kulalama, Jeee la kwangu mimi si ndio itakuwa taabu kabisa.

Hivi unataka kusema sisi wanawake hatuna haki ya kupata hizo nafasi za juu? ama unataka kusema kuwa WAISLAMU wanawake hawana haki hizo.

Jee kila mwenye jina hilo ndio muislamu? umetumia kigezo gani. Hemu wekeni Profile yake kwanza ndio tuaanze kujadili kwa kina kama anauwezo ama hapana.

Kama mwendo wenyewe ndio huu MIMI YAngu macho tu
 
She is half-cast and beautiful lakini si age ya wengine labda walazimishe!

You know i got a a thing for hizi rangi rangi kama jamaa wa kule East midlands...

tell me does she look like or any closer top Ammy Holmes wa CNN?

holmes.amy.jpg



I wont mind kama yuko kama huyu sister


84873098-1.jpg



sasa unajua hii thread itakuwa nzuri zaidi tukiona picha yake ......I just hope she is not in the GOBOLE STATUS
 
BUNGE LENYEWE LIPI HILO??? la kingunge na Makamba??? hivi wewe uko sirias kuwakabidhi akina zungu wamhoji mwanadiplomasia wetu... si watasema kafulia!!!

We need 400 years kuwa na demokrasia ya USA
it is true not less than 400 yrs to have a full democracy
 
wadau hakuna jipya ni yaleyale tuuu jana leo sawa ndo NJI HII ndugu zangu inavyokwenda
 
Waje sasa hivi kuni-wind up, rolling up, bending up, etc. Siwaogopi. Basi na waje hapa watufafanulie uozo wote uliopo. Shitishiwi mimi. Ndipo hapa watashangaa tutakapotizamana uso kwa uso hawataamini kuwa ni mimi naandika hapa. Sana sana nitawaambia nimechoka na wanifukuze kazi!! Naamini umenipata kidogo hapo!!!!!!!!! Hapa kwenye jamvi tuko wengi!!!! wa aina tofauti tofauti!!!!!!! Karibu.

N.B Majaji wote wako juu ndiyo maana sijawaulizia!!!!!!! Kuna la zaidi kaka/dada??

Tena ujiandae kuchoka zaidi na hao wenzio "wengi" utakapokuja ona huyo mteule sio tu mwanamama wa kiislam bali mvaa Hijab, mwarabu mwenye asili ya Tanga!

Stay tuned!
 
you know i got a a thing for hizi rangi rangi kama jamaa wa kule east midlands...

Tell me does she look like or any closer top ammy holmes wa cnn?

holmes.amy.jpg



i wont mind kama yuko kama huyu sister


84873098-1.jpg



sasa unajua hii thread itakuwa nzuri zaidi tukiona picha yake ......i just hope she is not in the gobole status

almost!!!
 
Kupata wasifu wa Zahra Nuru ni rahisi sana, just google it.

Huyu mama alienda UN mwishoni mwa utawala wa Mzee Ruksa ametumikia UN kwenye vituo vingi na kituo chake cha mwisho ni Malawi, kabla kurejea Bongo mwanzoni mwa mwaka huu.

Kama ni upendeleo kidini kwa kupewa ushauri wa diplomasia kweli Bongo kuna mgogoro wa kidini na ufa ulioachwa na Mahakamana ya Kadhi, OIC Misamaha ya kodi itachukua muda kuuziba au tusiweze kabisa.
 
Kuna mtu aliomba ibandikwe picha ya Mwanadiplomasia Zahra. Nimeipata hii somewhere na kuibandika kwa manufaa ya wengine pia.

effect1.jpg
 

Attachments

  • Zahra.jpg
    Zahra.jpg
    14.1 KB · Views: 39
Mama huyu ni mzoefu sana wa mambo ya jina lake kamili ni Zahra Tatu Nuru.

kama unataka zaidi kuhusu huyu mama search jina lake utapata mengi.
 
aaah uteuzi wa watu kama hawa ni kwa kufahamiana wazee, kama Jk hakufahamu basi japo Luhanjo akufaham, wote hawana maana mbona hatuendi mbele? ushenzi mtupu
 
Mimi nafikiri kama ana CV nzuri na uzoefu wa kutosha kwenye mambo ya Diplomasia haina shaka.Dini yake sio suala la msingi sana tunachojali zaidi ni uwezo wa mteule kiutendaji.

Siunajua mambo siku hizi ni mbio mbio na ushindani wa kiuchumi uko juu,tusipokuwa makini katika uteuzi wa watumishi wa Serikali tutabaki nyuma kiuchumi katika Afrika ya Mashariki kwani hapo ndio kipimo chetu.
 
Back
Top Bottom